Hahahahahahaah! mambo ya Amiri! hayo ful kudanganya haya wadau wangu endeleeni kufunuka hapo ilikuwa bado Kinyala, Irambo shule ya presda wa Kongo na Sangu pia Manow seminary! bila kusahau Lutengano ya Prof Jay.... naomba kuwasilisha!:confused2:
Wahukumuni Fasta na mafisadi! Sasa huyo jamaaa kuvaa gwanda tuu miaka mi4 Alafu aliyeiba mabilioni ni miaka 2 au 1... anyway one day es! itajulikana tuu zipi mbivu zipi mbichi..........
Yote hayo yanasababishwa na kina PONDA! mpaka mnaonekana ni magaidi! Dah pole sana kamanda kwa kumkosa mkee tafuta ostadhati mwenzako ok! kama vp Badili dini katika kweli na roho Utaokoka!
Jamani suala hili ni zito sana hatuna budi kizikemea hizo Cd na dvd! kwa kweli serikali lazima ichukue hatua ya kukemea uuzaji wa hizo kanda! mana hakuna vita mbaya kama vita ya Kidini! hilo lazima tulijue jamani. Amani ya nchi ni jukumu la kila mwanchi kuilinda na kuipigania!
Mwee! nende bhule bha myitu! kulikoni tena mjomba Aliko yani hufanyi kazi Jimboni! jitahidi uwajibike ili m4c ikija ikukute ukiwa hai au sio! usifanye masiala na m4c ok! Siku njema..........
Toa ushauri wa ki utu uzima wewe! hivi alipo kuwa anakula raha alitegemea nini? kaka muoe tuu acha kupokea ushauli mmbovu kama ni kazi utaipata mbele ya safari ok! siku njema.............:shut-mouth:
Siku njema huoneka asubuhi! na mwenye macho huwa haambiwi tazama! Ushauri wangu Hebu Chama kisome alama za nyakati ugumu wa maisha sio tuu kwa raia hata Wanajeshi wanalalamika sana! huyo ni mmoja tuu wapo wengine wengi tuu ambao bado hawajalipuka sipati picha siku wakilipuka sijui mtawaeleza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.