Msigwa akalia kuti kavu. wananchi walimtuma kutetea maslahi yao sio kupiga kelele bungeni

kweli huyu Chilisosi ni akili ndogo, kwa kusema mhe. Mchg. Peter s. msigwa anapiga kelele? haya, ukiachana na hoja na mchango wake mkubwa bungeni, ngoja nkukukumbusha mambo kwa uchache tu yaliyofanywa na mhe. Msigwa na ambayo hayajawahi kufanywa na mbunge yeyote alie pata kuwepo katika jimbo la iringa.

1. Aligawa jenzi kwa timu 30 ndani ya manispaa ya iringa, baadae kugawa jezi kwa timu zaidi ya 50 pamoja nakuendesha ligi iliyo idhamini yeye mwenyewe Mh. Msigwa,
2. Alitembelea magereza na kula chakula na wafungwa ikiwa ni pamoja na kujua matatizo yanayowakabili,
3. Aligawa vyandarua zaidi ya 100 katika hospitali ya mkoa,
4. Alitoa fedha milioni 30 kwaajili ya ujenzi wa vyumba vya madarasa nduli
5. Alitoa vifaa vya kisasa vyenye thamani ya zaidi ya milioni 100 katika hospitali ya wilaya iliyopo maeneo ya frelimo mjini iringa kama vile vitanda vya kisasa vinavyotumia rimoti, wheel chairs n.K.
6. Ametembelea na kuchangia saccoss mbalimbali ndani ya manispaa ya iringa
7. Ametembelea na kutoa misaada mbalimbali kwenye vituo vya watoto yatima.
8. Amemuweka mwanasheria katika ofisi yake anaepatikana kila siku ya ijumaa kwaajili ya kutoa ushauri kwa wananchi juu ya mambo ya kisheria!

Ukiachana na mchango wake mkubwa kwa taifa. Je, ni mbunge gani wa ccm kayafanya haya mpaka sasa? Acheni ushabiki usiokuwa na maana, kwa maendeleo ya jimbo letu msigwa ni chaguo sahihi, piga kazi kamanda msigwa

ukitaka kijiridhisha zaidi jifanye kutembelea blog yake ambayo ni
MH. PETER MSIGWA BLOG ili usiwe unaropoka ropoka kisa tumbo halina kitu
 
Chilisosi, matatizo yaliyomo ndani ya ndoa yako umeyamaliza?. Jirekebishe na ujiheshimu acha uzinzi. Hicho kibinti ulichozaa nacho nje ya ndoa kimetuuzia siri zote kama utaendelea kuleta upuuzi tutazimwaga hapa jamvini.
 
Habari za ki ha ya wa ni kama hizi za Lukosi zinaachwa na MODS kwa nn?

Kashindwa kutaja hata jina moja la wapiga kura Jimbo la Iringa mjini wanao lalamika

MODS toeni u p u u z i huu
 
Wewe kilaza kweli nenda kanywe ulanzi au commoni pale mitaa ya ccm au semtema,maana huna jipya,zaidi ya kubwabwaja umbea maccm bhana kwa umbea utawapata tatizo vilaza2pu, foolish
 
Ndugu zanguni,

Juzi tu hapa ndugu yangu Msigwa mbunge wa Iringa ambaye alichaguliwa kwa kura nyingi na wakazi wa Iringa mjini ili akawawakilishe bungeni kwa kutetea maslahi yao aliwakera wakazi wengi wa Iringa kupiga kelele zisizo na mpango bungeni jambo ambalo limewafanya wananchi wajiulize huyu mtu anawawakilisha wao au anapiga kelele kumfurahisha mwenyekiti wa chama chake?

Watu mbali mbali mjini walisikika wakisema huyu mbunge anachanganyikiwa sasa kwani anadhani akipiga kelele kwa nguvu ndio ataona anafanya kazi yake na sasa matokeo yake kapigwa ban na anapoteza muda muhimu wa kuwawakili wanchi.

Pia wanakerwa na msemo wake wa kusema akili ndogo inaongoza akili kubwa kwani mwenyekiti wake wa taifa ni akili ndogo tayari na anaongoza akili kubwa (mbowe ni form six failure anaongoza ma Dr na Maprofesa kibao)
1288627734.jpg

tofaut ya mbunge wa ccm na chadema n mbuge wa chadema anatetea maslai ya taifa zma wakat wa ccm anataka umeme ili uende kwa mama mkwe wake.
 
kweli huyu Chilisosi ni akili ndogo, kwa kusema mhe. Mchg. Peter s. msigwa anapiga kelele? haya, ukiachana na hoja na mchango wake mkubwa bungeni, ngoja nkukukumbusha mambo kwa uchache tu yaliyofanywa na mhe. Msigwa na ambayo hayajawahi kufanywa na mbunge yeyote alie pata kuwepo katika jimbo la iringa.

1. Aligawa jenzi kwa timu 30 ndani ya manispaa ya iringa, baadae kugawa jezi kwa timu zaidi ya 50 pamoja nakuendesha ligi iliyo idhamini yeye mwenyewe Mh. Msigwa,
2. Alitembelea magereza na kula chakula na wafungwa ikiwa ni pamoja na kujua matatizo yanayowakabili,
3. Aligawa vyandarua zaidi ya 100 katika hospitali ya mkoa,
4. Alitoa fedha milioni 30 kwaajili ya ujenzi wa vyumba vya madarasa nduli
5. Alitoa vifaa vya kisasa vyenye thamani ya zaidi ya milioni 100 katika hospitali ya wilaya iliyopo maeneo ya frelimo mjini iringa kama vile vitanda vya kisasa vinavyotumia rimoti, wheel chairs n.K.
6. Ametembelea na kuchangia saccoss mbalimbali ndani ya manispaa ya iringa
7. Ametembelea na kutoa misaada mbalimbali kwenye vituo vya watoto yatima.
8. Amemuweka mwanasheria katika ofisi yake anaepatikana kila siku ya ijumaa kwaajili ya kutoa ushauri kwa wananchi juu ya mambo ya kisheria!

Ukiachana na mchango wake mkubwa kwa taifa. Je, ni mbunge gani wa ccm kayafanya haya mpaka sasa? Acheni ushabiki usiokuwa na maana, kwa maendeleo ya jimbo letu msigwa ni chaguo sahihi, piga kazi kamanda msigwa

ukitaka kijiridhisha zaidi jifanye kutembelea blog yake ambayo ni
MH. PETER MSIGWA BLOG ili usiwe unaropoka ropoka kisa tumbo halina kitu
Tulia kijana
Tunakuja huko soon, bado miezi miwili tu
 
Chilisosi unahangaika sana humu kwakuwa ulishaamua kuuza uhuru wako. Nenda sasa pale Iringa mjini uitishe mkutano halafu uwajambie wananchi ushuzi huu, uone kitakachokupata.
Mbona nakuja huko
 
Mwalukosi pole sana, cie huku ndio tunayajua mazingira yetu vizuri ya mkoa wa iringa, 2015 mh. Msigwa juuuu!
 
Ndugu zanguni,

Juzi tu hapa ndugu yangu Msigwa mbunge wa Iringa ambaye alichaguliwa kwa kura nyingi na wakazi wa Iringa mjini ili akawawakilishe bungeni kwa kutetea maslahi yao aliwakera wakazi wengi wa Iringa kupiga kelele zisizo na mpango bungeni jambo ambalo limewafanya wananchi wajiulize huyu mtu anawawakilisha wao au anapiga kelele kumfurahisha mwenyekiti wa chama chake?

Watu mbali mbali mjini walisikika wakisema huyu mbunge anachanganyikiwa sasa kwani anadhani akipiga kelele kwa nguvu ndio ataona anafanya kazi yake na sasa matokeo yake kapigwa ban na anapoteza muda muhimu wa kuwawakili wanchi.

Pia wanakerwa na msemo wake wa kusema akili ndogo inaongoza akili kubwa kwani mwenyekiti wake wa taifa ni akili ndogo tayari na anaongoza akili kubwa (mbowe ni form six failure anaongoza ma Dr na Maprofesa kibao)
1288627734.jpg

Kashusha kontena zima la vifaa vya hospitali ya serikali, maccm mmefanya hivyo?
 
Nachukia sana na watu wanou shabikia mambo yanayofanywa na CCM badala ya kuangalia taifa lao linakoelekea!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Baada ya kusoma iyo heading tu nilijua haiwezi kutoka kwa mtu mwingine isipokua mwenye akili mbovu na anayeugua magonjwa ya akili,naye si mwingine bali ni wewe mkuu Chilisosi
 
Last edited by a moderator:
Ndugu zanguni,

Juzi tu hapa ndugu yangu Msigwa mbunge wa Iringa ambaye alichaguliwa kwa kura nyingi na wakazi wa Iringa mjini ili akawawakilishe bungeni kwa kutetea maslahi yao aliwakera wakazi wengi wa Iringa kupiga kelele zisizo na mpango bungeni jambo ambalo limewafanya wananchi wajiulize huyu mtu anawawakilisha wao au anapiga kelele kumfurahisha mwenyekiti wa chama chake?

Watu mbali mbali mjini walisikika wakisema huyu mbunge anachanganyikiwa sasa kwani anadhani akipiga kelele kwa nguvu ndio ataona anafanya kazi yake na sasa matokeo yake kapigwa ban na anapoteza muda muhimu wa kuwawakili wanchi.

Pia wanakerwa na msemo wake wa kusema akili ndogo inaongoza akili kubwa kwani mwenyekiti wake wa taifa ni akili ndogo tayari na anaongoza akili kubwa (mbowe ni form six failure anaongoza ma Dr na Maprofesa kibao)
1288627734.jpg

Ulichoandika kitaaminika na machizi na wendawazimu kama wewe. Alichomaanisha Rev ni akili za Dr Lukuvi, Dr JK (anazo tano), na madoctor kibao wenye vichwa vikubwa na akili za mende waliojazana huko CCM ila wanaongoza Watanzania mamilioni ambao hawana elimu kubwa. Mfano halisi PM kuunda tume ya kuchunguza matokeo mabaya ya kidato cha nne 2012, ili hali ofisini kwake ana ripoti iliyochunguza matokeo ya 2010 na kukabidhiwa 2011 na mpaka leo haijawekwa hadharani!!!

Kwangu mimi, hii ni akili ya ndogo mno! Unaonekana umesukumwa na midadi uliyonayo na CCM, na wala huna hoja ya msingi sana. Kubali ukatae yeyote aliebaki kuishabikia CCM ni yule mwenye njaa ya chakula. Mfano mzuri ni wewe, CCM kwako ni pumzi yako. Ikitoka madarakani leo, uwezekano wa wewe kuendelea kuishi utakuwa mdogo sana. Kwanza huna ujuzi wowote zaidi ya kuishi kwa posho za chama.
 
Zama za wabunge wa kugawa posho,kupika sadaka,kuchinja ng~ombe,kunywesha wanainchi ulabu zimekwisha, ni ukweli pasi na shaka kuwa wanainchi leo wanataka uwakilishi muruwa na uliotukuka kama wa mchungaji Msigwa,wahehe wanamuhitaji msigwa kuliko maelezo na wanaojidanganya kuwa msigwa hatakiwi waende wakatie mguu waone.

Jimbo la iringa ni waasisi wa siasa za mageuzi mwl.Kibasa wa Nccr anakumbukwa vyema.mchungaji alichakachuliwa na mbega 2005 cause NCCR haikuwa na mikakati ya kudhibiti wizi wa kura. kwa taarifa tu ni kuwa wanainchi wanampongeza na wanajivunia kuwa na msigwa na hawakutegemea kama angeweza kuwakonga nyoyo zao mapema ukizingatia ni kipindi chake cha kwanza.
 
na wewe magamba wamekutuma kuja kuleta uharo uku na wewe ulivyo haujielewi kibaraka uliyenamaslai ya kitumwa ukaubeba uharo wao na akili yako ndogo unatuletea hapa.shame on u[siongei na mbwa naongea na mwenye mbwa]
haaaaa hiyo kali
 
Back
Top Bottom