Doppelganger
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 1,858
- 748
wanalijua hilo...sema wabishi tu.
Mwasisi wa chama hicho alisema 'si baba wala mama yangu'. Sembuse hao pichani ambao hawamjui hata mwasisi! Acha wachane kajitambaa haona ijifie zake
chama kina laana hiki
Ukizingatia hichi kizazi cha Digital ndo kabisaa hata bendera yake hawataki kuiona.
View attachment 79873
iinavyoonekana wao wanavuna chadema magamba wanaonunua kadi na kutoka(naona kadi za cdm zote mpya),na sisi tuwakwangua ccm wote kuanzia waliojiunga enzi za mwalimu hadi kizazi cha akina mkapa,hakuna mwehu wa kujiunga na ccm kwenye manyanyaso haya ya kikwete
hizo za chadema zinazokabidhiwa kwa Nchemba zinaonekana ni mupya kabisa, hizi za CCM hapo kwenye kofii tebo zinaonekana zimetingwa ukongwe.
hizo za chadema zinazokabidhiwa kwa Nchemba zinaonekana ni mupya kabisa, hizi za CCM hapo kwenye kofii tebo zinaonekana zimetingwa ukongwe.
hizo za nchemba ni mpya sana inaonekana alizinunua kimafia na hizo za ccm ni halisi maana ni za kitambo na baadhi wastani.....wataigiza saaaaana wazee
Katika vitu ccm imewekeza kwa nguvu zote toka Uhuru ni propaganda Daaa kweli Hii ndio Tanzania alijisemea Roma.
Nilikuwa Naona Mambo Kwa Ccm Yataenda Kirahisi Na Kwa Haki Lakin Bao La Mkono Kwa Kutumia BVR hapo haki ya mungu naapa wamenikosa siwachagui,,,,, (nikiwachagua ntapata dhambi bora nisinge skia kitu lakn kwa sasa)