Richard Mlangi
JF-Expert Member
- Sep 10, 2012
- 380
- 193
Lakini tuwe wakweli,
Nape ameongea vizuri na ameonyesha upeo na hekima.
Aidha, tusitarajie mtu wa chama tawala akifagilie chama cha upinzani.
Ameonyesha ustaarabu katika maelezo yake !
Nape ameongea vizuri na ameonyesha upeo na hekima.
Aidha, tusitarajie mtu wa chama tawala akifagilie chama cha upinzani.
Ameonyesha ustaarabu katika maelezo yake !