Haipendezi kabisa kwa vitamu vyote awenavyo kuruthumu,kwani sisi hatufai kuwa navyo?sasa imefika pabaya,kuruthumu yeye ndio anakula kuku kila siku,sisi tunakutana na manyoya.NANI AMEMWAMBIA KURUTHUMU SISI HATUPENDI KUKU? sasa amefika mwisho.NA SISI KUKU TUNATAKA
Sisi watu wa;-
-Bodaboda...
Kufuatia kesi iliyofunguliwa dhidi ya mwenyekiti wa wafanyabishara tz(JWT) jumuia ya wafanyabiashara tz bw. Johnson minja ambayo inatarajia kusikilizwa siku tatu mfulizo, na utaratibu wa wafanyabiashara ni kutofungua biashara zao siku za kesi kwa hiyo wamedhamiria kufunga biashara zao kwa siku...
Wadau,
Nahitaji kulima maparachichi. Kwa mwenye ufahamu zaidi naomba kujua changamoto na nini nifanyeje ili nieweze kufanikiwa.
MASWALI YA WADAU WENGINE KUHUSU ZAO HILI
MICHANGO/ UZOEFU WA WADAU KUHUSU ZAO HILI
[10:49pm, 4/27/2015] Mch. Kiondo: HALI YA HEWA SIYO SHWARI MIKOANI.
Ikumbukwe tarehe 6.09.014 mkutano wa kitaifa uliokuwa ni maagizo ya serikali ili kupata wajumbe katika uwakilishi wa kitaifa, watakaounda KAMATI YA PAMOJA KATI YA TRA NA JWT itakayopitia mfumo wa ulipaji kodi nchini, pia ili...
KUSHUPAA NI TABIA IMFAAYO MPUMBAVU; NA SERIKALI INAYOSHUPAA NI SERIKALI YA KIPUMBAVU.!
Na Malisa GJ,
Mpumbavu ni mtu anayeshupaza shingo yake anapoelekezwa jambo lenye manufaa. Akielekezwa haelewi na hata akielewa hataki kufuata. Kwa mujibu wa Profesa Kabudi wa chuo kikuu cha Dar (UDSM)...
Mara baada ya sala yetu kama ilivyo ada, nichukue fursa hii kwa unyenyekevu mkubwa, kutoka kwenye kina cha moyo wangu, kumshukuru sana mwenyezi mungu muumba wa mbingu na nchi, kwa wema na fadhili zake zisizo kifani kwetu sisi waja wake.
Pili; ninakushukuru sana wewe mfanyabiashara mtanzania,kwa...
[22:28, 9/04/2015] mlipakodi: KWA madereva nako kimenuka
Ijumaa tarehe 10/04/2015 Kutakuwa na Mkutano Wa madereva wote Tanzania nzima. Mahali pa kukutania ni ubungo stand ya mabasi saa moja kamili. Kufika kwako ndio ukombozi wetu sisi sote kwani ni lazima tuionyeshe hii serikali iliyokataliwa...
Leo maduka sehemu mbalimbali nchini yamefungwa kufuatia kesi ya mwenyekiti wa wafanyabiashara bwn. Minja kupandshwa kizimbani Dodoma.
Wafanyabiashara wamekuwa na migomo ya mfululizo na serikali inaopoteza mapato mengi sana kwa siku kama ya Leo.
Swali langu kwenu wadau serikali haioni umuhimu...
Nimepata taarifa kutoka kwa wadau fulani kwamba kesho mwenyekiti wa wafanyabiashara Tanzania Bwana Minja anapandishwa kizimbani Dodoma.
Kwa hiyo wafanyabiashara wanaendeleza mgomo wao wa kutofungua biashara siku mwenyekiti wao anapopandishwa kizimbani.
My take: Nimemsikiliza Minja kwenye...
Kufuatia kesi iliyofunguliwa mahakamani Dodoma na serikali dhidi ya mwenyekiti wa wafanyabiashara Taifa bwana Minja Kesho tarehe 27/3/2015 kutakuwa na mwendelezo wa mgomo wa kutofungua maduka nchi nzima na itakuwa hivyo hadi siku kesi itakapofutwa au siku ya mwisho wa kesi.
Rai yangu kwa...
Wafanyabiasha wanamgomo nchi nzima leo, kushinikiza mwenyekiti wao bwana minja ambaye anapandishwa mahakamani dodoma Leo. Kwa upande wa mbeya maduka yamefungwa sijajua mikoa mingine. My take; serikali haioni umuhimu wa kutatua tatizo hili haraka ili isiendelee kuingia hasara Wafanyabiasha...
Napita maeneo ya Kabwe Mwanjelwa pamoja na SIDO nakuta maduka yamefungwa ila watu wamekaa vikundi vikundi wakiendelea kubadilishana mawazo. Sijajua muitikio wa mgomo huo mikoa mingine kwani ulikuwa ni mgomo wa kitaifa.
Maoni yangu kwa serikali - Kwanini isikae chini na wafanyabiashara...
Kuna ujumbe unasambazwa na wafanyabiashara kufunga biashara nchi nzima kesho. Ujumbe huo ni huu hapa
"Breaking News,tarehe 11/02/2015, M/kiti wa wafanyabiashara anapandishwa kizimbani, kwa hiyo wafanyabiashara wote wanatakiwa kufunga biashara zao zote, pamoja na magari kutofanya safari zake...
Nimepita maeneo ya soko la Sido Kabwe na Mwanjelwa nimekuta maduka yote yamefungwa. Nimejaribu kudadisi kwa wadau wanasema kisa ni kukamatwa kwa mwenyekiti wa wafanyabiashara taifa.
Wameamua kufanya mgomo ili aweze kuachiwa kwani ni mkombozi wa wafanyabiashara nchi nzima.
Wanasema alikamatwa...
Kuna taarifa kutoka katika majimbo mbalimbali ya uchaguzi serikali za mitaa kuwa CCM hawajasimamisha wagombea/wagombea wao kukosa sifa. Kama ni taarifa hizi ni kweli basi CCM imekwisha.
Kuna taarifa kutoka Sumbawanga zaidi ya viti kumi havina mgombea wa CCM. Kama kuna mtu ana taarifa kutoka...
Wana jf,
Nimeipata taarifa kutoka sehemu mbalimbali katika mchakato wa uchaguzi serikari za mitaa kuwa CCM hawajasimamisha wagombea ina maana UKAWA wanapita bila kupingwa. Kwa mwenye habari kamili ya maeneo hayo atujuze tafadhali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.