Umeshaleta madhara makubwa ya kupoteza watu zaidi ya 20 kwenye ajali ya Kipanya huko mbeya asubuhi hii...... ni hatari sana. Kipanya kiliona fursa ya ku-make ndio hio kikajaza watu kikaondoka nduki, dereva mawazo yake yote ni pesa tu kwamba aende arudi achote tena, maskini wa MUNGU wametumbukia mtoni wote.