Nikupe pole sana mkuu, najaribu kukumbuka akili inaniambia hii kitu ilitokea mwaka juzi, wakazi wote wa kigurunyembe na bong'ora wanajua A - Z ya mkasa huu, maana hata mimi niliambiwa kilichotokea nilivyorudi weekend mapumzikoni nyumbani.
KUTOKA KWA BIBI
Niweke ufafanuzi zaidi wa kilichotokea...
aiseee hapa watu washafutwa kazi na kupokonywa contract, hakuna kampuni ya simu inayoweza vumilia aibu hii, labda tu huyo contractor aliyesababisha haya awe na mikono mirefu zaidi ya maelezo.
whistle blowers wa bongo full ubabaishaji. unatikisa kiberiti, wakikuita wakakukatia fungu utakuja hapa na twisted continuation of stories. hadithi yako ina mapungufu mengi ila umepata waumini wengi just because watu wamechoshwa na ufisadi. big up to msemakweli wa mafisadi wa elimu, huyu muhaya...
hapo doctor na boyfriend kwa mawasiliano ya simu washakamatwa. labda waamue kuzizima na kuzitupa na kupotea mazima. ila kwa polisi wetu walivyo, watambana doctor awape mlungura wa kutosha siku ziende.
kiufupi....akilitoa yai ana grace period ya siku tano, kama halijatumika huaribika. hapo huingia kipindi cha siku nane cha kutengeneza damu...sasa yeye walikutana siku nne kabla ya damu kumuanza. inamaana hilo yai lilikuwa lishaharibika....hivyo hakukuwa na uwezekano wa kupata mtoto.
tarajia nini: mfa maji abood bus service ambaye television yake hutumia dakika 15kila siku muda wa habari kumpamba wataanza mpamba.
moro town ishabadilika, naamini 2015 jimbo litadondokea chadema.
this is only for single ladies aged 20-25years, non-smoker, non-alcoholic, no kid not even attempted abortion, college level or more, independent, self motivated and faithful.
On my side, 26years, employed, based in dsm, no kid, non-smoker, non-alcoholic.
PM me if interested, then I will see...
uwezekano wa kujua imei upo, napopiga simu au kutuma message kuna info zinakuwa captured from my handset including imei na mnara unaonipa mawasiliano. so baadaye hata mtu akitupa line yangu na wakasearch mawasiliano yangu watajua imei yangu, watatumia imei hiyo kujua ni nani anatumia hiyo...
kisa cha mapenzi anabambikwa mtu kesi zisizo muhusu, wanaesema amekamatwa dar (lamada hotel) ni baba nyumba (hawara) wa mwalimu dorothy, inshort ndio aliyekuwa anamtunza dorothy. sasa wameamua kumbambika kesi zote za ujambazi mwanza. wakubali tu yale yalikuwa malipizi as hakuna kitu kinachoboa...
same idea in a different way, kwa sasa naitunza kwanza hadi uwezo wangu utakapojitosheleza but all my eyes are on tours rite now. kila la kheri mkubwa.
in tanzania people live by theories, maisha kuthubutu, bila kujaribu umaskini hautotuondoka. i have failed many times bila kukata tamaa, sasa atleast mwanga waonekana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.