Kuichagua CCM ni kutaka mambo mabaya yaendelee;
Mambo kama ya ukatili,mauaji, kubambikiwa kesi za uhujumu uchumi, na kutakatisha fedha.
Kuweka watu mahabusu ambao hawana hatia nk.
Tukumbuke kuna Mungu ipo siku atatuuliza tuliwajibika vipi kuzuia hayo mambo mabaya ya CCM, mimi nitamjibu...
Daa inasisimua nimeisoma pia Instagram kwenye mrbookstanzania
Kumbe hao Majasusi wanajifanya Kama nao ni wanaharakati au wapinzani wa Serikali lengo ni kuwachunguza na kuwapeleleza wapinzani wa ukweli.
Binadamu yoyote ana harufu yake mwenyewe yaani ya kipekee haiingiliani na ya mwingine ndiyo maana mbwa anamtambua binadamu kwa harufu.
Na huyo mama kapewa uwezo wa kipekee kutambua mtoto wake au mtu wa karibu yake kwa harufu.
Unafugia wapi?
Bei ya ng'ombe inategemea unamtoa mkoa upi.
Faida inategemea unafugia mkoa upi na unauza wapi, mf. Dar Kuna soko kubwa na Bei yake lita 2000 ,mikoani 1000-1700.Dar wafugaji wachache. Mikoani wafugaji wengi.
Changamoto.
Majani hasa kipindi cha kiangazi.
Vijana wa kufanya kazi...
Wanasiasa bwana! Hivi Ruangwa Kuna maendeleo?
Hata barabara ya kuunganisha Ruangwa na Lindi haipo, lakini ukiwasikiliza utafikiri majimbo yote ya CCM yana maendeleo.
Hawa mashehe walikamatwa na waislamu rais akiwa JK, Sheni rais Zanzibar, makamu wa kwanza Maalim Seif, makamu wa pili balozi Iddi.
Na ni muislam Sheni ndiye anayeweza kuwatoa maana ndiye aliyewapeleka jela bara.
Wanateswa kwa sababu ya waislam wenzao
Mtaji inategemea na mtaji ulionao.
Mbao zinapatikana Mafinga , Makambako Njombe na Makete.
Risk ni kuuziwa mbao zenye kasoro Kama kupinda, kuchanika nk.
Kama una swali lingine uliza.
Ukimuuliza mipaka ya jimbo la Ubungo anaweza asiijue.
Mwaka huu tutaona wagombea wengi wasiojua lolote kuhusu Jimbo, wagombea wa kulazimishwa mmoja ni Profesa Kabudi mgogo wa Kilosa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.