Funga huu ujinga. Mleta uzi kachemkaa. Huyu katika picha anaitwa Edward na mbunifu wa mavazi na ni mghana kwa asilia ila ni raia wa uingereza. Pata hii hapa Edward Enninful - Wikipedia, the free encyclopedia
tusijenge chuki zisizo na maana
HABARI KAMILI HII HAPA: Source = Ophir Sells Tanzanian Gas Rights to Singapore Firm for $1.3 Billion - WSJ.com
Ophir Sells Tanzanian Gas Rights to Singapore Firm for $1.3 Billion
State-Owned Pavilion Gets 20% of Big Find as Asia's Quest for African Energy Continues EmailPrintSave
By Alexis...
Vipi zengwe la huyu mama alipokua pale HABITAT? Kumbuka alikua na ukanda pale HABITAT ila kuna ufisadi alitembeza akaishia kua demoted. Je akiwa mkuu wa nchi si atafanya hayo madudu tena? Pia ana element ya ukabila huyu. Hizi sifa ni tosha kum-disqualify.
Kama tunavyojua hawa mawaziri wetu wanafahamika kwa sifa ya ku "Cut & Paste", hembu hii iwe changamoto kwa wale wanaovurunda katika baraza la JK, kama wanashindwa kupata sababu basi hii iwe "nyenzo", iwasaidie katika ku draft barua ya kujiuzuru kwenda kwa mkullu.
Tuanze na Mkulo.... then ...
My take: huyu jamaa atakua anajua siri fulani, wenyewe waka-Mkolimba.
By Edwin Agola
14th September 2010
A bodyguard of the Chief Justice Augustino Ramadhani, Mzee Mnyeti (32) was yesterday morning found dead at his residence at Makumbusho area in Dar es Salaam.
Chief Justice...
MwanaFalsafa1 swali na maoni yako ni mazuri. Je umejaribu kufikiria kama sisi Wa-Tanzania tunayo roho au hata nia yakusaidia nchi? Hapa ninamaanisha wa-Tanzania walio ndani ya nchi. Kwasababu ukiangalia tuna wasomi wengi ambao wapo ndani ya nchi ila wengi wao ni "selfish".
Labda kabla yakutatua...
Labda ukiangalia vizuri utaona sio hereni bali ni "Hands free set" ya simu yake. Angalia mkono wake kuna waya unayo enda ku link na hicho kifaa sikioni.
Kwa wale walio na sifa zakuomba kazi kwenye nafasi iliotangazwa ADB basi fanyeni kweli, au ukijua mtu ambayo hii kazi itamfaa basi piga krosi...
http://www.exec-appointments.com/jobs/viewAd.asp?id=149117
Here we go again... malalamishi tuu. Nje tunaolalamika, mbona hamtoi nji mbadala? Sasa kama hizo tender zilikua advertised, na makampuni yaliojitokeza ndio hayo, sasa unataka Tanesco wafanye nini? Au mlitaka mpewe nyie hizo tender bila ku-apply au kuonyesha mnauwezo?
I don't see anywrong here...
Labda nimesoma vibaya. Nielewavyo mimi ni kwamba the 1.4 Bil shillings ni zimetumika kubomoa na kujenga nyumba anayoishi sasa Beno, na pia kukarabati nyumba zengine 3? Nikiangalia kilichoandikwa na gazeti la Mwananchi na anachosema Beno, ninaona kuna "mis-reporting" inayofanywa na gazeti la...
... ndio hio. What do you not believe? Hii kozi ya MBA in Power & Electricity ipo (although not credible), na ukisoma ni wakina nani wanakua encouraged to attend utakuta ni senior management katika kampuni.. (Not MBA refresher or walio na MBA tayari).
Conclusion: Hii ni MBA fasta fasta kama za...
Wakati tunasubiri kujua litakalowatokea mawaziri wenye elimu tata (if anything) tunaendelea kuona vigogo wetu wanavyopenda shortcut.
Katika ku-research huyu jamaa Stephen Mabada (act. CEO TANESCO) nakuta kala nondoz ya MBA in 3 days, hii imeniacha hoi. Hawa ndio watu tunaowapa dhamana kuongoza...
Sabi Sanda unachojaribu kukisema ni sawa. Ila kila nisomapo mijadala kama hii ninakumbuka alichosemaga kiongozi mmoja aliekua na upeo na busara.. si mwengine bali JFK pale aliposema...
"And so, my fellow Americans: ask not what your country can do for you - ask what you can do for your...
Mimi swali langu ni: Ule mpango wakujenga "International Airport" nje kidogo ya Dodoma umefikia wapi. Kwani kwangu this makes more sense considering Dodoma ndio "Administrative Capital", pia ita-stimulate maendeleo ya Central Tanzania.
Ila hii ya Bwagamoyo, as they say it "Only in Tanzania"...
Tina... umewahi kusikia kitu kinaitwa "Photo oppotunity"? Unachoona kwenye picha sio lazima ndio kinachoendelea. Kwa taarifa yako jamaa wa TISS na usalama wa Jamaica walikua wametanda sehemu yote.
Ndio maana ukiangalia picha nyingi za viongozi wa nchi kama Marekani, UK, Germany..n.k. utaona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.