Wakati tunasubiri kujua litakalowatokea mawaziri wenye elimu tata (if anything) tunaendelea kuona vigogo wetu wanavyopenda shortcut.
Katika ku-research huyu jamaa Stephen Mabada (act. CEO TANESCO) nakuta kala nondoz ya MBA in 3 days, hii imeniacha hoi. Hawa ndio watu tunaowapa dhamana kuongoza kampuni/idara nyeti.
Source: http://www.terrapinntraining.com/Course.aspx?EID=3330
Katika ku-research huyu jamaa Stephen Mabada (act. CEO TANESCO) nakuta kala nondoz ya MBA in 3 days, hii imeniacha hoi. Hawa ndio watu tunaowapa dhamana kuongoza kampuni/idara nyeti.
Source: http://www.terrapinntraining.com/Course.aspx?EID=3330