Kuangalia hotuba zake kama uko ma watu unaowaheshimu,unaomba udhuru maana hakawii kuharibu...ningeshauri TV wawe wanaweka ile 18VL
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna vitu humu duniani vinashangaza, we unafanya biashara ya kulaza wageni, wateja wamekuja unataka kuwalazimisha watende unayofikiri wewe kitiu ambacho si sahihi kama issue ni kwenda mbinguni basi tusiburuzane mwache mtu ajipeleke akotaka kwa raha zake.....
Hasa mabinti ni wadhaifu sana kwa wakaka ambao wanajifanya watanashati......rahisi sana kuwapa simu za ofisi jamaa wanajenga mazoea muda kukujua jina, unakaa wapi nk
Mkuu pole sana mimi binafsi ni menusurika mara tatu, issue iko hivi anakuja jamaa anamdanganya huyo binti kuwa anakutafuta halafu amepoteza contact zako so huyo kijana anaitafuta kwenye phone book yake jamaa anatumia kila aina ya ujanja anaichukua hiyo simu then kwa haraka ana edit jina anaacha...
Jamani hivi kweli umehitimu chuo cha ualimu? Kama waalimu wenyewe ndio mmaandika hivi je na
wanafunzi wenu wataaandikaje? halafu jifunze kujibu vizuri humjui unaemtukana maana anaweza akawa ndio msaada wako.......
Jamani hivi kweli umehitimu chuo cha ualimu? Kama waalimu wenyewe ndio mmaandika hivi je a
wanafunzi wenu wataaandikaje? halafu jifunze kujibu vizuri humjui unaemtukana maana anaweza akawa ndio msaada wako.......
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.