Mimi ni mmoja wa watu wanaoamini uwezo wa kiuongozi alionao lowassa tokea zamani sana pamoja na kukataliwa na Baba wa Taifa. Uwezo wa Edward Ngoyai Lowassa katika uongozi wan chi hii uko dhahiri katika mambo mengi tu aliyoyasimamia kuanzia kwenye wizara alizozisimamia hadi alipokuwa waziri mkuu...
Mchambuzi mbona umeniwahi nilichokuwa nakifikiria, hebu check bandiko langu namba 15, nimeliongelea hili, Muda utakapofika wa wananchi kupata mageuzi hawataangalia hayo mageuzi anayaleta nani hata yakitokea msikitini watayakubali, Kinachotakiwa ni kuwa na strong organization za kitaifa ili...
Mageuzi yanapokuja yanaangalia the most organized entity ndiyo itakayo-spearhead hayo mageuzi iwe ni chama cha siasa, chama cha wafanyakazi, taasisi ya kidini, CBO, NGO, jeshi n.k. Sasa CCM inafikiri kwa ku-oppress vyama vya siasa basi itachelewesha mageuzi, haijui kuwa mageuzi yanapokuja ni...
Mkuu Private Candidate naomba nikurekebishe hiyo lugha ya watu uliyotumia, samahani lakini 'Issue ni kuwa She didn't apply like others Nor did she undergo any interview' au ungeweza kusema 'Issue ni kuwa 'She neither applied like others nor underwent any interview'
. He never asked for my CV or results!! He has never seen my University Certificate.
Oooh that's obvious to lawyers. Lawyers are not asked for their credentials as long as they know how to stand in the court. That's why the 'fake lawyer' who represented Sadam and milosevic at Iraq and the...
Nimenunua decoder yenu tar 15 jan, eti jana mmenikatia service wakati mwezi haujafika. halafu inaonekana hata kukata kwenu mnakata manually maana kwanza mnazima service kwa muda mrefu. kwani hamna program ya kuweza kumkatia mtu tarehe yake ya kulipia ikifika?
sasa kwa mpango wenu huu silipii...
Kwa muda mrefu CCM imekuwa ikitumia 'ujinga' kama tatizo la kimkakati la kuendelea kubaki madarakani. Ni ukweli usiopingika kuwa sababu ya ujinga unaotokana na umasikini kukithiri katika sehemu kubwa ya jamii, hata wakati wa kampeni za uchaguzi CCM imekuwa ikifanya jitihada za makusudi...
Ngoja nikufahamishe siku hizi ukinunua gari kwa kuangalia milage itakula kwako, labda uliangalie likishashuka bandarini, lakini likififa yard milage zinabadilishwa sana, nenda magomeni au lumumba kaangalie milage ndio utajua, utanunua gari limebandikwa na super glue. mimi siyo dalali, gari ni...
we kama unahitaji gari tuwasiliane ulione gari, njoo na fundi wako kama hujiamini. mimi ndio mwenye gari na naliuza kwa kuwa nina gari nyingine na hili limekaa tu, sasa sitaki kulipia leseni zake wakati silitumii. kama unaona nakubambika basi nenda ukanunue lumumba au magomeni kwenye magari...
Yaani ukitaka kujua jinsi viongozi waliopo kwenye serikali hii walivyofilisika kimawazo wasikilize kauli zao, eti waziri mzima unajenga hoja kuwa wanasiasa hawataki tatizo la umeme liishe ndi maana wanagomea gesi. kwanza wanaogomea gesi si wanasiasa ni wananchi na sababu za kugomea gesi isitoke...
halafu hizi nyuzi mnazoibuka nazo saa 6 ya usiku mkiwa mmejikusanya inaonyesha kuna kitu mnakiogopa, maana kama ni tamko la bavicha lipo tokea mchana, sasa mda wote huu mlikuwa mnafanya nini au ndio mnaogopa za uso mchana, hata kesho watu watawapa tu haina kuremba
Oyaa usitujazie nyuzi hapa, mwenzako 'Taswira' keshatoa uzi kama huu tena mida hii, kama una lako nenda kachangie huko sio kutujazia page kwa mambo yenu ya kijinga, mlipokuwa mnaanzisha makundi mbona hamkuanzisha thread tuchangie, saa hizi makundi yanabomolewa tunaona mapovu mengi humu hebu...
Kiongozi nimeisoma yote ingawa sijaona sehemu aliyosema anatokea shirika gani, ila ni investigative journalist mzuri. Kuhusu mgogoro wa goma nakubaliana nae kwenye discipline kwenye jeshi la DRC yaani sijawahi kuona jeshi bovu kama lile ingawa hajafanya mahojiano na wanajeshi wa DRC mimi nimekaa...
Kiongozi Makene heshima mbele jembe langu, huyu mwandishi namuadmire sana ingawa simfahamu ila mara ya kwanza nilimuona aljazeera akirusha kipindi cha mauaji ya albino kwenye 'investigate' , yuko shirika gani la habari au ni mwandishai wa kujitegemea? yaani anatuwakilisha vyema sana waTZ naomba...
Kwani nyie washikaji kila kitu kinachoihusu chadema lazima mcomment? Wiki iliyopita tuliwapa uwanja mtukane mnavyoweza, Tumeshawasikia kuwa Slaa mnafiki, mwizi, fisadi, mamluki, masalia, dictator + yote anayosema Nchemba, Nape na kibajaji. Kwa nini sasa msitumie bundle zenu kuimarisha chama...
Nilikuwa namuangalia Dr Dalali Kafumu yule mwanasiasa na msomi aliyekuwa kamishana wa madini na mbunge wa igunga kabla ya kuvuliwa na mahakama. Alichonishangaza ni kuyaelewa matatizo ya nchi hii kwa ufasaha kabisa kuanzia tunavyoporwa madini hadi tatizo la rushwa. Tena ameamua kuandika hadi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.