Mheshimiwa Rais samahani sana, na pole na majukumu yako mama.
Sisi WaTanzania ambao kwa bahati mbaya tumewai kufanikiwa kutoka nje ya nchi hii kiukweli roho imekua ikituuma kuona vi nchi vidogo ambavyo vingine havitufikii kwa rasilimali na utajiri tulio nao, et navyo vina barabara bora na kubwa...
Nina miaka 30, nimeajiliwa na kipato namshukuru Mungu kipo fresh.
Naishi Dar es Salaam. Sina mtoto, dini mkristo. Urefu 6'2, maji ya kunde.
Natafuta mke, awe mwalimu, regardless chekechea, primary, secondary au chuo, awe ni mwalimu tu.
Kwanini Mwalimu? Well, ni sababu ni mwanamke wa ndoto...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.