SoC04 Threads

  • Suggestion Suggestion
Miaka ya karibuni na hadi sasa Tanzania na dunia kwa ujumla imekua ikikumbwa na majanga mbalimbali yakiwemo mafuriko, matetemeko, milipuko ya magonjwa, moto, vimbuga na maporomoko ya udongo...
0 Reactions
2 Replies
396 Views
Upvote 1
  • Suggestion Suggestion
My initial thoughts were, if we wanna project where will this country be in the next five years we have to project where the world will be in the next five years, if we project were the world will...
0 Reactions
1 Replies
667 Views
Upvote 2
  • Suggestion Suggestion
Utangulizi, Sekta ya elimu Tanzania ndio inaandaa wadau wote wa maendeleo, Kila mmoja katika nafasi yake akijengwa kujua kitaaluma kuino nafasi yake katika maendeleo ya taifa kuna uhakika wa...
2 Reactions
1 Replies
373 Views
Upvote 4
  • Suggestion Suggestion
Mheshimiwa Waziri wa Fedha, Tanzania yetu ni nchi yenye amani tele na yenye fursa nyingi za uwekezaji. Tuna rasilimali nyingi muhimu, uchumi imara na uwezo wa teknolojia. Hata hivyo, kwa bahati...
2 Reactions
2 Replies
548 Views
Upvote 5
  • Suggestion Suggestion
Safina Inayozama "Ni majira ya saa 10 jioni kikao kinakaliwa cha kuweka mikakati wa maendeleo kwa miaka 5 hadi 25 ijayo, lakini kinachowashangaza wazee wa Kijiji cha Wafagiliaji Wanashangazwa na...
0 Reactions
3 Replies
439 Views
Upvote 3
  • Suggestion Suggestion
1. Kuhakikisha vijana wanapata nafasi ya kugombea nafasi mbalimbali za uongozi kuanzia kijiji mbaka serikali kuu. 2.wanawake kupewa kipaumbele katika nafasi za vyama vya siasa katika kutenda haki...
0 Reactions
1 Replies
377 Views
Upvote 1
  • Suggestion Suggestion
STORY OF CHANGE MSIMU WA NNE (4) Andiko linahusu Tanzania tuitakayo Tanzania tuitakayo iwe bora katika mambo yafuatayo ni lazima tuifanyie mabadiliko katika sehemu zifuatazo ambazo ni; Afya...
2 Reactions
2 Replies
392 Views
Upvote 6
  • Suggestion Suggestion
Salaam Wanajamvi Kuelekea ujenzi wa Tanzania ile tunayotaka, Mimi napenda kuchangia mawazo yangu na kufungua mjadala katika suala zima la utatuzi wa ajira hapa nchini. kati ya changamoto kubwa...
3 Reactions
3 Replies
636 Views
Upvote 4
  • Suggestion Suggestion
Utangulizi: Katika ulimwengu uliounganishwa, mawasiliano bora ni muhimu kwa ajili ya kukuza mahusiano ya kimataifa na kukuza fursa za maendeleo ya kiuchumi, kijamii, kielimu, afya, teknolojia...
0 Reactions
2 Replies
730 Views
Upvote 3
  • Suggestion Suggestion
UTANGULIZI Urithi wa Jeshi la Polisi wa kikoloni umekuwa na athari kubwa katika utendaji na muundo wa jeshi la polisi la Tanzania. Wakoloni walianzisha mtindo wa polisi ambao uliundwa kwa misingi...
0 Reactions
2 Replies
587 Views
Upvote 3
  • Suggestion Suggestion
Mageuzi tunayohitaji ya Vyombo vya Habari katika Jamii ya Kitanzania kuanzia Sasa mpaka miaka ijayo Mwandaaji: Johnson Paulo Meibaku Itakapofika mwaka wa 2029, Tanzania inahitaji mabadiliko...
0 Reactions
3 Replies
579 Views
Upvote 1
  • Suggestion Suggestion
Tanzania Tuitakayo, huweza kuja kwa kuwa na taifa moja ambalo ni rafiki zaidi ya ndugu (Special Relationship) kama urafiki (Special Relationship) uliopo kati ya mataifa yaliyoendelea zaidi...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Upvote 6
  • Suggestion Suggestion
Tanzania bado tuna changamoto katika suala zima la elimu ikiwa ni pamoja na mazingira mabovu ya kujifunzia, uchache wa vifaa bora vya kufundishia nakujifunzia, uchache wa shule katika baadhi ya...
0 Reactions
1 Replies
352 Views
Upvote 1
  • Suggestion Suggestion
Serikali katika suala la elimu ihakikishe Inatatua changamoto ya uhaba wa walimu kwa baadhi ya shule Ukosefu wa vifaa vizuri vya kufundishia na kujifunzia Kuongeza mashule hususani katika maeneo...
0 Reactions
1 Replies
445 Views
Upvote 4
  • Suggestion Suggestion
UZURI NA UBAYA WA MTI NI MWONEKANO WA MATAWI YAKE Serikali kuu inafinyangwa na serikali ndogo ndogo pamoja na sekta mbalimbali zilizopo nchini. Hivyo zikiweka taswira hasi kiutendaji basi zijuwe...
0 Reactions
1 Replies
347 Views
Upvote 1
  • Suggestion Suggestion
Tanzania, tuitakayo kwa miaka ishirini na mitano (25) ijayo; SIASA; 1.Mfumo wa upigaji kura wa elektroniki, Kuwe na mfumo wa kupiga kura na kuzihesabu kwa njia ya kielektroniki badala ya...
0 Reactions
1 Replies
319 Views
Upvote 1
  • Suggestion Suggestion
Naipongeza serikali kwa ujenzi wa shule za kata kwa nchi yetu ya Tanzania kila wilaya kwasasa wanafunzi wetu wanapofaulu wanauhakika wa kuendelea na kidato cha kwanza pia na ukaribu wa sehemu...
0 Reactions
2 Replies
439 Views
Upvote 2
  • Suggestion Suggestion
Hata sidhani kama story itatosha kitabu, ila kiuhalisia mitandao ya kijamii na teknolojia kiujumla imebadilisha dira nzima ya Tanzania. Hivyo kupelekea tamaduni na mila halisi walizoacha kina babu...
0 Reactions
1 Replies
243 Views
Upvote 1
  • Suggestion Suggestion
Kwa kiasi kikubwa haiwezi kupingika ya kuwa ili tuwe na Tanzania bora tunayohitaji lazima tuweke nguvu kubwa katika swala zima la malezi ya watoto na vijana kwani wao kwa kiasi kikubwa ndio...
2 Reactions
2 Replies
508 Views
Upvote 4
  • Suggestion Suggestion
UTANGULIZI Huduma za afya nchini Tanzania zimekuwa za mbovu hali ambayo inapelekea wananchi wa kawaida kulalalamikia serikali kila mara na wengine kushindwa kuhudhuria shughuli za kimaendeleo...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Upvote 4
Back
Top Bottom