SoC04 Threads

  • Suggestion Suggestion
Fundi Cherehani (Tailor) na Fundi Mbao (Carpenter) ni mafundi wenye maajabu. Wewe kama huamini haya maneno au hujawahi kuona maajabu yao basi mtafute ndungu yako au rafiki yako wa karibu amabaye...
2 Reactions
7 Replies
954 Views
Upvote 2
  • Suggestion Suggestion
Kanda ya Ziwa katika eneo la Afrika Mashariki, ambayo inajumuisha maziwa makubwa kama Ziwa Victoria, Ziwa Tanganyika, Ziwa Nyasa, na maziwa mengine madogo, ina utajiri wa rasilimali za jiolojia...
0 Reactions
1 Replies
485 Views
Upvote 1
  • Suggestion Suggestion
Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) la Tanzania, lililoanzishwa kwa lengo mapana la kuboresha upatikanaji wa makazi, pamoja na malengo ya kuhakikisha kila Mtanzania anapata nyumba tena ya bei nafuu...
0 Reactions
1 Replies
510 Views
Upvote 1
  • Suggestion Suggestion
Tanzania, kama nchi nyingine, inakabiliwa na changamoto na fursa za kuendana na mabadiliko ya dunia. Kujipanga kunahitaji juhudi za pamoja kutoka kwa serikali na wananchi ili kuhakikisha maendeleo...
0 Reactions
1 Replies
579 Views
Upvote 1
  • Suggestion Suggestion
Hii ina maanisha kuwa endapo serikali yetu kwa pamoja na mashirika binafsi au hospital binafs zinaajiri wataalamu kwa ajili ya kutoa elimu au ushauri kwa vyanzo vya magojwa hii itasaidia...
0 Reactions
1 Replies
554 Views
Upvote 1
  • Suggestion Suggestion
TFDA ilibadilishwa kisheria na kuwa TMDA tarehe 1 Julai, 2019 baada ya marekebisho ya Sheria ya Chakula, Dawa na Vipodozi, Sura ya 219 na Sheria ya Fedha Na. 8 ya 2019. ya bidhaa za chakula. Hivyo...
0 Reactions
1 Replies
633 Views
Upvote 1
  • Suggestion Suggestion
utangurizi: Pamoja na uwepo wa jitihada za serikali katika kutoa elimu maalumu kwa watu wenye matatizo ya kusikia na kuzungumza, rakini bado kumekua na changamoto mbali mbali ambazo haswa zimekua...
0 Reactions
1 Replies
625 Views
Upvote 1
  • Suggestion Suggestion
KWANINI DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA WATANZANIA WASIJIANDIKISHIE NIDA Kubadilisha mavazi, Tabia, Magari, Nyumba na Majumba sio dhambi na sio kosa kisheria kama vitu vyote vyako hivyo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Upvote 2
  • Suggestion Suggestion
Kabla ya yote, nachukua nafasi hii kumshukuru allah (sw) kwa kunijaalia uzima wa afya na uhai pia kuniwezesha kushiriki katika shindano hili la kuandika andiko la kutoa mawazo ya kibunifu kuhusu...
0 Reactions
1 Replies
492 Views
Upvote 2
  • Suggestion Suggestion
Mambo matano ya kuyafanya 1. Kuweka mkazo katika sera zake za uendeshaji wa mashirika binafsi kuzalisha malighafi za viwandani kama alizeti, miwa pamoja na mazao ya chakula. 2. Kupunguza ushuru...
0 Reactions
1 Replies
577 Views
Upvote 2
  • Suggestion Suggestion
UTANGULIZI Katika nchi yeyote duniani ili kuendelea ni lazima iwe na katiba nzuri na yenye kujali maslahi makubwa ya wananchi , bila hivyo tutajidanganya wote tunafahamu kuwa katiba nzuri ndo...
0 Reactions
1 Replies
652 Views
Upvote 2
  • Suggestion Suggestion
Kwa kuzingatia ombi lako, "Tanzania Tuitakayo": --- Tanzania, nchi yenye utajiri wa asili na utamaduni, imekuwa ikipitia mabadiliko makubwa katika miaka ya hivi karibuni. "Tanzania Tuitakayo"...
2 Reactions
4 Replies
613 Views
Upvote 2
  • Suggestion Suggestion
Katika Tanzania tuitakayo Serikali iboreshe katika sekta ya kilimo kwani ndio uti wa mgongo katika kuimalisha uchumi wa nchi yetu. Mambo yakufanyiwa kazi ni pamoja na:- 1. Kutoa elimu juu ya...
1 Reactions
1 Replies
497 Views
Upvote 3
  • Suggestion Suggestion
Sehemu ya Kwanza: Kuanzisha Misingi Katika moyo wa Afrika Mashariki, Tanzania inaendelea na safari yake ya kufikia ustawi na maendeleo endelevu. Safari hii imejaa changamoto na fursa, lakini kwa...
0 Reactions
1 Replies
575 Views
Upvote 6
  • Suggestion Suggestion
Mara kadhaa kama jamii tumejikuta tukiwa na dhana mbaya sana kuhusu maafisa usalama hususani ni askari polisi, mgambo na kadhalika. Takwimu nyingi zimeonesha kuwa jamii haina imani kabsa na...
1 Reactions
2 Replies
989 Views
Upvote 3
  • Suggestion Suggestion
Upandaji miti umekuwa suala la kutumia nguvu sana kwa sababu ya umuhimu wake mkubwa katika kupambana na mabadiliko ya tabia ya nchi na kuhifadhi mazingira. Hata hivyo, licha ya ufahamu wa umuhimu...
1 Reactions
1 Replies
645 Views
Upvote 3
  • Suggestion Suggestion
Umma utafanikiwa pengine ukapiga hatua kama utatambua thamani ya kuwapa madaraka watu wa miongoni mwao, wenye uwezo yakinifu, waliojawa na imani ya chachu ya kutaka mabadiliko na wakatambua...
0 Reactions
1 Replies
373 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
Tanzania Tuitakayo: Mawazo ya Kibunifu kwa Mabadiliko Tanzania ni nchi tajiri yenye rasilimali nyingi na watu wenye jitihada na uwezo mkubwa. Hata hivyo, ili tuweze kufikia Tanzania Tuitakayo...
1 Reactions
2 Replies
607 Views
Upvote 2
  • Suggestion Suggestion
jiolojia imekuwa ikiwa nyuma katika vipaumbele vya maendeleo ikilinganishwa na wanasayansi na wahandisi katika nchi nyingi, ikiwa ni pamoja na Tanzania. Sekta ya jiolojia mara nyingi inakabiliwa...
0 Reactions
1 Replies
774 Views
Upvote 3
  • Suggestion Suggestion
Kuelekea uchumi wa viwanda Tanzania ina ulazima wa kusimama imara katika nyanja mbalimbali za ubunifu wa kiteknolojia, uwepo wa nguvu kazi, malighafi, wawekezaji, ambapo tegemezi lake Kubwa ni...
0 Reactions
1 Replies
479 Views
Upvote 1
Back
Top Bottom