SoC03 Threads

  • Suggestion Suggestion
Kulingana na kuwepo kwa changamoto nyingi sana zinazoikumba jamii ya kitanzania kuhusu gharama za bando na kuwepo kwa kutoeleweka namna ipi itumike ili kuwezesha upatikanaji wa gharama nafuu za...
1 Reactions
0 Replies
755 Views
Upvote 1
  • Suggestion Suggestion
Nimezaliwa mwaka 2013 katika wilaya ya Muleba na kulelewa na bibi yangu kipenzi, Bi.Khadija. Bi.Khadija alipenda sana kusoma na muda mwingi aliutumia kusoma vitabu vilivyoelezea utawala bora na...
0 Reactions
2 Replies
597 Views
Upvote 1
  • Suggestion Suggestion
UTANGULIZI Katika makala hii utaweza kujifunza juu ya shujaa huyu mwenye nguvu asiyeweza kutumia silaha zake, tena ni kipofu. Shujaa ni neno lililotumika kuwakilisha bara ambalo lina vyanzo vingi...
1 Reactions
1 Replies
481 Views
Upvote 1
  • Suggestion Suggestion
UTANGULIZI Ukarimu ni mfano mmojawapo wa kete wanayotumia wanasiasa na viongozi wa serikali kusisitiza Watanzania kuuenzi utamaduni wa Mtanzania. Kimsingi ni malengo yetu sote tuufikie ustaarabu...
0 Reactions
0 Replies
386 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
UTANGULIZI: "Kutakuwa na amani ulimwenguni tu wakati kuna amani kwenye familia." - Mahatma Gandhi Mahatma Gandhi, kiongozi wa uhuru wa India na mwanaharakati wa amani, anatoa wito kwa amani katika...
2 Reactions
3 Replies
893 Views
Upvote 3
  • Suggestion Suggestion
Katika katiba ya shirika la afya duniani, afya imefafanuliwa kama hali ya ustawi kamili wa kimwili, kiakili na kijamii na si tu kutokuwepo kwa ugonjwa. Yamkini, Afya pia haitazamiwi kama hali ya...
1 Reactions
3 Replies
328 Views
Upvote 3
  • Suggestion Suggestion
Rushwa inaweza kufafanuliwa kama matumizi mabaya ya mamlaka ya umma nakutumia kwa faida binafsi. Wakati utawala bora unahusu utumiaji wa mamlaka kupitia michakato ya kisiasa na kitaasisi ambayo ni...
2 Reactions
2 Replies
320 Views
Upvote 2
  • Suggestion Suggestion
Nawatakia kheri-wote-wanaoipenda Tanzania na demokrasia duniani kote.Tangu kupatikana kwa uhuru, muungano hadi leo hii, tumepitia mapito mengi wote walioandikwa na ambao hawajaandikwa mbarikiwe...
0 Reactions
0 Replies
330 Views
Upvote 1
  • Suggestion Suggestion
Tanzania Tanzania, nakupenda Tanzania. Nchi yangu nzuri, nakupenda Tanzania. Kimbilio la wanyonge, nakupenda Tanzania. Uliyezengukwa na misitu tele, nakupenda Tanzania. Mito shazi na bahari...
0 Reactions
0 Replies
318 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
Mpira wa miguu umechuka nafasi kubwa katika kupanua wigo wa vijana wengi kupata ajira ukihusisha vijana wa kike na vijana wa kiume napa nchini ambapo wengine wamepata nafasi ya kucheza soka nje ya...
0 Reactions
0 Replies
585 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
Mshumaa uendao kuzima na kupelekea giza nene kwenye nchi yetu ya Tanzania,ni nani wa kuwasha mshumaa huu? Na je ni nani wa kuleta nuru mpya kwenye nchi? Na nini kifanyike kufanya mshumaa huu...
1 Reactions
0 Replies
506 Views
Upvote 2
  • Suggestion Suggestion
Duniani yapo magonjwa mengi sana ambayo yalitokea na kupotea na mengine bado yanaendelea. Na magonjwa mengine yanatisha watu wa rika zote na watu wa vyeo mbalimbali. Lakini Mimi napenda...
1 Reactions
2 Replies
901 Views
Upvote 2
  • Suggestion Suggestion
Elimu ni maarifa na ujuzi anaokuwa mtu kuhusu jambo fulani, hivyo kusaidia katika kufanya kazi Fulani kwa ufanisi na matokeo ya kazi hiyo kuwezesha mtu kuinua hali yake ya kimaisha. Elimu ni...
0 Reactions
0 Replies
683 Views
Upvote 1
  • Suggestion Suggestion
Kabla ya uhuru Nchi nyingi za Afrika na Asia zilikua zinalingana katika maendeleo. Tofauti tunazoziona hivi Sasa ni matokeo ya viongozi waliokuwepo madarakani. Viongozi ambao walikua na maono...
0 Reactions
0 Replies
352 Views
Upvote 1
  • Suggestion Suggestion
Huku mitaani idadi ya vijana wasio na ajira ni kubwa na inazidi kuongezeka Kila uchao. Tatizo ni kubwa na linazidi kuongezeka kwa Kasi,ajira ndio msingi wa kipato na kipato ndio msingi wa maisha...
0 Reactions
0 Replies
342 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
Kwanza kabisa naomba nieleze Kwa ufupi ni kivipi nchi nyingi za Ulaya zimeweza kuwa vinara katika maendeleo ya uchumi, majeshi, miundombinu ya usafiri, usalama n.k tofauti na nchi za Africa...
0 Reactions
0 Replies
265 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
Katika Nchi yenye maendeleo, walianza na maendeleo ya watu. Uboreshaji wa ustawi wa watu huleta maendeleo endelevu. Hivyo ili uwe kiongozi bora lazima uboreshe maisha ya unao waongoza. Utawala...
1 Reactions
3 Replies
571 Views
Upvote 1
  • Suggestion Suggestion
Utangulizi: Katika sekta yoyote, uwajibikaji na uongozi bora ni mambo muhimu katika kuhakikisha ufanisi na mafanikio ya shirika. Kuchochea mabadiliko ya uwajibikaji na utawala bora ni jambo la...
0 Reactions
0 Replies
429 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
Ushirikiano wa Tanzania na DP World, kampuni inayoongoza duniani kwa bandari yenye makao yake makuu Dubai, inatoa fursa nyingi kwa nchi kuimarisha maendeleo yake ya kiuchumi na miundombinu. Kwa...
1 Reactions
1 Replies
309 Views
Upvote 1
  • Suggestion Suggestion
Utangulizi: Katika sekta yoyote, mabadiliko ya uwajibikaji na utawala bora ni muhimu sana katika kuendeleza ufanisi na mafanikio. Katika andiko hili, tutajadili mbinu zinazoweza kuchochea...
0 Reactions
0 Replies
322 Views
Upvote 0
Back
Top Bottom