Kumekuwepo na chapisho lililosambazwa kwenye ukurasa wa Facebook likimnukuu mfugaji mmoja nchini Kenya akilalamikia uwepo wa zebra katika eneo lake. Mfugaji huyo anadai kuwa zebra hao wanazaliana...
Nyie si mnajifanyanga sijui katoliki inaongoza dunia
Haya Trump amesema anaweza kulizimisha kanisa lote na kulipoteza
Vatican files hizo utakuta ndio mambo yote ya kulawiti watoto dunia nzima
Mzee amenena maneno ya makufuru dhidi ya mpigania haki Lisu ambaye wmezuiliwa gerezani bila kosa lolote.
Leo mzee Wasira ameropoka na kusema wanamzuia kwakuwa hataki maridhiano.
Soma mwenyewe...
Wakuu nimekutana na hii video inadaiwa kuwa ni kifaa cha Artemiss II kikisindikizwa na msafara baada ya kutua kutoka mwezini. Uhalisia wake ni upi?
===
Witnessing history Artemis II Orion capsule...
Kumekuwepo na machapisho kadhaa yanayosambazwa kwenye kurasa mbalimbali za mitandao ya kijamii hususani facebook kufuatia kauli ya Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, John Heche, alipozungumza na...
Wakati mvutano wa vita kati ya Iran, Israel na Marekani ukiendelea Duniani , kumeibuka machapisho yanayosambzwa kwenye mtandao wa Facebook likidai kuwa Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin...
Kumekuwepo na chapisho lililosambazwa kwenye mtandao wa Facebook, kupitia ukurasa wa Nalinga Media, na baadhi ya tovuti za kimatifa likidai kuwa mamlaka za Iran zimegundua fuvu la kichwa cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.