KERO Threads

Anonymous
KERO 
Mwendokasi wa Malori ya mchanga na kokoto imekuwa ni kero kwa barabara ya mji mwema kuelekea dege/kimbiji ajari zimekuwa ni kawaida kupinduka, kugonga magari madogo au pikipiki na hata kusabisha...
0 Reactions
0 Replies
134 Views
Anonymous
KERO 
Ni baada ya polisi kuanza doria usiku imesababisha raia hasa wale wanaochelewa kurudi majumbani kwa sababi kadhaa wakikutana na polisi wanachezea kichapo kwanza ndo kisha kuhojiwa. Hii imepeleka...
1 Reactions
2 Replies
215 Views
Anonymous
KERO 
Mimi ni Mfanyakazi wa Kampuni ya ulinzi inayoitwa G4S, Serikali ilitangaza kuwa kima cha chini ni 299k na ukijumulisha na overtime na sikukuu inatakiwa kiwe kuanzia 489k - 520k kwa normal guard...
1 Reactions
9 Replies
403 Views
BigTall
KERO Responded 
Hali ilivyo kuhusu changamoto ya ubahaba wa maji safi na salama kwa Wakazi wa Kijiji za Baraki, Kata ya Baraki Wilaya ya Rorya Mkoani Mara ambapo kuna takribani Kilometa 5 tu na lilipo Ziwa...
1 Reactions
5 Replies
260 Views
Anonymous
KERO 
Sisi wakazi wa Goba Mitaa ya Nasary & Mwanzo tuna kero kubwa ya kukosa maji, unakuta tunapata mara 3 au 4 kwa Mwaka😢 wakati ambapo mitaa ya jirani wao wenyewe wanapata walau mara moja kwa mwezi...
2 Reactions
15 Replies
331 Views
Anonymous
KERO 
Nina dukuduku kuhusu Walimu wa Shule ya Secondary Kijichi, Wilaya ya Temeke... kumekuwa na michango ya kila siku inatuumiza sisi Wazazi maskini hasa Wanafunzi wa Science kufanya practical mpaka...
0 Reactions
1 Replies
205 Views
Anonymous
KERO 
Halmashauri ya Nsimbo Mkoa Katavi, fedha ya kujikimu kwa Walimu wa Sekondari hatujapata tangu Mwaka 2025, cha kushangaza Walimu wenzetu wa shule za msingi walipewa. Tumefatilia majibu ni kwamba...
0 Reactions
0 Replies
94 Views
Helloo JamiiForums, tunaomba kuripotia kadhia iliyopo katika Bank ya NMB MLELE DC tunayoipata Wananchi, Customer Care ni mbovu mno, mtu mmoja unakaa ukisubiri huduma zaidi ya dakika mpaka 50 bila...
3 Reactions
7 Replies
179 Views
Anonymous (54df)
KERO 
Mimi ni mlemavu wa viungo, sina mkono mmoja, Mwaka 2025 nimefanya usaili na nikapata alama 55 lakini sikuchaguliwa. Sasa nataka kuelewa labda kuna kitu sikuambatanisha, kwenye account ya...
3 Reactions
5 Replies
271 Views
Anonymous
KERO 
TAMISEMI hasa upande wa LGA Hawajali masilahi ya Watumishi wao kila siku watu wanalamika hakuna majibu yanayojibiwa. Tasisi zote zilizo na miradi ya Ujenzi Kuna hela inakuwepo kwa ajili ya...
0 Reactions
0 Replies
139 Views
Machi 23, 2022 Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga kwa kushirikiana na Shirika la Maendeleo la Uholanzi (SNV – Netherlands Development Organization) kupitia Mradi wa Usafi wa Mazingira (WASH SDG)...
0 Reactions
2 Replies
293 Views
Itoshe tu kusema Jiji la Mbeya ni moja ya miji yenye miundombinu duni kabisa Tanzania hii. Jiji lisilo na mpangilio maalumu, barabara duni, mifereji ya majitaka mibovu na inasababisha kujaa maji...
1 Reactions
15 Replies
363 Views
Anonymous
KERO 
Tafadhari taarifa ziwafikie Hawa RITA Nini maana ya kuweka huduma ya kuomba cheti kwa njia ya mtandao kama mtu nimefanya maombii ya cheti cha kuzaliwa mwezi wa 12 mpaka sasa hakuna mibu ya aina...
1 Reactions
0 Replies
207 Views
Anonymous (ba90)
KERO 
Sisi wafanyakazi wa zamani wa Kampuni Power Placers Ltd. ambayo ni kampuni iliyokuwa ikiajiri kwa ajili ya Wafanyakazi kufanya kazi chini ya Kampuni ya Yapi Merkezi kwenye mradi wa ujenzi wa reli...
3 Reactions
10 Replies
367 Views
TTCL (T Pesa) inasumbua wateja wanashindwa kutoa fedha zaidi ya muda wa siku nne mfululizo na hakuna majibu yanayoridhisha kutoka kwa customer care Majibu yao ni "Kuna hitilafu ya kiufundi...
1 Reactions
3 Replies
168 Views
immortanity
KERO Responded 
Uongozi wa chuo kikuu cha dodoma tunaomba mfanyie kazi swala la miundombinu ya vyoo . Matundu ya vyoo (sinks) zimeziba ukiingia chooni unachokutana nacho unaweza kutapika hii sio sawa kabsa ...
4 Reactions
5 Replies
349 Views
Anonymous
KERO 
Wanafunzi tuliomaliza Chuo cha Mipango Dodoma mwaka jana (2025) mpaka leo hatujalipwa refunds zetu kwa waliozidisha ada na taratibu zote za kuhakiki account na majina tayari tangu tarehe 9 Januari...
0 Reactions
1 Replies
148 Views
Kuna changamoto na adha kubwa tunapitia Watumishi wenye mahitaji maalum kwenye suala la uhamisho, tunapangiwa sehemu za kufanya kazi ambazo sio rafiki, hivyo inaathiri utendaji na inapotokea...
3 Reactions
7 Replies
468 Views
Anonymous
KERO 
Tunaomba tusaidiwe wanachuo tuliomaliza Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Kampala kilichopo Gongo la Mboto toka mwezi wa saba mwaka jana mpaka leo tarehe 28.01.2026 hatujapewa vyeti kwa course...
1 Reactions
4 Replies
287 Views
Anonymous
KERO 
Mimi ni Mtumishi Ajira mpya 2025, tumeripoti kazini tangu Machi 2025 Mkoa wa Geita ila cha ajabu mpaka sasa tumemaliza takribani miezi 10 hadi 11 hatujapewa hela za kujikimu. Imekuwa kama mpira...
1 Reactions
4 Replies
260 Views
Back
Top Bottom