KERO Threads

Anonymous (f836)
KERO 
Mimi nimesoma fani ya misitu katika chuo cha misitu Olmotonyi kilichopo Arusha nimehitimu mwaka 2019, jana tarehe 23/03/2026 tumefanya usaili wa kwa ajiri ya nafasi za kazi zilizo tangazwa mwezi...
0 Reactions
3 Replies
211 Views
Anonymous
KERO 
Ninaomba mtusaidie kupaza sauti kuhusu suala la kupata pesa za kujikimu sisi ajira mpya upande wa TAMISEMI Sumbawanga Municipal Council. Nimepata ajira yangu huku lakini ninayoyasikia na kuyaona...
0 Reactions
7 Replies
167 Views
Nilipita jana barabara hii, kipande cha kutoka Endasaki mpaka ufike Dareda Barabara Kuu ya Singida Babati, kwa kifupi ina mashimo mengi na makubwa sana jambo ammbalo ni hatari kwa watumiaji wa...
2 Reactions
9 Replies
879 Views
Anonymous
KERO 
Walimu wamekuwa na tabia ya kuwapeleka wanafunzi muda wa vipindi kufanya kazi za shamba, ikiwamo kulima, kupalilia, kuvuna na kupukuchua mahindi pamoja na kuwachotea na kuwapelekea maji walimu...
0 Reactions
1 Replies
146 Views
Anonymous
KERO 
Naomba kuwasilisha kero yangu huku nikiomba faragha yangu ilindwe, hivyo sipendi kutajwa au kujulikana kuwa mimi ndiye mtoa taarifa hii. Mimi ni mkazi wa Kigamboni, eneo la Geza Ulole. Kumekuwa...
1 Reactions
1 Replies
169 Views
Anonymous
KERO 
Natokea Halmashauri ya Tanganyika Mkoa wa KATAVI, kuna tatizo kwenye malipo ya likizo kwa Watumishi wa Serikali, mfano likizo ya December 2024 kuna Watumishi hawajalipwa pesa hata mia, cha ajabu...
0 Reactions
1 Replies
121 Views
Anonymous
KERO 
Walimu wa Shule za Sekondari katika Halmashauri ya Wilaya ya Singida (Singida DC) tuna malalamiko yetu kadhaa hasa yanayohusu kutolipwa malimbikizo ya fedha za kujikimu kwa muda mrefu. Tatizo la...
0 Reactions
0 Replies
110 Views
Anonymous
KERO 
Kampuni zinazo usika na ujenzi kama CJIS na CRJ za kichina zinapewa tenda na Serikali yetu ya Tanzania ili zijenge miundombini na zitoe ajira. Lakini zinafukuzisha sana wafanyakazi kwa sababu...
0 Reactions
1 Replies
141 Views
Anonymous
KERO 
Kuna Taasisi inaitwa Fanikiwa Microfinance inajishughulisha na utoaji wa mikopo, Makao Makuu yapo Dar es Salaam na pia wana matawi mengi Mikoani. Alipoingia Rais Madarakani waliambiwa waongeze...
1 Reactions
18 Replies
474 Views
  • Redirect
Anonymous
KERO 
Jengo la RITA Tower lililoko Posta Dar es Salaam, naona wameamua kulisahau mpaka siku maafa yatokee ili waunde tume. Jengo lile lina ghorofa 26, mnaweza kuelewa limebeba watu wengi kiasi gani...
0 Reactions
Replies
Views
Anonymous
KERO 
Hili suala la NSSF kuzuia mtu kupata mafao yake, ikiwa amemaliza mkataba wa kazi, au kufukuzwa, wanaleta hoja ya ndani ya mwezi utakua umepata kazi nyingine na inahusika na NSSF, si sawa sababu...
7 Reactions
38 Replies
2K Views
Anonymous
KERO 
Mimi ni mwanafunzi wa DIT, tunatumia mfumo unaitwa SOMA katika usajili na ufatiliaji wa matokeo. Kwa zaidi ya mwezi sasa mfumo umekuwa na changamoto, Huku baadhi ya wanafunzi wakiwa NOT PROMOTED...
0 Reactions
3 Replies
210 Views
Anonymous
KERO 
Daladala jijini Mbeya wamekua na tabia ya kufupisha ruti. Mfano kutoka Igawilo kwenda Stendi kuu, anaishia Kabwe/ Mwanjelwa.
1 Reactions
1 Replies
76 Views
  • Redirect
Anonymous (f836)
KERO 
Mimi natokea Halmashauri ya Tanganyika Mkoa wa KATAVI, kuna tatizo kwenye malipo ya likizo kwa Watumishi wa Serikali, mfani likizo ya December 2024 kuna Watumishi hawajalipwa pesa hata mia, cha...
3 Reactions
Replies
Views
Anonymous (f836)
KERO 
Mimi natokea Halmashauri ya Tanganyika Mkoa wa KATAVI, kuna tatizo kwenye malipo ya likizo kwa Watumishi wa Serikali, mfani likizo ya December 2024 kuna Watumishi hawajalipwa pesa hata mia, cha...
3 Reactions
5 Replies
144 Views
Anonymous
KERO 
Ni jambo la kusikitisha na linaloumiza moyo kuona hali ya miundombinu ya barabara na daraja katika Kata ya Bunamhala, iliyopo Wilaya ya Bariadi Mjini. Mbunge wetu, Mhe. Kundo Andrea Mathew...
0 Reactions
0 Replies
120 Views
Anonymous
KERO 
Upatikani wa maji safi katika jiji la Mwanza maeneo ya Nyakato umekua usioridhisha kwa muda wa wiki mbili sasa. Kuna siku maji hayapatikani hata siku tatu. Kuna siku yanakuja asubui na kukatika...
2 Reactions
0 Replies
138 Views
Anonymous
KERO 
Ajira Mpya Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) hatujalipwa hela ya kujikimu, tukiuliza wanatuamia watatulipa, lakini kwa experience iliyopo posho ya kujikimu Watu hawalipwi hadi Mwaka unapita...
7 Reactions
47 Replies
800 Views
Anonymous (c723)
KERO 
FIDELIS Mutakyamilwa bado ana uchungu wa kuona mama yake akifariki kwa kuwa alikosa huduma ya gari la wagonjwa wa dharura kumfikisha hospitali. Mama mzazi wa kijana huyo mwenye umri wa miaka 43...
4 Reactions
1 Replies
408 Views
Anonymous
KERO 
Mimi najiuliza sana, inakuwaje ofisi ya Mkuu wa Mkoa Njombe, wanatuma barua kwa Wafanyabiashara wakiomba mchango kwaajili ya Meimosi na kiasi wamekuandikia kabisa, ina maana hauna machaguzi hapo...
4 Reactions
5 Replies
220 Views
Back
Top Bottom