KERO Threads

Anonymous
KERO 
Vibarua katika Kampuni ya uchimbaji madini ya Ruby International iliyopo Mkoani Morogoro, Wilayani Ulanga wanalalamika kuwa jinsi wanavyosachiwa baada ya kazi ni udhalilishaji. Maana...
1 Reactions
8 Replies
247 Views
Anonymous
KERO 
Kuna kero iliyokithiri huku Mbondole Kata ya Msongola, Wilaya ya Ilala, Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam, kwanza ni kuhusu miundombinu ya barabara zetu, hazipitiki nyakati zote za mwaka si...
0 Reactions
4 Replies
143 Views
Anonymous (a9f4)
KERO 
Mimi nina dukuduku langu kuhusu recruitment process za sekretarieti ya ajira kupitia Ajira Portal. Tarehe 26/03/2026, nilihudhuria written interview ambayo tarehe na venue nilielekezwa pale IAA...
0 Reactions
1 Replies
236 Views
Anonymous
KERO Responded 
Watumiaji wa Stendi ya NaneNane Mkoani Mbeya tuna changamoto inayohusiana na usalama wetu, kwani nyakati za Usiku abiria wanaoshuka hapo wanakutana na giza kwa asilimia kubwa. Taa zipo ila...
2 Reactions
1 Replies
153 Views
Ulishawahi kutuma email kwenye hizi email address zilizopo kwenye website za Wizara ukajibiwa?
2 Reactions
5 Replies
128 Views
Anonymous
KERO 
Sisi wanakikundi tuliomba mkopo wa Halmashauri na tukafanikiwa kukopeshwa shilingi milioni tano kwa ajili ya mradi wa mama lishe, tulifuata taratibu zote za kuhudhuria mafunzo, kusaini mikataba ya...
2 Reactions
2 Replies
158 Views
Eneo la Stendi ya Mbezi Luis katika miaka ya hivi karibuni limekuwa na ongezeko kubwa la watu. Hali hii imekuwa kichocheo cha ukuaji wa biashara na fursa mbalimbali, hasa ikizingatiwa ukaribu wa...
1 Reactions
3 Replies
204 Views
Anonymous
KERO 
Kuna mwalimu mmoja anaitwa Nandi, anafundisha Shule ya Msingi Katusa iliyopo Manispaa ya Sumbawanga Mkoa wa Rukwa anafundisha darasa la tano. Yeye anafundisha tuition kwa shilingi 300 na mtihani...
0 Reactions
4 Replies
142 Views
Anonymous (a9f4)
KERO 
Kuna eneo ambalo ni kama pori linalomilikiwa na Mfuko wa NSSF lipo huku Kiluvya kutokea kwa Sumaye mpaka Shule ya Secondary Makurunge, Wanafunzi wanapita mpaka mida ya usiku wakitoka shule na sio...
2 Reactions
0 Replies
140 Views
Anonymous
KERO 
Mkoani Geita, wakulima tunanyanyasika sana, katika suala la kuuza mazao (mahindi ), kwa sasa vipimo vinavyotumiwa na walanguzi ni gunia na ndoo ambazo hazina uhalisia ukizingatia ukubwa wa gunia...
1 Reactions
0 Replies
127 Views
Anonymous (bbf7)
KERO Responded 
Hii ni barabara ya Tarime Mjini – Nyamongo, iko katika hali mbaya na wahusika wala hawajali. Viongozi wanaohusika na Barabara na wale wengine wote hawalioni hili? Ubovu huu ni chanzo cha...
0 Reactions
0 Replies
151 Views
Anonymous
KERO 
Watumishi Kada ya Elimu na Afya katika Halmashauri ya Wilaya ya Bunda wanafanya kazi kwa presha sanaa, maana Wananchi wanawapigia viongozi sana kulalamika wakati kazi inafanyika. Kinachotokea...
0 Reactions
0 Replies
89 Views
Anonymous
KERO 
Kwa shehia ya Jang'ombe, Kidongo Chekundu na Baraza la Manispaa mjini ishughulikie takataka zinazozagaa na kutelekezwa katika jalala la Jang'ombe, Kidongo Chekundu. Hii hali imekuwepo muda mrefu...
0 Reactions
4 Replies
168 Views
Anonymous
KERO 
Hawa jamaa wanadai mfumo wao una matatizo, ni wiki ya pili sasa huwezi kuongeza umeme wala kufanya chochote, watumiaji wa hizo submita tunapata shida sana, mimi wiki nzima sasa chumba changu...
1 Reactions
1 Replies
100 Views
Sisi ni Wadau wa JamiiForums natokea Manispaa ya Ubungo Kada ya Elimu Kero yetu ni Juu ya Pesa za Likizo tangu nihamie Manispaa ya Ubungo ni Mwaka wa tano lakini mpaka leo hatujawahi kupewa hela...
0 Reactions
2 Replies
135 Views
Anonymous
KERO 
Kuna kero inawakumba wazazi wenye katika shule ya sekondari Ipala. Mwaka jana serikali ilitoa mahindi kwa ajili ya chakula shuleni na mwanafunzi ikalazimu kwenda na mia sita kila siku kwa ajili ya...
3 Reactions
67 Replies
732 Views
Anonymous
KERO 
Kuna Shule inaitwa Bugumbikiso Secondary ipo Sengerema Mwanza, wanafunzi wanapigwa sana kwa sababu ya michango. Michango ya kuwalipa walimu wa kujitolea, na majengo. Wasipopeleka michango...
0 Reactions
3 Replies
134 Views
Mawele
KERO Responded 
Kuna chemba ya maji taka inayotiririsha uchafu kando ya Soko jipya la Kariakoo, ambalo limezinduliwa hivi karibuni na Rais Samia Suluhu Hassan. Chemba hiyo ipo kwenye kona ambapo daladala za...
1 Reactions
4 Replies
277 Views
Sisi kitu tunaweza ni kupambana na Upinzani tu na wapinzani. Tunakwama wapi ? TTCL wana juhudi kutuma Control number lakini Mfumo haufanyi kazi DAWASA wanafungua maji siku 1 wanatuma bills...
1 Reactions
2 Replies
621 Views
Anonymous (c723)
KERO 
Mimi ni moja ya Walimu wenye professional ya biashara tulioajiriwa kufundisha somo jipya la Business Studies ngazi ya Shule za Sekondari. Kutokana na kwamba hatuna professional ya Ualimu...
0 Reactions
6 Replies
432 Views
Back
Top Bottom