KERO Threads

Anonymous (ca61)
KERO 
Barabara ya Kilema Mkoa wa Kilimanjaro, Wilaya ya Moshi Vijijini, Kata ya Masaera Kusini ni mbovu sana, tunaomba mtusaidie kupaza sauti viongozi wanachaguliwa bure tu. Barabara tangu nazaliwa...
1 Reactions
1 Replies
109 Views
Anonymous (01f4)
KERO 
Hapo ni Mbagala Stend ya Daladala, hivyo ni vyoo vya hapo, kila siku vinajaa havina usafi wa maangalizi ya Jamii, ujumbe huu ufike mbali ili hatua zichukuliwe kwani ni mwanzo wa kusambaza magonjwa.
0 Reactions
0 Replies
111 Views
Anonymous (01f4)
KERO Responded 
Halmashauri ya Mkalama DC, Singida watumishi wa Ajira Mpya tangu Novemba 2024, Kada ya Afya, hawajathibitishwa kazini hadi sasa ni Mwaka na miezi 5, japo wapo baadhi wamethibitishi kwenye mfumo...
0 Reactions
2 Replies
246 Views
Anonymous (01f4)
KERO 
Serikali isafishe eneo la Kata ya Nala iruhusu watu wafuate utaratibu mzuri na mpango mzuri zaidi wa watu 2000 wanaweza kupata kujiajiri, itapata mapato kwa maegesho kwa kila gari linaloingia...
0 Reactions
2 Replies
123 Views
Anonymous
KERO 
Mwezi March mwaka huu, watumishi wanaishi maisha magumu sana. Shirika limeshindwa kulipa madai hayo ya watumishi, mfano fedha ya likizo baadhi ya hifadhi za mwaka juzi hawajalipwa. Pia...
7 Reactions
15 Replies
923 Views
Naomba kuwasilisha kilio cha muda mrefu cha ukosefu wa maji safi kutoka DAWASA sisi wakazi wa Goba Mpakani Mtaa wa Badilika, yapata sasa mwaka mzima na zaidi hatupati maji, mafundi wanapita...
0 Reactions
5 Replies
147 Views
Anonymous
KERO 
Kero kubwa ya kukatika umeme na kuwa gizani ikifika Saa moja usiku, Mtaa wa NALA SHULE YA MSINGI hapa Dodoma, kila tukiuliza majibu ya wahusika ni kwamba umeme mdogo. Je, huduma tunayolipia sisi...
0 Reactions
2 Replies
173 Views
Anonymous (d932)
KERO 
Mimi ni Mwananchi kutoka Katavi Wilaya ya Mlele naomba Serikali iongeze Watumishi Idara ya Afya Kitengo cha Mionzi, kwani kuna Mtumishi mmoja tu naye anapitia changamoto za ajali ya mguu, hivyo...
0 Reactions
1 Replies
168 Views
Anonymous (25ea)
KERO 
Kero yangu Barabara ndogo ya kwenda Saku Mwisho Kata ya Chamazi - Dar es Salaam, Diwani kaweka matuta ya udogo kuanzia mwezi kwanza ila mpaka sasa hakuna chochote kilichofanyika. Pia, baadhi ya...
1 Reactions
2 Replies
89 Views
Kwa sababu hii ni taasis inayofanya Biashara, sina haja ya kuivua Nguo, Itoshe kusema; Kulipa wafanyakazi Mishahara katikati ya mwezi unaofuata sio sawa kabisa!. Kama mnafirisika bora mtangaze...
3 Reactions
9 Replies
235 Views
Kumekuwa na tabia ambayo imekuwa endelevu kwa baadhi ya mabasi mengi yanayotokea Kigoma kuelekea MWANZA, mfano GTA Express, kuuza wateja wake baada ya kukata tiketi usiku wake unapigiwa simu eti...
6 Reactions
45 Replies
614 Views
Anonymous (c5ac)
KERO 
Watumishi wa Mtwara Manispaa wanadai posho za safari na kazi mbalimbali lakini Mkurugenzi halipi hela zote, anatumia yeye kusafiri kila siku hata muda wa kukaa ofisini hana. Imeumiza sana, watu...
1 Reactions
1 Replies
128 Views
Anonymous
KERO 
Tunapenda kuwasilisha malalamiko yetu kuhusu ucheleweshaji wa kurejeshewa fedha za tiketi za safari zilizoahirishwa kupitia Shirika la Reli Tanzania (TRC) kwa kutumia reli ya kisasa (SGR). Kwa...
0 Reactions
7 Replies
192 Views
Anonymous (d932)
KERO 
Mimi ni mdau wa ukurasa wenu. Nina kero moja, Watumishi wa Ajira Mpya (Walimu) za Januari 2026 wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam hatujapewa pesa zetu za kujikimu. Kila tunapofuatilia...
0 Reactions
11 Replies
308 Views
Anonymous
KERO 
App ya mwendokasi haifanyi kazi siku ya nne leo, tunashindwa kununua tiketi ilihali kuna hela ndani ya app. Ukiwapigia wanasema wanarekebisha
1 Reactions
2 Replies
162 Views
Anonymous (c5ac)
KERO Responded 
Hellow jamii, Kata ya Nyamhongolo Mkoa wa Mwanza Jiji la Ilemela hatuna maji wiki sasa na wakati Ziwa Victoria liko hapa hapa Mwanza, hii ni aibu. Pia soma: MWAUWASA: Kukosekana kwa huduma...
0 Reactions
1 Replies
133 Views
Anonymous (c723)
KERO 
Hii ishu ya Passport naona kuna mazingira ya kuzungushwa kwa maksudi, maana hata mimi ni wiki sasa kila nikienda ofisi za Uhamiaji Shinyanga naambiwa kuna shida ya Mtandao, hata wiki jana nilienda...
0 Reactions
3 Replies
162 Views
Anonymous
KERO 
Idara ya Uhamiaji Mbeya imekuwa changamoto na kero kubwa, nimeenda kuomba Passport nimerudi zaidi ya mara 4, mwezi sasa umeisha wanasema hakuna Mtandao wakati sisi tunajaza form zao online...
3 Reactions
3 Replies
222 Views
Anonymous
KERO 
HALI HIYO IMEPELEKEA BAADHI YA WALIMU KUKOSA FEDHA ZA KUJIKIMU NA KUPELEKEA KULALA MADARASANI KUTOKANA NA KUKOSA FEDHA ZA KODI. PIA WALIMU WENGI TUNANAISHI MBALI NA FAMILIA ZETU KWANI TULIKOSA...
0 Reactions
7 Replies
625 Views
Anonymous (0c95)
KERO 
Hivi kwa nini barabara ya Mpiji Magohe mpaka Mbezi hawajazi kifusi kama barabara ya lami imewashinda? Yaani Barabara imechimbika balaa hata kwa kupita hamna, wahusika tunaomba walione hilo, miezi...
0 Reactions
0 Replies
95 Views
Back
Top Bottom