KERO Threads

Anonymous
KERO 
Mimi nilikuwa Mfanyakazi kwenye kampuni ya Wachina inayojihusisha na michezo ya kubahatisha inaitwa BONANZA, ni kampuni maarufu sana na huenda ikawa ya kwanza kuingia nchini, nimefanya kazi...
8 Reactions
69 Replies
1K Views
Anonymous (c258)
KERO 
Sisi ni Wananchi wa Kijiji cha Mitatuni, Jimbo la Mtambile, Wilaya Mkoani, Mkoa wa Kusini Pemba katika eneo letu tunaloishi kumepita mradi wa ujenzi wa Barabara ya Mtambile hadi Nanguji...
0 Reactions
2 Replies
161 Views
Precision Air wawajibike kwa kuwachelewesha abiria 'airport' bila maelezo yanayoeleweka, "tumekaa zaidi ya masaa matatu" Abiria ambao tulikuwa na tiketi za kusafiri na ndege ya Precision Air...
1 Reactions
6 Replies
654 Views
Anonymous (c258)
RESOLVED KERO 
Hali ilivyo katika Jiji la Mwanza, Wilaya ya Nyamagana, Kata ya Kishiri, eneo la Mtaa wa Mnazi Mmoja kuelekea Bukaga ni mbaya sana. Wakati wa mvua, wananchi hushindwa kabisa kuvuka kutokana na...
1 Reactions
1 Replies
135 Views
Mkumbwa Jr
KERO Responded 
Wanajukwaa habari za muda huu. Ninalazimika kupanda jukwaani kutokana na usumbufu mkubwa sana uliopo Mfuko wa Hifadhi ya Jamii wa PSSSF . Hawa watu wanakuwa na vipengele vingi vya kufuatilia na...
4 Reactions
12 Replies
1K Views
Mlikuja vizuri, mkatufungia router ndani, mkachukua details zetu na mkatutumia control number tukalipia 55,000. Cha kusikitisha tangu tulipie mwaka jana mwezi wa 8 hadi leo huduma haijawahi...
8 Reactions
52 Replies
879 Views
Anonymous
KERO 
Sisi Waalimu wa Halmashauri ya Mkinga -Tanga, Tumekua Tukiahidiwa Pesa ya Kujikimu kuwa tutapewa lakini mpka Sasa pesa hiyo imekua ni danadana, Halmashauri wamekua na maneno Matamu ya KESHO ...
1 Reactions
8 Replies
199 Views
Anonymous (c258)
KERO 
Kila maeneo ukipita kwenye hiyo Barabara lazima utakuta kuna maeneo ni pabovu au kuna viraka kama vyote. Serikali imekaa kimya, ajabu imeleta Mei Mosi ifanyike Njombe, hata hivi viraka vinazibwa...
0 Reactions
1 Replies
120 Views
Anonymous (c258)
KERO 
Ninapenda kuwasilisha malalamiko yangu kuhusu ujazo wa gesi ya kupikia. Tarehe 24 March 2026 nilijaza gesi kama kawaida lakini cha kushangaza ni kwamba tarehe 10 tu ya mwezi Aprili gesi imeisha...
3 Reactions
10 Replies
192 Views
Mwanafunzi Mmoja wa Shule ya Msingi Mlembea iliyopo Tarafa ya Mashati, Wilaya ya Rombo anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 13 amedai kubakwa na Wanaume watatu tofauti na kwa nyakati tofauti tangu...
1 Reactions
12 Replies
365 Views
Anonymous (c258)
KERO 
Nimeona tangazo lako la Wafanyakazi wa UDART kulipwa mishahara midogo mno..... siyo wao tu hata ma-cashier wa Vodacom Mofat Road ya Mbagala, hatuna sehemu ya kuongelea kero zetu kwasababu...
2 Reactions
8 Replies
227 Views
Anonymous (c258)
KERO 
Kuna hii mikopo ya Pikipiki na Bajaji inayotolewa na MO Finance (Kampuni ya Mohammed Dewji) hii mikopo ni kandamizi kupitia masharti yake magumu. Mikopo hii ukishakopwa huwa wanahitaji marejesho...
1 Reactions
10 Replies
431 Views
Mh Mkuu wa wilaya na mkuu wa jeshi la polisi mkoa wa Pwani najua huko kwenu mnalala usingizi ila sisi wana makurunge hatulali kutokana ka kelele za mitetemo kutoka kwenye bar ya REDOMAX. Tuna...
0 Reactions
22 Replies
407 Views
Anonymous (c258)
KERO 
Wafanyakazi hatulipwi kwa wakati na wapo walioingia kazini Nov. 2025 hawajalipwa mpaka imebidi waondoke na ni vijana waliotoka chuo, wanaishije? Alikuja Mkurugenzi wa land planning somebody Mdeke...
0 Reactions
0 Replies
89 Views
Anonymous (c258)
KERO 
Naomba kuwasilisha kero yangu kuhusu huduma ya TTCL hasa katika maeneo ya Wilaya ya Mbeya Vijijini mkoani Mbeya. Nimeomba kuunganishiwa huduma ya fibre kwa zaidi ya mwezi mmoja sasa, lakini hadi...
0 Reactions
0 Replies
89 Views
Anonymous (c258)
KERO 
Hizi Kadi za Mwendokasi inabidi ziboreshwe, unakuta ikiwa mpya au haijapata shuruba zozote inaonesha Namba ya Card ambayo Imeprintiwa juu ya lamination... Sasa lamination ikitoka Namba ya Kadi...
0 Reactions
1 Replies
145 Views
Anonymous (125a)
KERO 
Kuna changamoto ambayo ipo kwenye Kampuni ya Ulinzi Suma JKT kutoa mkataba baada ya mkataba wa kwanza kuisha hupewi tena, changamoto ipo kwenye suala la kupata likizo ni inachukua muda kupata au...
1 Reactions
6 Replies
191 Views
Anonymous (c258)
KERO Responded 
Nimefanya kazi ya kuwauzia milango Wilaya ya Nanyumbu, Mkoa wa Mtwara tangu Mwaka 2023 mpaka sasa sijalipwa, nimejitahidi kwa kadri nilivyoweza kuonana na wahusika lakini bado hali ni mbaya...
3 Reactions
7 Replies
268 Views
Anonymous (c258)
KERO 
Mimi ni mdau na mtumiaji wa Stendi ya Makumbusho na eneo la Makumbusho ndipo palipo ofisi nifanyiapo kazi, kero yangu kuu kama mtumiaji wa stendi ile ni uchafu wa mazingira, hasa eneo au barabara...
0 Reactions
4 Replies
220 Views
Anonymous (9b22)
KERO 
Shida ni kwamba hizi Telecom Companies na pia other companies ambazo zinajihusisha na services za home internet hazisema ukweli interms of amount ya data unayopata, kwa mfano unaweza kulipa...
8 Reactions
32 Replies
814 Views
Back
Top Bottom