KERO JKCI na ADA ya kumwona DAKTARI

KERO JKCI na ADA ya kumwona DAKTARI

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

vwathu2010

New Member
Joined
Jun 19, 2026
Posts
1
Reaction score
0
Hivi inakuaje pale JKCI unatozwa viwango tofauti vya kumwona daktar kutokana na kifurushi cha bima, mfano ukiwa na kifurushi cha bima cha juu wanakutoza 100,000/= ukiwa na bima kifurushi cha chini wanakutoza 60,000/= je hii sio kuumiza wananchi au ikoje!?

Makato ni ya juu halafu unaingia kwa mtaalam yuleyule ambaye hapo awali ulimuona kwa 60k
 
Back
Top Bottom