vwathu2010
New Member
- Jun 19, 2026
- 1
- 0
Hivi inakuaje pale JKCI unatozwa viwango tofauti vya kumwona daktar kutokana na kifurushi cha bima, mfano ukiwa na kifurushi cha bima cha juu wanakutoza 100,000/= ukiwa na bima kifurushi cha chini wanakutoza 60,000/= je hii sio kuumiza wananchi au ikoje!?
Makato ni ya juu halafu unaingia kwa mtaalam yuleyule ambaye hapo awali ulimuona kwa 60k
Makato ni ya juu halafu unaingia kwa mtaalam yuleyule ambaye hapo awali ulimuona kwa 60k