Hii ni Barabara ya Banana-Kitunda-Kivule ni mbovu sana kiasi kwamba hata daladala zinakuwa chache, wananchi wengi wanaotegemea usafiri huo wanapata tabu sana, sababu watu wanaogopa kupeleka magari...
Sisi wananchi wa Tarime tunapata shida sana kutumia barabara inayotoka Tarime Mjini kuelekea Kata ya Magena ambapo kuna shule, hospitali na Uwanja wa Ndege kutokana na ubovu wa barabara hiyo...
Mimi ni mdau wa JamiiForums naishi Zanzibar Mjini Magharibi, Wilaya ya Magharibi B wadi ya Dimani Mombasa.
Kero yangu ni kwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi...
Nachoka mimi nachoka....
Tuliambiwa pindi ujenzi wa Bwawa la Umeme la Julius Nyerere (JHPP) utakapokamilika na mitambo ya kufua umeme kuwashwa basi Tanzania itakuwa na uwezo wa kuzalisha kiasi...
Mimi ni Mwananchi wa Manispaa ya Lindi, Mtaa wa Jangwani, kero yangu ni kuwa Barabara inayounganisha Mtaa wa Jangwani na Manispaa (mahala tunapopata huduma zetu za kila siku) imeharibika haifai...
Hellow habari za Majukumu...
Naomba mtusaidie kupaza Sauti sisi waajiliwa wapya wa kada ya AFYA katika halmashauri ya wilaya Butiama Hatujapewa Hela ya Kujikimu tangu tumepata Ajira mwaka Jana...
Habari,
Mimi ni mkazi wa Morogoro mjini.
Changamoto niliyokutana nayo TTCL Morogoro ni kuwa nilituma maombi kwa ajili ya kuja kufungiwa fiber internet kwenye eneo langu la kazi lakini maombi...
Ni zaidi ya miezi 10 sasa tangu tuajiriwe katik halmashauri ya manispaa ya geita. Kila tukiuliza wanasema hela hazijatolewa kutoka serikali kuu.
Muda mwengine tukiuliza wanatujibu kikejeli sana...
Kozi zinazotolewa CNMS hazina ajira moja kwa moja tofauti na kwenda kuwa Lecturer Chuoni.
Mfano ni Bsc. Physics na Bsc. Biology. Unakuta mtu umebobea kwenye masomo magumu ya Sayansi bila kuwa na...
Habari
Mimi ni mdau wa JamiiForums, nina hoja kuhusu suala la elimu
Kwa wanafunzi wanaosoma shule za serikali Tanzania kwanini wizara ya elimu inawaruhusu wanafunzi vipindi vya masomo wanaenda...
Jengo la Sophia House lililopo eneo la Bakhresa (Tazara) linavujisha maji ya chooni kwa upande wa nyuma, na maji hayo yananuka na yanaweza kusababisha magonjwa sababu yanaingia moja kwa moja...
Kariakoo ni kitovu cha biashara na panaingiza fedha nyingi sana lakini ni eneo ambalo ni limesahaulika na watu wa manispaa au serikali za mitaa wanachojua ni kukusanya service levy tu.
Mfano...
Wakuu, ushaona foleni hadi bodaboda inakwama sehemu inabidi isubiri gari zisogee?
Sasa huku ni hizo gari chache ambazo zinatoka Mbezi juu, hali ya huko si ndio italuwa balaa? Na hii si asubuhi...
Mimi nilikuwa Mfanyakazi kwenye kampuni ya Wachina inayojihusisha na michezo ya kubahatisha inaitwa BONANZA, ni kampuni maarufu sana na huenda ikawa ya kwanza kuingia nchini, nimefanya kazi...
Sisi ni Wananchi wa Kijiji cha Mitatuni, Jimbo la Mtambile, Wilaya Mkoani, Mkoa wa Kusini Pemba katika eneo letu tunaloishi kumepita mradi wa ujenzi wa Barabara ya Mtambile hadi Nanguji...
Precision Air wawajibike kwa kuwachelewesha abiria 'airport' bila maelezo yanayoeleweka, "tumekaa zaidi ya masaa matatu"
Abiria ambao tulikuwa na tiketi za kusafiri na ndege ya Precision Air...
Hali ilivyo katika Jiji la Mwanza, Wilaya ya Nyamagana, Kata ya Kishiri, eneo la Mtaa wa Mnazi Mmoja kuelekea Bukaga ni mbaya sana.
Wakati wa mvua, wananchi hushindwa kabisa kuvuka kutokana na...
Wanajukwaa habari za muda huu.
Ninalazimika kupanda jukwaani kutokana na usumbufu mkubwa sana uliopo Mfuko wa Hifadhi ya Jamii wa PSSSF .
Hawa watu wanakuwa na vipengele vingi vya kufuatilia na...
Mlikuja vizuri, mkatufungia router ndani, mkachukua details zetu na mkatutumia control number tukalipia 55,000.
Cha kusikitisha tangu tulipie mwaka jana mwezi wa 8 hadi leo huduma haijawahi...
Sisi Waalimu wa Halmashauri ya Mkinga -Tanga, Tumekua Tukiahidiwa Pesa ya Kujikimu kuwa tutapewa lakini mpka Sasa pesa hiyo imekua ni danadana, Halmashauri wamekua na maneno Matamu ya KESHO ...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.