KERO Threads

Erythrocyte
KERO Responded 
Hili soko ni Maarufu kama Mahakama ya ndizi , liko Mabibo , Mkoa wa Dar es Salaam , Ushuru unaopatikana kwenye soko hili kwa mwaka ni zaidi ya hela ya madafu Bil 1.2 Toa maoni yako ...
17 Reactions
87 Replies
9K Views
Wanajamvi salaam, kwa kipindi nmekuwa mtumiaji wa barabara ya nyerere road inayopita Tazara hasa pale flyover ,wakati wa usiku kumekuwa na changamoto kubwa ya kutofata utaratibu wa sheria...
2 Reactions
27 Replies
3K Views
Manyiri
KERO Responded 
Ni wiki ya Pili sasa hadi Leo Tarehe 13/02/2021 vifusi vilivyowekwa katika barabara ya Bonyokwa ya Segerea kuelekea Bonyokwa kwa Kichwa havijasawazishwa. Hii imekuwa kero kubwa kwa watumiaji wa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ncha Kali
KERO Responded 
Mambo ya uchumi wa kati! Kwa hapa Bongo, kwa uzoefu wangu mdogo. Maeneo mengi ya umma hutoza 200 kwa huduma hiyo pendwa, na 500 kwa kuoga. Hii imekuwa tofauti katika stendi ya daladala Mbezi...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
brazaj
KERO Responded 
Ushauri wa bure kwa serikali ya awamu hii. Tumbueni hawa Tanroads Biharamulo. Sanjali na hili yaweza kuwa busara kuifunga kabisa barabara ya Rusahunga Benaco na ku i declare impassable kupisha...
3 Reactions
52 Replies
8K Views
alexelias
KERO Responded 
Tumelizungumza sana hilo jambo la angalau barabara ile irekebishwe kwa kufukiwa mashimo makubwa lakini hakuna hatua yeyote inayochukuliwa na barabara imekuwa mbovu kupindukia! Ikumbukwe barabara...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
barafuyamoto
KERO Responded 
Habari zenu. Kwa kweli nimeshangazwa sana ktk mabasi yaendayo haraka. Inakuwaje nakupa pesa yangu ya kutaka kupata tiketi, mfano nakupa 1000Tshs, unatakiwa unirudishie 350Tshs sababu nauli ni...
16 Reactions
88 Replies
8K Views
Binafsi nimekerwa sana na utoaji huduma wa hizi ofisi za usajili wa vizazi na vifo. Kuna kila dalili ya harufu ya rushwa ili uweze kupata huduma. Kipindi ofisi hizi zinaanzishwa walikuwa watoa...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Back
Top Bottom