KERO Threads

nord27
KERO Responded 
Katika Hospitali ya Wilaya ya Nachingwea Mkoa wa Lindi kuna mbu wengi kuliko kawaida. Cha kushangaza hata ukiwauliza manesi wanasema wamezoea sasa najiuliza pale ni hospitali unapeleka mgonjwa na...
0 Reactions
6 Replies
798 Views
Tumekuwa tukiwalalamikia mara kwa mara hawa mamlaka ya maji sengerema kwa kushindwa kutoa huduma stahiki kwa wananchi wao Mbunge pamoja na wananchi wamepiga kelele weee mpaka wamechoka lakin...
0 Reactions
1 Replies
746 Views
Katika kulalamikiwa maji safi hayapatikani na maji Taka nayo yamewashinda kabisa. Huku Sinza Mapambano kua maji machafu yana Miezi minne sasa yanamwagika tu. Wachangamshe vichwa jamani sio...
0 Reactions
0 Replies
297 Views
Black Butterfly
KERO Responded 
Kuna mambo nchi hii yanachosha sana jamani, hebu fikiria Wiki tatu unakosa Maji ambayo unayalipia kila mwezi, ni utaratibu gani huu? Leo naomba kuwauliza Mamlaka ya Majisafi na Majitaka Dar es...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kuna jopo la watu limezagaa Dar es Salaam wanaovaa uniform za shati jeupe na suruali nyeusi wanaokamata magari kwa madai ya wrong parking. Natumia neno kwa madai kwa sababu ni kama wanaotengeza...
9 Reactions
28 Replies
3K Views
Anonymous
KERO 
Mimi ni mkazi wa Tabora, kuna hoja naomba nishee na Wana JF, ipo hivi, Watoto ambao wanasoma Shule ya Sekondari Sikanda kama akichelewa kuripoi hata kama ni siku moja tu, mzazi wake anatakiwa...
2 Reactions
4 Replies
554 Views
Wahandisi wanaoajiriwa Halmashauri na Taasisi zingine za kiserikali wanautofauti gani na Kwanini wanasimamishwa sana? Serikali inajitahidi kuajiri wahandisi (engineers) kwenye taasisi zilizopo...
0 Reactions
0 Replies
434 Views
Anonymous
KERO 
Hali ya mazingira katika Soko la Mbogamboga na Matunda Sabasaba ni mbaya, eneo la kuingia sokoni hapo limejaa maji na taka nyingi zimerundikwa hapo. Kama mamlaka husika hazitashughulikia jambo...
0 Reactions
0 Replies
868 Views
Anonymous
KERO 
Hili daraja lipo Kilindi, katika kijiji cha Matale na Kwekivu. Daraja hili ni bovu limearibiwa na mvua na mamlaka zipo kimya halijakarabatiwa kabisa na ni adha kwa watumiaji wa njia hii
0 Reactions
0 Replies
404 Views
Kwanza kabisa nianze kuwapa pole kwa wakaazi wa kigamboni kwa madhira na taabu wanazozipata kwa takribani mwezi mmoja sasa na wamekua wavumilivu. Kwa takribani ya mwezi mmoja, kivuko kipo kimoja...
3 Reactions
15 Replies
1K Views
Huku Mbezi Louis maeneo ya Mtaa wa Mshikamano Jijini Dar es Salaam hakuna maji ni mwezi sasa (Hadi muda naandika andiko hili Februari 10, 2024). Mara chache yanayoka usiku mwingi, Watu...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Anonymous
KERO 
Hii shule ipo njia ya Cocacola -Clouds, karibu kabisa na Bushoke Chips, hapa bhana asubuhi wazazi wanaleta watoto wao shule, basi hakuna parking, magari yanajaa barabarani na inasababisha foleni...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Licha ya Sheria ya Vileo Sura ya 77 ya Mapitio ya Sheria za Tanzania ya Mwaka 2002 kuelekeza taratibu mbalimbali za kufanyabiashara ya vileo, lakini kwa siku za hivi karibuni kuna viashiria na...
4 Reactions
27 Replies
2K Views
Wakazi wa Tabata Kimanga mtaa wa Mandela Juu hii ni wiki ya tatu mabomba yanaota kutu. Tatizo ni nini?? Ukame au maji yametibuka??
0 Reactions
2 Replies
657 Views
Taarifa iwafikie uongozi wa Rockcity Mall acheni wizi kwenye Mashine zenu za parking haiwezekani msiweke bei ya parking wazi. Hata kwa kuzibandika kwenye bango ili wateja tujue tunachajiwa kiasi...
0 Reactions
0 Replies
646 Views
Anonymous
KERO 
Nimebadilisha jina la gari langu kwenda kwa jina la mtu aliyenunua usafiri huo kutoka kwangu tangu tarehe 23/01/2023 lakini mpaka leo (Februari 2024) mabadiliko hayo ya jina yanasomeka kwenye kadi...
0 Reactions
0 Replies
886 Views
Anonymous
KERO 
Kuna Chuo kinaitwa Blue Pharmacy College of Health kipo Singida Mjini mbele ya Serengeti Pub kina hosteli za Wadada zipo opposite na Cheyo Lodge. Concern yangu ni hizo hosteli zipo kwenye danguro...
0 Reactions
0 Replies
692 Views
Anonymous
KERO 
Kuna mambo ya hovyo yanafanyika kwa wakusanyaji wa ‘gate collection’ upande wa pikipiki katika Daraja la Kigamboni (Dar es Salaam), wanachokifanya hawatoi risiti halafu fedha za malipo zinazotozwa...
2 Reactions
10 Replies
1K Views
Babati ukifika utadhani kuna vita ya Gaza kutokana na milipuko inayofanywa makusudi na waendesha pikipiki. Sipendi kuamini kama wahusika wa kudhibiti hali hii wameshindwa. Vinginevyo Mheshimiwa...
5 Reactions
14 Replies
945 Views
Anonymous
KERO 
Habari, Mimi ni mwanafunzi wa chuo cha dodoma (UDOM) ndaki ya kompyuta na elimu angavu (CIVE). Hapa ndaki kwetu (College) kuna tatizo la maji sasa kufikia wiki ya pili maji hayajatoka tatizo...
1 Reactions
2 Replies
531 Views
Back
Top Bottom