KERO Threads

Tangu watu waombe uhamisho wa kuhamia nje ya mikoa ki mfumo hadi leo kimya TAMISEMI shida ni nini au mko bize na maandalizi ya maeneo jimbo? OR TAMISEMI
0 Reactions
0 Replies
463 Views
Imekuwa miezi kadhaa sasa askari toka mtumba wanapita na difenda zao Mahoma, Ipala na Hombolo kubeba vijana wasio na hatia na kuwavisha kosa la uzururaji. Wanapita saa 3 usiku wakakamata mpaka...
6 Reactions
19 Replies
1K Views
Jamani jamani, wiki iliyopita nilibahatika kupanda kivuko cha Azam pale Ferry Dar es Salaam. Kivuko kinajaa sana na hakuna kinga yoyote iliyoandaliwa pindi tatizo likitokea. Tafadhali, idara ya...
4 Reactions
17 Replies
1K Views
Anonymous
KERO 
Mimi ni mkazi wa Isyesye Mbeya Tunashukuru kwa maboresho ya barabara yanayofanyea na Serikali lakini tunaomba mumuelekeze Mkandarasi wa Kampuni ya Marmo kutengeneza barabara za michepuko...
0 Reactions
1 Replies
475 Views
Anonymous
KERO 
Barabara ya Kitunda - Banana imekuwa kero kubwa, yaani ni mashimo kiasi kwamba kuna gari nyingi zikiwemo Daladala wahusika wame-cancel route njia hiyo na kusababisha Watu wengi kukosa usafiri...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Black Butterfly
KERO Responded 
Habari Wana JF, naomba kuleta malalamiko yangu hapa maana najua kuna Viongozi pia wanapita kusoma taarifa zetu hapa. Ni muda mrefu sana Barabara ya kutoka Mbezi Luis kwenda Mpiji Magohe ni mbovu...
1 Reactions
28 Replies
4K Views
Anonymous
KERO 
Angalia hali hii ilivyo mbaya kabisa. Barabara zimejaa mashimo, matope na maji kila kona, hakuna dalili yoyote ya matengenezo. Wananchi na watumiaji wa barabara hii tunateseka kila siku, hasa...
0 Reactions
13 Replies
768 Views
Mitaa mingi ya huku kwetu Pemba kuna changamoto ya kukosekana kwa huduma ya gari la kunyonya maji taka (kinyesi) hali ambayo kiafya sio nzuri na inaweza kuchangia kuibuka kwa magonjwa ya...
0 Reactions
0 Replies
533 Views
Hii hospitali ya Mnazi Mmoja ina umuhimu mkubwa sana jijini hasa kwa wananchi wa chini. Jamani uongozi mjitathmini. Watumishi wengi mno ni kama mko pale kupoteza muda. 1. Huduma ya madaktari...
3 Reactions
10 Replies
1K Views
Anonymous
KERO 
Hospitali ya wilaya ya Tunduru vyoo vya wagonjwa vichafu na pia hakuna maji yapata mwezi Sasa , je viongozi hawalioni hili?
0 Reactions
0 Replies
250 Views
Nikuhusu barabara ya Ndungu-Lugulu. Barabara hii, tangu iharibiwe na mvua za El Nino mwaka 2023, haijawahi kutengenezwa. Barabara hii ni muhimu sana kwa wakazi wa kata ya Lugulu na kata ya Mtii...
3 Reactions
4 Replies
492 Views
Sisi Wakazi wa maeneo ya Viwege na Pugu Kinyamwezi, Wilaya ya Ilala, Dar es Salaam tumekuwa na changamoto ya kuwa na barabara mbovu, ikinyesha mvua ndio kabisa hali inazidi kuwa mbaya kuliko...
0 Reactions
6 Replies
927 Views
Wakuu natoa kero yangu katika mkoa wa Arusha wilaya ya Arumeru kwenye soko la TENGERU Ni halimashauri wanajenga choo karibia na sehemu ya kuuzia nyama (BUTCHER) hivi kwel mamlaka hawakuona sehemu...
1 Reactions
5 Replies
648 Views
Naandika andiko hili nikiwa na uchungu sana na hili jambo.Awali hili kundi lilianza kimasihara tu kama vijana wanaojihusisha na uchezaji wa kamari wao kwa wao.Pengine baada ya kuona malengo yao...
3 Reactions
17 Replies
1K Views
Anonymous
KERO 
Habari, Kumekuwa na changamoto kubwa nyakati za jioni kwa daladala za Buhongwa kwenda Usagara kwani abiria wote wanaoshuka njiani wanaliopishwa nauli sawa na anayefika mwisho wa gari hali...
0 Reactions
1 Replies
349 Views
Hapa ni Wilaya ya Mkuranga, Kata ya Mkuranga, Kitongoji Cha Miale, barabara hii hutumiwa na wakazi wa eneo hili, pia hutumiwa na Malori ya Tani zaidi ya 20 ya mchanga. Kipindi cha masika kama...
0 Reactions
2 Replies
501 Views
Anonymous
KERO 
Huko mkoani Kagera, katika Hospitali ya Jimbo Katoliki ya Mugana, wafanyakazi wa Mission Sector wanakutana na changamoto kubwa. Baadhi ya stahiki zao, ikiwemo michango ya NSSF, hazipelekwi ingawa...
1 Reactions
1 Replies
335 Views
Anonymous
KERO 
Tungepewa uUhuru tuchague Kati ya TUGHE na TALGHU tujiunge na chama gani baada ya wote kutuelezea faida na maslahi tutakayopata endapo tutajiunga na chama husika. Lakini imekuwa tofauti...
1 Reactions
3 Replies
395 Views
Anonymous
KERO 
Tunahitaji msaada kwa kweli, sisi wakazi wa maeneo ya Honda na Mwajasi hapa vikindu, hili Daraja kila msimu wa mvua lazima tuji mobilize na kufanya marekebisho ili bajaji, pikipiki, magari madogo...
0 Reactions
5 Replies
375 Views
Anonymous
KERO 
Mimi ni abiria kipenzi cha SGR walau kila mwezi nasafiri mara 2 kati ya Stesheni za JPM na JMK. Kwa hiyo nina uzoefu na treni hii. Jana tarehe 25/04/2025 nilisafiri kutoka DSM kwenda Morogoro na...
3 Reactions
4 Replies
674 Views
Back
Top Bottom