Tarehe Machi 14, 2025 niliweka 20,000 ili niweke mkeka lakini cha ajabu hela haikuonekana kwenye akaunti yangu ya HELABET licha kutuma kupitia Mtandao wa Vodacom.
Nikajaribu kuwapigia simu...
Barabara ya Maili moja(Loliondo) mpaka Lumumba kwa mazengo haipitiki na kizungumkuti.
Kwa miaka mingi sasa barabara hii haipitiki licha ya kuongezeka sana kwa wananchi wanaotumia njia hii kwenda...
Hapa ni Jumba Namba Nne - Michenzani usawa wa geti na RahaLeo Studio kuna karo (chemba) kutoka katika nyumba za hapo zinatoa kinyesi na maji yake ambayo yanasambaa mtaani na wala Wananchi hawajali...
Wananchi na wakazi katika eneo la Mleleguo kata ya Misugusugu, Kibaha mkoa wa Pwani tumekuwa na hali ngumu sana ilinayosababishwa na uchafuzi wa mazingira unaofanywa na kiwanda cha wahindi...
Niishauri serikali yangu ya Jamhuri.
Changamoto huwa zipo, na tunakiri kabisa kwa sasa kuna changamoto kubwa ya usafiri kwa wakazi wa Kimara-Mbezi kutokea mjini Posta na Kariakoo.
Serikali...
Katika hali ya kushangaza mfululizo wa hali ya ucheleweshwaji wa malipo ya pesa ya kujikimu na chakula kwa wanafunzi wa vyuo Vikuu imekuwa ni jambo la kawaida sana kufanywa na Bodi ya Mikopo ya...
Hii ndio hali ya Barabara ya Tabata - Kimanga kutokea Tabata Bima, barabara imeharibika sana hasa kutokea Chama mpaka Mawenzi.
Gari nyingi zinaharibika kila siku na wakati mwingine hasa wakati...
Foleni ya Mwenge hali inazidi kuwa mbaya
Bado kipande cha Mlimani City imekuwa kero
Mtu unakaa kwenye foleni ukijaribu kuchomekea tu uwahi nyumbani faini inakuhusu
Kwa hali inayoendelea Dsm ni...
Habari wakuu,
Kumekuwa na changamoto ya maji takriban week sasa Goba mtaa wa Tegeta A njia ya kuelekea kwa Bedui, na maeneo mengine yote ya Goba maji yamekuwa hayatoki na hata mtaani wanaouza...
Mimi ni mwanafunzi wa Chuo Kikuu hapa Dar es salaam na mnufaika wa mkopo wa HESLB.
Ilibidi nipate boom ndani ya siku 60 tangu chuo kifungue chuo kikuu ardhi leo ni siku ya 78 tangu tufungue...
Kumuona dokta 50,000/=, kupima malaria 10,000/
Hizo hela siyo ishu,
Ishu ni kutoka saa tano asubuhi mpaka sasa hivi saa 12 na nusu jioni bado sijapata majibu na utaratibu wa consultation na...
Hawa vijana wanaokamata magari Dar kwa kisingizio cha wrong parking aliyewapa kazi anajua wanachofanya?
Hii ipo sana Dar.
Kuna vijana wanavaa uniform kama za mchongo hivi na wana vitambulisho...
Halmashauri ya Nachingwea mkoa wa Lindi kuna kero ya kulazimishana michango ya mbio za mwenge kila mfanyakazi anatakiwa kuchangia Tsh 10,000/=
Hii ni lazima siyo hiari unaitoa wapi utajua...
Yani ni namna gani unaona kabisa Serikali bado haijawa serious, imagine maeneo ya Goba maji ya Dawasa hayatoki yapata week sasa na hatujui chochote kinachoendelea.
Kufanya kazi serikalini...
Hali inaongezeka kila siku nchini za viongozi wa Tanzania kutaka kujitutumua na kujitofautisha na Watanzania wengine, wananchi wa kawaida. Ile roho chafu ya "unanijua mimi ni nani" inawapa kiburi...
wahusika mbona kama mmeifumbia macho hiyi barabara
kwamba nchi haina bajeti ya kuweza kuilekebisha hiyi barabara
mbona hiyi barabara ndio inailetea fedha za kutosha serikari
Makaa ya mawe...
Mabasi ya kutoka Mbeya hasa yanayosafiri Usiku hayafuati ratiba ya safari, kwa mfano kuna siku nilipanda basi kutoka Mbeya kwenda Morogoro walisema linaondoka Saa 12:00 Jioni ila tuliondoka Saa...
Barabara hii imekuwa ikitengenezwa lakini hata miezi miwili haiishi inafumuka, ina matuta kuliko Barabara za Changarawe wakati ni barabara kubwa (cross country road).
Ukifika eneo la karibu na...
Daladala zinazofanya biashara ya kusafirisha abiria kati ya Kigamboni kwenda Kongowe -> Mkuranga -> Toangoma kupitia Mjimwema zimegoma kufanya kazi baada ya kuwa na kipande kibovu hivyo kulazimika...
Naomba ujumbe huu ufike kwa Mamlaka husika ya LATRA, Daladala za Kigamboni Wilayani na Temeke hazifiki Wilayani, zinaishia Kigamboni Mwisho.
Pili, nauli ya kutoka Kigamboni Mwisho hadi Temeke...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.