KERO Threads

Anonymous
KERO 
Salam Wadau! Shimo kubwa sana lipo barabara ya Mwembe Yanga, linahatarisha usalama wa watumiaji wa barabara. Tafadhali lifanyiwe kazi haraka na mamlaka husika.
0 Reactions
0 Replies
174 Views
Anonymous
KERO 
Mimi ni mwanafunzi niliyehitimu katika chuo cha elimu na biashara campus ya Dar-es-salaam Diploma ya INFORMATION TECHNOLOGY. Nimesoma cheti nikamaliza nikaendelea diploma ila cha ajabu sana ni...
1 Reactions
4 Replies
483 Views
Anonymous
KERO 
Ni aibu kwa mkuu wa wilaya ya Ubungo maana Makabe barabara ni mbovu na hazipitiki kabisa. Kuna foleni kuanzia Mwanza garage hadi Tabata Kavimbilwa. Wahusika punguzeni siasa tunataka barabara.
0 Reactions
0 Replies
166 Views
Anonymous
KERO 
Ni kero ya muda mrefu na inaendelea kutuumiza wakazi wa makabe kuelekea Msumi. Porojo za siasa zimekuwa nyingi huku wananchi wanateseka huku wahusika wakikaa kimya . Muda huu kuna foleni kubwa...
1 Reactions
0 Replies
201 Views
MeVSMe
KERO Responded 
Jamani mi natoa ya moyoni leo kwasababu naamini hapa JF ndo sehemu pekee nitaongea na kero yangu ikatatulika. Huwa tunaambiwa mteja ni Mfalme, lakini huu ufalme mbona kama umegeukia Kwa watoa...
16 Reactions
62 Replies
4K Views
Anonymous
KERO Responded 
Pamoja na majukumu mengine TET kama chombo cha Serikali kimepewa jukumu la kusimamia na kuendeleza Elimu yetu nchini, pamoja na unyeti wa chombo hiki kimekuwa na utendaji kazi mbovu ambao kwa...
4 Reactions
4 Replies
745 Views
Barabara ya Makonde inayoelekea Kanisa Katoliki Mbezi Juu imekuwa kero ya muda mrefu kwa watumiaji wake, hususan wa vyombo vya moto, kutokana na mashimo mengi na miundombinu duni. Hivi karibuni...
1 Reactions
7 Replies
634 Views
Anonymous
KERO 
Wakuu, najua hii ni ndefu kidogo lakini tafadhali soma mpaka mwisho ili tukomeshe jinamizi hili, ******* Wakuu mimi ni mtumiaji wa huduma ya Postpaid kwenye mtandao wa Yas/Tigo, ambako ninanunua...
4 Reactions
23 Replies
2K Views
Anonymous
KERO 
Taaisis ya Rita kitengo cha mtandao na Habari kinakabiliwa na tuhuma za kutojibu wateja wao mitandaoni hasa wale wanao omba usaidizi kwenye mitandao ya kijamii. Kwa sasa nchini Taasisi ambazo...
0 Reactions
1 Replies
318 Views
Tangia mwaka jana mwezi wa 12 (12/2024) mradi umesimama na mkandarasi hayupo eneo la kazi mpka sasa ningependa kujua shida nini au ni mkandarasi mwenyewe ama mamlaka yaan Tanroads Mwanza. Mradi...
0 Reactions
2 Replies
337 Views
Anonymous
KERO 
Naitwa Lutamila Malindi Ibrahim, mwanafunzi wa Kigamboni City College of Health and Allied Sciences. Nimesajiliwa kwa namba ya usajili: S3363.0137.2021. Ninaandika kwa uchungu na hofu kubwa...
0 Reactions
10 Replies
839 Views
Anonymous
KERO 
Vyuo vingi nchini viliyo chini ya NACTEVET haswa hivi binafsi havitaki kutoa haki ya mtu kufuta usajili na kujiunga na chuo kingine. Serikali iingilie kati hili suala, watu wanakaa mtaani kwa...
1 Reactions
0 Replies
211 Views
Anonymous
KERO 
Nina malalamiko kuhusu Kuanzishwa kwa Dampo (Jalala) Katika Nyumba ya Serikali, Eneo la Ntengere – Igulwa, Bukombe, katika kuliweka hili sawa kuna ushahidi wa picha zinazolionyesha eneo hili kwa...
0 Reactions
1 Replies
690 Views
Anonymous
KERO 
Mradi wa miundombinu ya maji katika Kata ya Kanyigo, uligharimu shilingi milioni 684 na ulizinduliwa na aliyekuwa Naibu Waziri wa maji, ambaye sasa ni Waziri wa maji Jumaa Aweso, lakini kwa...
0 Reactions
4 Replies
535 Views
Anonymous
KERO 
Soko la Stereo limekuwa na changamoto kwa wafanyabiashara. Mnamo tarehe 11/04/2025 soko la stereo lilivunjwa kwa upande ili kupisha ujenzi. Wafanyabiashara tukahamishiwa barabarani kwa muda...
2 Reactions
4 Replies
435 Views
Habari. Ni masikitiko makubwa kwamba maeneo ya Ilala Gorofani, Sokoni, Bungoni, Sharif shamba, Karume, Mchikichini hayana maji safi Kwa zaidi ya mwezi mmoja Sasa. Cha ajabu ukipiga simu huduma...
3 Reactions
23 Replies
891 Views
Anonymous
KERO 
Habari, Ipo tabia ya wahudumu wa afya wa Hospitali ya Wilaya ya Tanganyika iliyopo katika Kijiji cha Majalila hasa katika Idara ya Maabara (majina nayajua) na baadhi yao wapo Wodi ya Wazazi na...
0 Reactions
2 Replies
417 Views
Anonymous
KERO 
Uongozi wa Taasisi ya Teknologia ya Dar Es Salaam ( DIT ) wazuia wanafunzi kugenerate control number kwa kuufungia mfumo na kuwaambia waandike barua waje kufanya special kinyume na utaratibu.
1 Reactions
1 Replies
290 Views
Anonymous
KERO 
Nilichokiona Kawe kinashangaza. Hivi kweli eneo hilo bado halina stendi ya daladala? Eneo la Kawe, maarufu pia kwa 'huduma za Mwamposa' ni kitovu cha usafiri ambacho kinahudumiwa na daladala...
2 Reactions
5 Replies
366 Views
Anonymous
KERO 
Geti la kutokea Daladala kwenye Stendi Kuu ya Nyegezi kwenda Barabara Kuu (highway) ndilo hilohilo linatumika kama njia ya abiria kupita wakiwa wanaingia kutoka upande wa barabara kuu, kibaya...
0 Reactions
0 Replies
532 Views
Back
Top Bottom