Albosignathus
JF-Expert Member
- Apr 26, 2013
- 4,898
- 1,051
Habari.
Ni masikitiko makubwa kwamba maeneo ya Ilala Gorofani, Sokoni, Bungoni, Sharif shamba, Karume, Mchikichini hayana maji safi Kwa zaidi ya mwezi mmoja Sasa.
Cha ajabu ukipiga simu huduma Kwa wateja Dawasa hakuna jibu unalopewa au hawapokei simu kabisaa. Magufuli japo alikuwa ni mkandamizaji wa demokrasia lakini alikuwa ni Mzalendo aliejitahidi kuhahakisha huduma za Jamii zinapatikana miradi ya maji aliiacha ikiwa Iko sawa kabisa Cha ajabu amekufa na miradi yake yote mizuri inakufa tunarudia Dar ya mwaka 1980.
Kwanini viongozi mlioko madarakani msijiuzulu tu Kwa maana mmeshindwa na hamuwezi zaidi ya kujipalilia kubaki madarani Kwa mabavu bila misingi ya kidemokrasia.
Mara nyingi tumesikia taarifa za kiinteligensia Kwa mambo ya UONGO ya kukandamiza wazalendo wa nchi hii lakini Sasa watu wanakunywa maji yasiyo salama mwezi mmoja na hakuna taarifa zozote za kiinteligensia Wala kiongozi yeyote alieongelea hili swala watu wanajali matumbo yao TU.
Ni masikitiko makubwa kwamba maeneo ya Ilala Gorofani, Sokoni, Bungoni, Sharif shamba, Karume, Mchikichini hayana maji safi Kwa zaidi ya mwezi mmoja Sasa.
Cha ajabu ukipiga simu huduma Kwa wateja Dawasa hakuna jibu unalopewa au hawapokei simu kabisaa. Magufuli japo alikuwa ni mkandamizaji wa demokrasia lakini alikuwa ni Mzalendo aliejitahidi kuhahakisha huduma za Jamii zinapatikana miradi ya maji aliiacha ikiwa Iko sawa kabisa Cha ajabu amekufa na miradi yake yote mizuri inakufa tunarudia Dar ya mwaka 1980.
Kwanini viongozi mlioko madarakani msijiuzulu tu Kwa maana mmeshindwa na hamuwezi zaidi ya kujipalilia kubaki madarani Kwa mabavu bila misingi ya kidemokrasia.
Mara nyingi tumesikia taarifa za kiinteligensia Kwa mambo ya UONGO ya kukandamiza wazalendo wa nchi hii lakini Sasa watu wanakunywa maji yasiyo salama mwezi mmoja na hakuna taarifa zozote za kiinteligensia Wala kiongozi yeyote alieongelea hili swala watu wanajali matumbo yao TU.