KERO Threads

Anonymous
KERO 
Nina kero moja, ngoja niiweke hadharani leo, ni kuhusu Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), kinafanya Watu wapate tabu saana kupata ajira kupitia Ajira Portal. Mfano hizi kazi za Walimu wa Economist au...
4 Reactions
15 Replies
3K Views
Serikali na TANROAD mkoa wa Mara hii barabara ni kero na inasababisha ajali na kupoteza maisha ya watu Mashimo mengi na kila mtumiaji wa chombo cha Moto anakwepa mashimo na kusababisha ajali
1 Reactions
5 Replies
332 Views
Hatukatai lazima kila kitu kiende kwa standard za kimataifa, ila wanachokifanya SUMA JKT ukisha scan beg anafungua wanaanza kupangua chupi moja moja mabeg yenye faragha za kinamama. Wakati...
3 Reactions
14 Replies
803 Views
Hali ya vyoo kwenye maonesho ya Nane Nane yanayofanyika Dodoma ni changamoto, huduma ya maji ni changamoto na kuna vyoo vichache kulingana na wingi wa Watu wanaofika eneo hilo. Kwa tukio kubwa la...
3 Reactions
7 Replies
694 Views
Sisi Wafanyabiashara wa Soko la Mfaranyaki lililopo Mtaa wa Mbalika, Kata ya Mfaranyaki tuna changamoto ya mazingira kwenye eneo letu la kazi hilo, uchafu umekuwa ukitawala katika mitaro iliyojaa...
1 Reactions
2 Replies
504 Views
Nimekuwa nikikutana na kadhaa moja pale ninapokwenda kukunua bidhaa dukani na kudai risiti ya EFD huwa naambiwa, Ukitaka risiti ya EFD bidhaa hiyo bei yake inapanda otherwise tukuandikie tu au...
2 Reactions
17 Replies
861 Views
Utupaji hovyo wa taka kando ya Mto Matarawe umekuwa tatizo kubwa linalozidi kushamiri kila siku. Wananchi wanaoishi karibu na mto huo wamegeuza kingo za mto kuwa sehemu ya kutupia taka ngumu, taka...
0 Reactions
1 Replies
684 Views
Anonymous
KERO 
Mimi ni mwalimu kutoka tarafa ya Mlola, Lushoto DC. Mkurugenzi Mtendaji Lushoto DC tunaomba utusaidie walimu tulioandika barua za kujitoa CWT na kuhamia CHAKUHAWATA, ofisi ya utumishi inasuasua...
0 Reactions
0 Replies
334 Views
Barabara ya Mwanza Mjini mpaka Nyegezi imekuwa ni kero kwa muda mrefu kiukweli kwa wakazi wa Mwanza na wengine wanaopita kuitumia. Hii barabara ni mbovu inasababisha foleni hasa maeneo ya...
0 Reactions
5 Replies
737 Views
Anonymous
KERO 
Katika jambo la kushangaza vijana wengi waliohitimu chuo Cha taifa Cha utalii wamekua na kilio kisichoisha kwani kila Ajira zinapotangazwa na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wao kupata kazi imekua...
2 Reactions
7 Replies
584 Views
Anonymous
KERO 
Salamu wandugu wa hili taifa takatifu ardhi ya mwl Huu mfumo wa kuomba ajira ambao upo chini wizara ya utumishi secretariat ya ajira Ajira portal Huu ni mfumo ambao umejaa ukandamizi mkubwa na wa...
0 Reactions
1 Replies
498 Views
Wakuu, Naomba kuwasilisha kero inayowakabili wananchi wanaotumia usafiri wa daladala kutoka Mbezi kupitia Goba - Kawe na zile zinazoelekea Makumbusho. Nyakati za asubuhi, kuna changamoto kubwa...
1 Reactions
11 Replies
786 Views
Jeep wrangler
KERO Responded 
Ujumbe kwa Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum @Dkt. Gwajima D *KUHUSU: Ucheleweshwaji wa Usajili wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (NGOs) Kupitia Mfumo wa NIS...
0 Reactions
15 Replies
736 Views
Anonymous
KERO Responded 
NACTEVET ninaomba wajitathmini wanachotufanyia sio sawa. Habari Naomba niwasilishe changamoto mbili zinazonikabiri mpaka muda huu na nimeshindwa kupata msaada wowote kutoka Kwa watu wa nactevet...
0 Reactions
1 Replies
485 Views
Anonymous
KERO 
Inaonekana kama server za HESLB zimekua compromised kwa sababu kila ukitaka ku log-in kwenye akaunti yako inakataa na nimejaribu kutumia browser tofauti tofauti lakini shida ipo pale pale. Tena...
0 Reactions
7 Replies
587 Views
Habari za muda huu Naomba nitoe taarifa kwaa mamlaka husika waweze kutusaidia raia na Wafanyabiashara wa Buguruni , hususani wa kipande kinachoelekea Buguruni Kwa Mnyamani kuanzia Mataa, maana...
0 Reactions
3 Replies
501 Views
BODI YA MIKOPO ELIMU YA JUU (HELSB)mbona kuverify nida inasumbua sana shida ni nini na itajirekebisha lini?
0 Reactions
0 Replies
244 Views
Naenda moja kwa moja kwenye hoja yangu Kampuni hii ya usafirishaji ina mambo ya kuudhi sana Kwanza simu zao hawapokei, unaweza kupiga simu 1hr zinaita mara busy mara zinaita mara busy Pili muda...
11 Reactions
140 Replies
6K Views
Anonymous
KERO 
Habari? Mfumo wa AJIRAPORTAL umenizuia kuomba nafasi nyingi sana za kazi kutokana na mfumo wenyewe kushindwa kutambua namna Programs husika kwenye nafasi husika zinavyokuwa zimeainishwa. Lakini...
0 Reactions
0 Replies
244 Views
Anonymous
KERO 
Heshima yenu wakuu , Rejea kichwa cha habari hapo ,kuna hili jambo limekua sana kwa sasa ,tangu baadhi ya Taasisi kupokea barua ya kufutwa kwa pesa ya likizo maarufu kama mshahara wa 13 kwa mwaka...
0 Reactions
7 Replies
707 Views
Back
Top Bottom