Hongereni kwa kazi na wasomi poleni kwa Masomo, machawa tunawashukuru na wasanii pia kwa kutusimanga sisi wasomi !
Ukumbi wa Bethany unaomilikiwa na thehebu lisiloamini YEsu, wanamiliki ukumbi wa...
Kero Kuhusu Utaratibu wa Uchaguzi wa Kozi na Uthibitishaji wa Maombi katika Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA)
Chuo hiki hakizingatia Maombi ya Kozi Halisi kinawachagua wanafunzi katika kozi ambazo...
Wasimamizi wa mzani wa Wenda upande wa kurudi Dar wanachezea mzani gari inazidi na ukienda mzani wa mikumi, mikese na vigwaza unakuta gari zipo sawa kabisa.
Tunaomba mamlaka zitusaidie kero hii.
Kumekuwa na viashiria vya rushwa kwenye utoaji wa mikopo ya 10% kwa Vijana katika Wilaya ya Newala Vijijini Mkoani Mtwara.
Tuliunda kikundi na kufata taratibu zote lakini mwishoni tunaelezwa...
Mnamo tarehe 18 Novemba 2024 nilienda hospitali ya rufaa ya Mloganzila kumtazama shemeji yangu aliyelazwa pale na kichanga wake aliyejifungua kwa oparesheni. Nilipofika getini nilielekezwa na...
Mimi ni mdau wa jamii forum ,kero yangu baadhi ya wanasiasa waache vitendo vya kuwachukua wanafunzi kwenye kampeni za uchaguzi serikali ikemee matendo hayo haijalishi chama gani kinafanya matendo...
Kutokana na changamoto kubwa ya upatikanaji wa ajira na mitaji ya kujiajiri hapa nchini, ninaomba Serikali iangalie upya sera ya mafao ya NSSF na kurejesha rasmi Fao la Kujitoa kwa Wafanyakazi...
Wakuu mimi ni mfugaji na nina uzoefu sana katika ufugaji japo nakili wazi bado huwa najifunza kwa wenzangu tena kwa bidii sana.
Nilichanja kuku wangu chanjo ya kideri (Newcastle)27/07/2025 na...
Ujumbe huu ufike kwa Afisa Elimu (Wilaya/Mkoa), Wilaya ya Ludewa, Mkoa wa Njombe
Ndugu Afisa Elimu,
Napenda kuwasilisha lalamiko juu ya hali ya uzembe unaoendelea katika baadhi ya shule za...
Ni kipindi cha miaka karibu 23 hivi tathmini ya kwa ajili ya uhamisho wa Kipunguni imekuwa ikifanyika bila mafanikio, hivi karibuni imefanyika tena na Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba akathibitisha...
KUNA SUALA LA WANAFUNZI KUOMBA MKOPO WA ELIMU YA JUU WANAAMBIWA BILA KUWA NA NaPA (National Physical Addressing) - anuani Na Makazi hawawezi kuendelea na kufanya maombi na ukienda kufatilia hiyo...
Mzazi wangu ni mmoja wa Wazee ambao wamestaafu utumishi katika Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA), mzee wangu na wenzake wengi waliostaafu Mwaka 2004, 2005 na 2006 hawajalipwa stahiki...
Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi, wajawazito wanadaiwa kulipia kadi za kliniki Shilingi elfu 2, hii si sawa kwa sababu huduma za mama na mtoto ni bure kwa mujibu wa sera ya Afya!
Mganga Mkuu wa...
Habari za muda huu wakuu, ni matumaini yangu kuwa mpo na afya na nguvu tele, na kama ni hivyo basi tumshukuru na kumtukuza Mungu wa mbinguni aliye hai.
Moja kwa moja bila ya kupoteza muda niende...
Kuna Traffic wanakaa pale Kibamba Bwawani, wanachukua elf 5 kwa kila daladala za Kutoka Kibaha.
Imekuwa ni kama mradi kwao, hawakagui magari ni konda anashuka anawapelekea elf 5 gari inaondoka...
Baadhi ya wanawake wajasiliamali wa Tarafa ya Karema Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika Mkoani Katavi wametoa kero ya kutokupata mikopo ambayo itawasaidia kuendeleza biashara zao.
Wanawake hao...
Kuna kitu cha ajabu kidogo kinaendelea hapa Tanzania kuhusu magari yenye plate number zenye maandishi ya SSH zikifuatiwa na namba za 25 30, 2025 30, nk
Nimewahi kudadisi na kuchunguza kupitia...
CCM mtuambie hizi ndege zimetoka kwenye taasisi gani?!
Tunaozijua tumeshajua zimetoka wapi, maana hazina utofauti na zile zilizotumika kutoa msaada kwa wahanga wa maporomoko ya Mlima Hanang...
Watumishi wa Halmashauri ya MADABA Mkoa wa RUVUMA katika idara ya elimu sekondari.
Changamoto kubwa tunayoipitia kama Walimu ni kuwa fedha za nauli ya likizo ya malipo kwa Mwaka 2024 Mwezi wa 12...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.