Habari za wakati huu ndugu zanguni.
Kama ilivyo ada na kawaida kuhabarishana habari mbali mbali zenye manufaa kwa ajili ya kuepushana na mambo yanayoonekana kutuathiri kwenye jamii na familia hii...
Wananchi wa Kibaha Muheza tunanyanyaswa na Dk.Zainab Gama (mbunge mstaafu viti maalum CCM) katika mgogoro wa ardhi uliodumu kwa zaidi ya miaka 10.
Mwaka 2000, Mzee Shole (mlemavu wa ukoma)...
Nipo Mwanza nimekuja kutembea kutoka Jiji lenye miti mingi, nimefika Wilaya ya Ilemela, Kata ya Nyamanoro, jana tarehe 28.04.2026 nilikuta vijana wanne walionekana kwenye eneo la ujenzi wakiwa...
KATAVI; Licha ya vijiji vinane vya Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika kujiingizia zaidi ya Sh bilioni 29 kupitia uuzaji wa kaboni, biashara hiyo ipo hatarini kutokana na uwajibikaji usioridhisha...
Hapa Mwenge ITV kuna kwenye company inaitwa M.M.I Steel inasadikika meneja mwajiri wa company hiyo alikuwa anawaibia Wafanyakazi wake baada ya kuwalipa mshahara laki tano/laki sita yeye anatoa...
Natoa wito kwa Mamlaka ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kuuangalia kwa karibu mpango wa uendelezaji upya wa eneo la Sinza, Dar es Salaam, unaoratibiwa na Manispaa ya Ubungo, kutokana na...
Hii inakuhusu Waziri wa mambo ya ndani, Mkuu wa mkoa Manyara, RPC mkoani Manyara.
Kuna baadhi ya Police kama Muhsin, Said na Salum wana tabia ya kupiga makofi na mabuti.
Kuna mwingine anafikia...
Mimi ni Mtanzania ninayeishi Marekani, kuna Mtanzania mwenzetu mbaye alikuja kama Mwanafunzi hapa, sijui vizuri kuhusu historia yake huko nyuma.
Miaka kadhaa iliyopita alipata changamoto ya Afya...
Halmashauri ya wilaya ya Kigamboni ni miongoni mwa halmashauri mzigo sana hapa nchini!
Walianzisha mradi chini ya TARURA wa kukarabati barabara ya kuelekea soko na stendi ya Kibada, wakafumua...
kwa muda mrefu kumekuwa na tuhuma ambazo zinathibitika za mganga mkuu wa halmashauri ya wilaya ya serengeti nashangaa mamlaka zake mkoa ,Tamisemi na wizara zikikaa kimya pasipo kutusaidia...
Hii hali sasa imekuwa too much.
Serikali ingilieni kati toka mwezi wa pili mwaka huu wanafunzi wa shule ya sekondari JENISTER MHAGAMA wa kidato cha kwanza na kidato cha tatu wamekuwa wakianguka...
BARUA YA WAZI KWA VIONGOZI WA SERIKALI KUHUSU MALIPO YA MISHARA NA STAHIKI BAADA YA MKATABA KUMALIZIKA NA TAASISI YA BENJAMINI MKAPA
Tarehe: 17 Juni 2025
Kwa:
Waheshimiwa Viongozi wa Serikali...
Kutokana na hali ya umaskini kati ya wananchi wengi wa wanaoumwa magonjwa ya muda mrefu au ya muda mfupi lakini yanahitaji gharama kubwa kama vile upasuaji na mengineo hufia majumbani kutokana na...
Mimi ni mwananchi wa Singida, kero yangu ni jengo la ghorofa sita kwaajili ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Singida, lilianza kujengwa tangu nipo Sekondari Miaka ya 2010's lakini mpaka leo ujenzi...
Mfumo wa Ajira Portal wa TAKUKURU kwa watu wanaoomba kwa Level ya Degree na hawajapita form six mfumo unataka cheti cha form six, naomba utufikishie hili maana sio wote walisoma form six wengine...
Hii ilikua jana , huyu Polisi alizikusanya Bajaji na kuchukua Rushwa ya kati ya 3000 hadi 5000 kwa Bajaji, Takribani Bajaji 6 wakati huo zilikua zimekamatwa hapo
Hali ya usalama barabarani imeendelea kuzorota huku malori ya kubeba mchanga yakihusishwa moja kwa moja na ajali nyingi zinazogharimu maisha ya wananchi wasiokuwa na hatia. Kila siku, barabara...
Je, Jamii tuna ELIMU ya kutosha jinsi ya kutumia gas na kulinda mtungi wa gas ili kuepuka hatari? Kwanini kampuni za gas zisingeweka sticker ya kuonesha do's na donts za gas.
Kwa mfumo wa picha...
Kero yangu ni kwamba nilienda kufanya interview ya kazi Jijini Mwanza iliyofanyika Friday Aprili 10, 2026 na nilikuwa nawania nafasi ya Ukatibu Afya Ngazi ya Shahada, palikuwa na interview mbili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.