Mzee wetu mbona kila tukikuvisha nguo wewe unazivua!

Mzee wetu mbona kila tukikuvisha nguo wewe unazivua!

NI MIMI MKUU ILA TUNA MZIGO MZITO!
pole kipara,ss wenzio tuliona matatizo toka mwanzo,hata dalili za kujirekebisha hazipo hata hivyo hujachelewa karibu tujiunge ingawa hatatusikia lkn kama kelele zipo huenda akaelewa.
 
Mzee wetu ni muda mrefu yanasemwa mengi kuhusu wewe baba,ila wanao tunasimama na kukutea kama baba yetu na kwakua hututendei sisi wanao tunaona sawa tu.

Kati kati hapo watu wamekuja na kelele mzee wenu anasema peke yake na kuvua nguo,sisi wanao tukasema aah nguo ilimuanguka tukafika na kukuvalisha vyema.

Lakini hii uliovua jana mmh inatutia simanzi hata sisi watetezi wako na unawapa maneno wale watabiri fake kuwa wewe ni dikteta na maamuzi mengi yanatoka kwako huko nyumba kubwa na mihimili yote unaiyendesha wewe mzee wetu.

Sasa ni dhahiri mzee wetu tunaona aibu wanao wanao na tabia zako za kusema unachojisikia.

Hapa unawapa point majirani zile tuhuma za uvundo zote ni maagizo kutoka kwako.

Mzee mbona kila tukikuvisha nguo wewe unazivua watu wakuelewe vipi mzee wetu

Mzee wetu tunaogopa utakapofikia uzee wa kustaafu utaishi wapi hutakuwa na majirani au kule ulikopanga kuwapeleka hawa wa leo nawe wakupeleke kesho.

Baba punguza maneno makali dunia itakutenga!
Ni ujinga kudhani kuwa kuandika upumbavu kwa lugha ya kigeni utaleta ushawishi
 
[emoji41][emoji41][emoji41] View attachment 948665
E833E8FA-88E5-4392-AEDD-9266D269B53A.jpeg
 
Iko siku hata ibilisi ataokoka! Kama hiki kichwa ngumu na miongoni kwa vichwa hovyo hapa JF leo kimetambua ukweli!

Aaaa wapi ma fake ID
Wanajifanya wanawake kumbe wanaume, anajitongezesha mwenyewe
Sasa jana CCM leo chadrama mcharuko
Hasira ya dj kuwekwa lupango
Upupu mtupu
Fyeeekelea mbali walahi
 
Aaaa wapi ma fake ID
Wanajifanya wanawake kumbe wanaume, anajitongezesha mwenyewe
Sasa jana CCM leo chadrama mcharuko
Hasira ya dj kuwekwa lupango
Upupu mtupu
Fyeeekelea mbali walahi
Wewe nae ni zaidi ya sifuri na ni zaidi ya samaki. Yani ni matope yaliyopitiliza umeharibu mpaka nilichomaanisha. Mtu akiwa na mtazamo tofauti ni chadema!
 
Mzee wetu ni muda mrefu yanasemwa mengi kuhusu wewe baba,ila wanao tunasimama na kukutea kama baba yetu na kwakua hututendei sisi wanao tunaona sawa tu.

Kati kati hapo watu wamekuja na kelele mzee wenu anasema peke yake na kuvua nguo,sisi wanao tukasema aah nguo ilimuanguka tukafika na kukuvalisha vyema.

Lakini hii uliovua jana mmh inatutia simanzi hata sisi watetezi wako na unawapa maneno wale watabiri fake kuwa wewe ni dikteta na maamuzi mengi yanatoka kwako huko nyumba kubwa na mihimili yote unaiyendesha wewe mzee wetu.

Sasa ni dhahiri mzee wetu tunaona aibu wanao wanao na tabia zako za kusema unachojisikia.

Hapa unawapa point majirani zile tuhuma za uvundo zote ni maagizo kutoka kwako.

Mzee mbona kila tukikuvisha nguo wewe unazivua watu wakuelewe vipi mzee wetu

Mzee wetu tunaogopa utakapofikia uzee wa kustaafu utaishi wapi hutakuwa na majirani au kule ulikopanga kuwapeleka hawa wa leo nawe wakupeleke kesho.

Baba punguza maneno makali dunia itakutenga!
Kwa mara ya kwanza umepata LIKES 100+... KWELI kukichwa kutapambazuka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom