blackstarline
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 3,609
- 9,298
Nawaona babu seya na wanae wakipanda stejini wakiwa wameva nguo za ccm wakiisifu ccm na dereva wao, pembeni namwona zakayo na miwani yake akitabasam kwa mbali.
Watu wanashindwa kuelewa logic ndogo kama hii......
Sio kwamba hawana hatia kwani mwenye kuwasafisha ni mahakama iliyowakuta na hatua iwe kwa kusingiziwa au kwa haki.....Bali raisi ametumia mamlaka yake kikatiba kutoa msamaha huo ambao mamlaka hayo hayausiani na hukumu za mahakama.....
Ndio maana hata mzee aliyekutwa na hatia ya kuua na kuhukumiwa kunyongwa amefaidika na msamaha huo......
Hili ndio swali la kujiuliza. Kuna harufu ya mwendelezo wa kusigina katibaJamani mbona makosa yao hayapo kwenye msamaha???
Yeye magufuli ndie wakuona Aibu kwani alibeza sana pale mheshimiwa lowassa aliposema kuwa ataangalia upya hukumu zao kwamba amepanga kuwaachia wahalifu. Sasa Niko wapi kayameza matapishi yake
Lissu mlimpiga wenyewe na mwenyekiti wenu wa Sacco's yenu wa maisha, Freeman Aikael Mbowe, soon mtaumbuka, stay tunedTunampiga risasi Tundu Lissu tunamwachia Babu Seya.
Yeye magufuli ndie wakuona Aibu kwani alibeza sana pale mheshimiwa lowassa aliposema kuwa ataangalia upya hukumu zao kwamba amepanga kuwaachia wahalifu. Sasa Niko wapi kayameza matapishi yake
Kabisa.
Na hivyo ndivyo nielewavyo mimi!
Hatia waliyopatikana nayo iko palepale. Rekodi yake haitobadilishwa.
Ila wamepewa tu msamaha wa adhabu waliyopewa.
Msamaha waliopewa hauondoi hatia waliyopatikana nayo hata kidogo.
CCM albadiri inawatafuna.Lissu mlimpiga wenyewe na mwenyekiti wenu wa Sacco's yenu wa maisha, Freeman Aikael Mbowe, soon mtaumbuka, stay tuned
aisee.. Huyu angekua idara ya usalama wa taifa, mi ningekua sizonje ningemchagua kua afisa wa ngazi za juu kuhusu usalama wa taifa, huyu tunajua kua anapewa nyeti na watu, lakini kichwani yuko vizuri kuchambua, ndio maana hutoa utabiri wa kweli kabisa, tuache utani huyu dada ni mzalendo wa kweli8) hata kama kuna watu wanamuona mzushi, ila ipo siku tutamkumbuka! Big up kwake!Shikamoo Mange,tunangoja utabiri wa Bashite na Lulu nao utimie
Utakua na frustration wewe labda nabii wa familia yako!
!
Mange Kimambi atambuliwe kama *Mheshimiwa Nabii Mtume Mange Kimambi* hili la Familia ya Babu Seya alilitabiri kitambo kidogo
Ikiwa hivyo basi CCM ni genge la wabakaji na walawiti pamoja na wasagaji na nk.Nawaona babu seya na wanae wakipanda stejini wakiwa wameva nguo za ccm wakiisifu ccm na dereva wao, pembeni namwona zakayo na miwani yake akitabasam kwa mbali.
Inshort ni kuwa aliyefungwa gerezani alikuwa naniluu na kule ikulu kuna naniluu ambaye aliionja akaiona unaniluu wake akasema yule naniluu wa gerezani hastahili kufungwa maana hii naniluu ni tamu balaaKabisa.
Na hivyo ndivyo nielewavyo mimi!
Hatia waliyopatikana nayo iko palepale. Rekodi yake haitobadilishwa.
Ila wamepewa tu msamaha wa adhabu waliyopewa.
Msamaha waliopewa hauondoi hatia waliyopatikana nayo hata kidogo.
Kula tanoKama watakuwa walitenda makosa hayo basi adhabu yao itaendelea kuwafuata hatakama watakuwa uraiani,lakn binafsi nimejawa na furaha kubwa kuachiwa kwa watu hawa
Mungu awape wepesi na kuwaadhibu wale waliowasingizia kama ni kweli,pia kwa mtazamo mwingine hatakama walitenda makosa hayo kwa muda waliotumikia kifungo chao basi inatosha wao warudi uraiani na kumalizia maisha yao yaliyobaki na ndugu na jamaaa!
Mungu huwa ni mkubwa,ulifungwa,Na kuangamizwa kwa hila.