Jeshi la Ulinzi la Wananchi Tanzania JWTZ laanza kutekeleza agizo la Kujenga Ukuta Mgodi wa Tanzanite

Jeshi la Ulinzi la Wananchi Tanzania JWTZ laanza kutekeleza agizo la Kujenga Ukuta Mgodi wa Tanzanite

Je umejiuliza kuwa ni wewe tu ndio mwenye uelewa huo?? Yaani wooote hawajaona, wewe tu!
Kwani aliyesema ukutwa ujengwe si mzee wa kukurupuka au unajifanya hujui? alifanya study kabla ya kusema mwambie aende UN akatiririke kama wenzake Kagame na kenyatta
 
itachorongwa njia under ground kiroho safi kabisa ikatokee kwe nyumba ya mzee kiwia pale
 
Naipongeza hatua hi ingawa hofu yangu ni kuwa tathmini ifanyike juu ya gharama za kujenga ukuta na Mali iliyobaki chini itailipa serikali?
 
Ukiangalia ripoti ya madini ya tanzanite inaonyesha tunaibiwa through mikataba pamoja poor management,,,, issue ya madini kutoroshwa kwa njia ya za panya nikiasi kidogo sana,the main tunaibiwa through mikataba mibovu so badala yakuanza namikataba tunanza ukuta,
Aliyetuloga sisi Mungu amlaani, na sijui tutakua wajinga hadi lini, Na bahati mbaya hakuna mtu wa kuongea, tumekua kama wacheza ngoma kila mdundo tunacheza

Wakimaliza wapige na bati juu
 
Aisee, tuombee kuwa kiasi kilichobakia huko chini ni kikubwa kuliko kilichokwisha chimbwa. Na tusisahau kuwa nchi haijawahi kuwa chini ya mtu mwingine mbali na ccm!
Tumieni wataalam kuanalaizi mambo hayo, inawezekana kabisa japo sijui kama wamefanya
 
Najaribu kuwaza tu, hivi ukuta unaweza ukazuia madini ya Tanzanite kutoroshwa?
Mawe ya madini ya tanzanite ni madogo madogo kama bunje za maharage. Sasa sijui kama ukuta unaweza kuzuia chochote.
 
Unajenga ukuta kwa kitu ambacho hakina maisha zaidi ya 30 years, na mgodi ni contuous madini hayajikusanyi sehemu moja kama maji, mawazo ya kukurupuka
 
Kwani aliyesema ukutwa ujengwe si mzee wa kukurupuka au unajifanya hujui? alifanya study kabla ya kusema mwambie aende UN akatiririke kama wenzake Kagame na kenyatta
Rais ni taasisi complex sana tena ukiiendelea kuingalia na macho ya kisiasa zaidi ndio utaendelea kumuona Jpm tu. Ukielewa robo tu ya hiyo utaacha kuangaika na mkulu.
UN anasikilizwa Trump, Putin na MChina, wengine wanakata vitunguu tu.
 
Back
Top Bottom