Jeshi la Ulinzi la Wananchi Tanzania JWTZ laanza kutekeleza agizo la Kujenga Ukuta Mgodi wa Tanzanite

Jeshi la Ulinzi la Wananchi Tanzania JWTZ laanza kutekeleza agizo la Kujenga Ukuta Mgodi wa Tanzanite

Naomba kuuliza hilo suala aliloagiza mkuu wa nchi hivi pesa zake huwa zinakuwa zishapitishwa ktk bajeti au?
Mkuu, si kuna bajeti ya maafa? Wizi wa rasilimali zetu ni maafa kwa taifa hasa uzao wa masikini... 😵😱
 
Ndio hili la ukuta limo kwenye bajeti ya JWTZ kuna mengine 24 pia yamo Ila siwezi andika humu hadi amiri jeshi Magufuli atamke officially hilo la ukuta ni namba moja yako bado 24 kati ya 25 yaliyoko bajeti ya JWTZ

Ok.
 
muulize manvi

Mbona hayo mambo yako hayana mantiki hapa ushaingiza siasa hapa sipo ki chama wala kumkosoa magufuli nahitaji kujua wanaojua washanifahimisha sio wewe unaongozwa na mihemko ya kisiasa ukiingia jf akili yako ibadilike kuendana na mazingira sio kuendekeza uchama Taifa kwanza.
 
Naomba kuuliza hilo suala aliloagiza mkuu wa nchi hivi pesa zake huwa zinakuwa zishapitishwa ktk bajeti au?
Tunataka ukuta,hayo mengine baadaye.This is urgent.That is why I hate democracy.Kwa hiyo tusubiri Bunge lipitishe huku tukiendelea kuibiwa,nonsense.
 
Tunataka ukuta,hayo mengine baadaye.This is urgent.That is why I hate democracy.Kwa hiyo tusubiri Bunge lipitishe huku tukiendelea kuibiwa,nonsense.

Nonsense ki vipi sasa? Hakuna haja ya kuwa na bunge sasa kama ni no sense.
 
Jamani mkondo wa madini hauwezi kulindwa kwa ukuta.

Tanzanite sio maharage useme utayalinda kwa ukuta.
 
Nonsense ki vipi sasa? Hakuna haja ya kuwa na bunge sasa kama ni no sense.
Naomba nieleweke,this is urgent! Halafuu, hivi hamuelewi kwamba Rais kama mkuu wa nchi ana Emergency Funds zisizohitaji authorization ya Bunge?But why all the fuss,ili Rais aonekane kwamba sio Rais mzuri kwa kwa kuwa anakiuka taratibu?Mna kazi.This is obvious mudslinging.
 
Ndio hili la ukuta limo kwenye bajeti ya JWTZ kuna mengine 24 pia yamo Ila siwezi andika humu hadi amiri jeshi Magufuli atamke officially hilo la ukuta ni namba moja yako bado 24 kati ya 25 yaliyoko bajeti ya JWTZ
Sawa msemaji wa jeshi
 
Kwa kukusaidia zaidi madini hayalindwi na ukuta suka mikataba ya maana ya kuwabana wezi wa madini
Erection of the wall is only part of the agenda.The government will also plug all loopholes leading leading to theft,including those which you have never thought about.Do not underestimate that 5th phase government,it's like no other.
 
Naomba kuuliza hilo suala aliloagiza mkuu wa nchi hivi pesa zake huwa zinakuwa zishapitishwa ktk bajeti au?
Ndugu yangu rais in chief auditor wa pesa ya serikali, ana mamlaka ya kufanya chochote
 
Nampongeza MtukufuRais kwa hatua hii aliochukua kulinda raslimali zetu dhidi ya hawa waporaji wa uchumi wetu. Ila kunaswali najiuliza,Sasa wale wanaapolo wanaopita Chini kwa chini kama fuko toka kitalu A hadi kitalu D mita 100 chini ya ardhi ,kwa staili hii tutawe za kuwadhbiti kweli?
 
Jeshi la Ulinzi la Wananchi Tanzania limeanza kutekeleza agizo la Rais @MagufuliJP la kujenga ukuta katika eneo lenye madini ya Tanzanite
IMG_20170921_195747.JPG
IMG_20170921_195734.JPG
IMG_20170921_195720.JPG

Wanajeshi wa Jeshi la and Ulinzi na Usalama wakiwa katika eneo kutakapojengwa ukuta kwenye madini ya Tanzanite.
 
Nasikia reserve kubwa ya madini ya Tanzanite ipo maeneo ya Kilimanjaro .I. airport mpk maeneo ya boma. Si wapige tu ukuta nchi nzima ili rasilimali zetu zote ziwe salama?
 
Hiyo EIA wamefanya muda gani?
Wame consider factors kama movement asilia ya maji?
 
Back
Top Bottom