Recent content by zyuho

  1. zyuho

    Naomba ushauri wenu

    kama babaako ana 46 we unangapi?
  2. zyuho

    Gx90, Gx 100, vs Gx 110

    Naitaka GX 110
  3. zyuho

    Mchekeshaji Mtumishi Obama nae ajizawadia gari BMW 3 Series, E90 320i

    Iv mfano nikachukua hili brevis ( mnalo liita jini) nikatia gesi si unyama tu
  4. zyuho

    Disco lililoingia Mmasai.

    Hahahaha
  5. zyuho

    Wana jamvi heshima kwenu naomba kujua process za kutoka nchi hii maana naona ni miyayusho tu natamani nizamie Korea kusini huko

    Tutahonga tu mkuu tupate passport kwani Kuna Cha bure ? Ata huduma ya bure lazima utoboke location hii
  6. zyuho

    Wana jamvi heshima kwenu naomba kujua process za kutoka nchi hii maana naona ni miyayusho tu natamani nizamie Korea kusini huko

    Kama kichwa hapo juu kinavojieleza Mimi ni muajiriwa wa shirika kubwa tu la serikali hapa nchini (temporary Employment) miaka 9 sasa naona wazo linalo nijia mafanikio yangu hayatapatikana kwenye nchi yangu ya ahadi sasa natamani nikapate changamoto mpya kwenye nchi za watu.Naomba ushauri wenu...
Back
Top Bottom