Wana jamvi heshima kwenu naomba kujua process za kutoka nchi hii maana naona ni miyayusho tu natamani nizamie Korea kusini huko

Wana jamvi heshima kwenu naomba kujua process za kutoka nchi hii maana naona ni miyayusho tu natamani nizamie Korea kusini huko

Sehemu rahisi kwenda na rahisi kupata kazi ukiwa na passport ya Tanzania ni uarabuni tu.
Uarabuni ndio sehemu pekee.mtu anaweza kwenda na tourist visa halafu akiwa hukohuko akipata kazi anaweza kuibadili na kuwa work visa
 
Sehemu rahisi kwenda na rahisi kupata kazi ukiwa na passport ya Tanzania ni uarabuni tu.
Uarabuni ndio sehemu pekee.mtu anaweza kwenda na tourist visa halafu akiwa hukohuko akipata kazi anaweza kuibadili na kuwa work visa
Uarabuni ambako dada zetu huwa wanafanyiwa gang rape na wale mashwetani au uarabuni ipi ?
 
Kama kichwa hapo juu kinavojieleza Mimi ni muajiriwa wa shirika kubwa tu la serikali hapa nchini (temporary Employment) miaka 9 sasa naona wazo linalo nijia mafanikio yangu hayatapatikana kwenye nchi yangu ya ahadi sasa natamani nikapate changamoto mpya kwenye nchi za watu.Naomba ushauri wenu wakuu wa process za kuvuka ng'ambo ugumu na njia zake ni zipi. PM iko wazi kwa ushauri wakuu
Kwa wasichana chini ya miaka ishirini na moja wanahangaika bila mafanikio kupata passport kwa wakubwa kupata passport utazungushwa mpaka utoe rushwa.
Kazi zipo Qatar, Emirati yote,Canada na Ujerumani na hata Japan tatizo passport tuu.
 
Kama kichwa hapo juu kinavojieleza Mimi ni muajiriwa wa shirika kubwa tu la serikali hapa nchini (temporary Employment) miaka 9 sasa naona wazo linalo nijia mafanikio yangu hayatapatikana kwenye nchi yangu ya ahadi sasa natamani nikapate changamoto mpya kwenye nchi za watu.Naomba ushauri wenu wakuu wa process za kuvuka ng'ambo ugumu na njia zake ni zipi. PM iko wazi kwa ushauri wakuu
Sasa si wanasema mishahara na marupurupu mazuri yapo katika mashirika na taasis za serikali kuliko huko serikali za mitaa? Sasa inakuwaje wewe unalia lia?

Pia, ukienda huko Korea Kusini unaenda kujiajiri au kuajiriwa? Mana ai wanasema hakuna tajiri mwajiriwa?

Kama ishu ni kutajirika, kwa nini usi-manipulate shirikani na uwekeze kuliko kuondoka TZ?
 
Uarabuni ambako dada zetu huwa wanafanyiwa gang rape na wale mashwetani au uarabuni ipi ?

Ndio hukohuko, ni nchi rahis sana kuingia na kupata kazi ,
Hizo cases zipo kweli ,kwa hiyo kila mtu aende kwa tahadhari na umakini, ila kuna kazi nyingine nyingi za kwenye makampuni hazina hayo manyanyaso kama kazi za majumbani.
Mimi binafsi siwezi kumshahuri mwanadada aende uarabuni kuwa house girl, ni very risk sana kwenye kunyanyaswa .
Ila kuna kazi kibao za kwenye ma warehouse na ma supermarkets hakuna kunyanyaswa wala nini
 
Ndio hukohuko, ni nchi rahis sana kuingia na kupata kazi ,
Hizo cases zipo kweli ,kwa hiyo kila mtu aende kwa tahadhari na umakini, ila kuna kazi nyingine nyingi za kwenye makampuni hazina hayo manyanyaso kama kazi za majumbani.
Mimi binafsi siwezi kumshahuri mwanadada aende uarabuni kuwa house girl, ni very risk sana kwenye kunyanyaswa .
Ila kuna kazi kibao za kwenye ma warehouse na ma supermarkets hakuna kunyanyaswa wala nini
Mimi ambaye nina aspire kuwa mbunge wa bunge la Jamhuri unanishauri pia niende kubeba boksi uarabuni ?
 
Hapana mkuu
Sawa basi sio ushahuri unamhusu aliyeanzisha hii mada.
Mimi nawajua jamaa kibao ambao wameamua kwenda uarabuni kufanya kazi huko ,kuna wengine wameshahamia ulaya kutokea uarabuni.
Kiufupi muanzisha thread kama ni mwanaume na ana akiba ya fedha kama mil 5 aende uarabuni .
Akitulia atapata kazi na atasetle akijipanga anahamia Europe. Kuna nchi kibao za western Europe kama Romania, Hungary,Turkey, serbia, Portugal ni rahisi kuingia ukitokea uarabuni
 
Kama kichwa hapo juu kinavojieleza Mimi ni muajiriwa wa shirika kubwa tu la serikali hapa nchini (temporary Employment) miaka 9 sasa naona wazo linalo nijia mafanikio yangu hayatapatikana kwenye nchi yangu ya ahadi sasa natamani nikapate changamoto mpya kwenye nchi za watu.Naomba ushauri wenu wakuu wa process za kuvuka ng'ambo ugumu na njia zake ni zipi. PM iko wazi kwa ushauri wakuu
Mkuu kwanini usiende Korea Kaskazini😀😀😀
 
Sawa basi sio ushahuri unamhusu aliyeanzisha hii mada.
Mimi nawajua jamaa kibao ambao wameamua kwenda uarabuni kufanya kazi huko ,kuna wengine wameshahamia ulaya kutokea uarabuni.
Kiufupi muanzisha thread kama ni mwanaume na ana akiba ya fedha kama mil 5 aende uarabuni .
Akitulia atapata kazi na atasetle akijipanga anahamia Europe. Kuna nchi kibao za western Europe kama Romania, Hungary,Turkey, serbia, Portugal ni rahisi kuingia ukitokea uarabuni
Hapo anaenda akiwa na skills zipi ?
 
Hapo anaenda akiwa na skills zipi ?
Nyingi hazihitaji skills kama za warehouses,kuchunga kondoo,mbuzi
Ila nyingine unaweza kujifunzia kulekule kwa gharama ndogo ukapata vyeti vyao mfano securities kuna mafunzo yao kule ya kujua kuoperate cctv camera, au udereva ,ufundi bomba, welding, inabidi usomee kule upate leseni/vyeti vyao. Ada zao sio kubwa na unajifunza kwa muda mfupi sana unapata cheti chao
 
Kwa wasichana chini ya miaka ishirini na moja wanahangaika bila mafanikio kupata passport kwa wakubwa kupata passport utazungushwa mpaka utoe rushwa.
Kazi zipo Qatar, Emirati yote,Canada na Ujerumani na hata Japan tatizo passport tuu.
Tutahonga tu mkuu tupate passport kwani Kuna Cha bure ? Ata huduma ya bure lazima utoboke location hii
 
Back
Top Bottom