Recent content by Zuriii

  1. Z

    Naomba kufahamu juu ya Mafao ya NSSF

    Habari zenu watu wa Mungu, Naomba msaada wa kufahamu juu ya namna gani nitalipwa mafao yangu baada ya ajira yangu kukoma. Niliajiriwa katika kampuni binafsi na niliajiriwa nje ya taaluma yangu. Je naweza kupata mafao yangu yote kwa mkupuo? Shukrani.
  2. Z

    Nimegundua Siri, Wanawake someni hapa

    Unakua hujakomaa tu kwenye hilo suala,,labda kama kuna mahal tumewekeza pamoja lakini sex tu hapana
  3. Z

    Mwanaume ukiwa na sifa ya ukorofi bado uko salama kwa wakwe zako

    Kashapigwa na kitu kizito kichwani hahahaaa,,,kuna kaka huku pia kaoa siku izi hata nguo hazinyooshwi hata mwaka mmja wa ndoa bado kapungua kama kilo 20 hivi.sijui nini inatokeaga
  4. Z

    Ukitaka kujua kama unapendwa kweli ugua

    Wanaume huwa mnajichanganya tu unamkuta mwanaume kang'ang'ania asikopendwa yaan dalili zote za mateso huko mbele anaziona lakini anapuuzia{sijui huwa mnarogwa},,mara nyingi matokeo yake ndo hayo unakuta mtu hata hakujali anakuona wa kazi gani. Binafsi huyu kaka akipata hata mafua...
  5. Z

    Girls with 'dimples'

    Hahahaaaa aa,,,tumekumbukwa kabisa
  6. Z

    Hawa mabinti wawili watanitoa roho

    Hahahahaaaaaaaa
  7. Z

    Unawezaje kumsamehe mwanaume aliyekusaliti kwa kumleta mwanamke mwingine nyumbani mnakoishi?

    Afadhali nisingeolewa natafuta hela huku nastress za mume hata 30 sijafikisha.sidhani kama tutafika tunakoenda
  8. Z

    Unawezaje kumsamehe mwanaume aliyekusaliti kwa kumleta mwanamke mwingine nyumbani mnakoishi?

    Siwezi kulizungumzia hili hata ndoani ndo mara ya kwanza kuambiwa hivi huenda alikua anafanya lakini sikuwahi kusikia
  9. Z

    Unawezaje kumsamehe mwanaume aliyekusaliti kwa kumleta mwanamke mwingine nyumbani mnakoishi?

    Mimi pia nimepewa habari huyu mwanaume kafanya huu ujinga wala hata simuulizi nishalia nimetulia hivi nitakaporudi sasa nitakua namchora tu,,ajichanganye sasa ndipo moto utawaka.Haya mambo ya ndoa wakati mwingine sio ningekua kabinti nishatafuta tulizo la moyo hapa ka roho changu kangekua...
  10. Z

    Nimempa hela jana tu, niko mbali umeme umeisha nimemwambia aweke anadai nitamlipa hela yake

    Ashukuriwe Mungu kaka zangu hawakupata wake jamii ya msichana wako ingekua kusuruhisha ugomvi kila siku mana sio kwa akili hizi walizonazo
  11. Z

    Msaada: jina zuri kati ya haya

    lol ni jana tu mwanangu(wa miaka mitano)katuambia tukipata mdogo wake aitwe Jaydan halafu wao wafanane yaan,,,,hapa tuko na harakati za kumtafta Jaydan
  12. Z

    Nahitaji mwenza wa kike aliyeko serious

    Hapo kwenye mtaji,,,
Back
Top Bottom