Habari zenu watu wa Mungu,
Naomba msaada wa kufahamu juu ya namna gani nitalipwa mafao yangu baada ya ajira yangu kukoma. Niliajiriwa katika kampuni binafsi na niliajiriwa nje ya taaluma yangu.
Je naweza kupata mafao yangu yote kwa mkupuo?
Shukrani.
Kashapigwa na kitu kizito kichwani hahahaaa,,,kuna kaka huku pia kaoa siku izi hata nguo hazinyooshwi hata mwaka mmja wa ndoa bado kapungua kama kilo 20 hivi.sijui nini inatokeaga
Wanaume huwa mnajichanganya tu unamkuta mwanaume kang'ang'ania asikopendwa yaan dalili zote za mateso huko mbele anaziona lakini anapuuzia{sijui huwa mnarogwa},,mara nyingi matokeo yake ndo hayo unakuta mtu hata hakujali anakuona wa kazi gani.
Binafsi huyu kaka akipata hata mafua...
Mimi pia nimepewa habari huyu mwanaume kafanya huu ujinga wala hata simuulizi nishalia nimetulia hivi nitakaporudi sasa nitakua namchora tu,,ajichanganye sasa ndipo moto utawaka.Haya mambo ya ndoa wakati mwingine sio ningekua kabinti nishatafuta tulizo la moyo hapa ka roho changu kangekua...
lol ni jana tu mwanangu(wa miaka mitano)katuambia tukipata mdogo wake aitwe Jaydan halafu wao wafanane yaan,,,,hapa tuko na harakati za kumtafta Jaydan
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.