Recent content by Zuriii

  1. Z

    JamiiForums Tanzania Tuwafanye wake zetu kuwa marafiki, hata kama tunachepuka

    Jana kaitumia Maulid vizuri😐nasubria leo tulale aniguse
  2. Z

    JamiiForums Tanzania Tuwafanye wake zetu kuwa marafiki, hata kama tunachepuka

    Leo nmerud hapa baada ya kupigwa na kitu kizito😆🙊
  3. Z

    JamiiForums Tanzania Mpenzi wangu hanipi muda lakini yupo online muda wote

    jifunze kumuacha ukiweza muache.hilo penzi litakutesa
  4. Z

    JamiiForums Tanzania Tuwafanye wake zetu kuwa marafiki, hata kama tunachepuka

    Wooiii Sawa bro ...Mimi kama wifi kwa michepuko yako yote nasema endelea kufanya mazoezi kupitia sehem nyeti
  5. Z

    JamiiForums Tanzania Tuwafanye wake zetu kuwa marafiki, hata kama tunachepuka

    Michezo hiyo unalomfanyia ndo alokufanyia.Utakuja kushuhudia hapa
  6. Z

    JamiiForums Tanzania Kama umeoa au haujaoa take this

    Huyu mwanamke mwenzetu kakufanyia nini tena?
  7. Z

    JamiiForums Tanzania Natamani nihasiwe, nipoteze nguvu za kiume

    Usitamani Ivo aisee tunazitafuta Sana izo nguvu
  8. Z

    JamiiForums Tanzania Naomba kufahamu juu ya Mafao ya NSSF

    Habari zenu watu wa Mungu, Naomba msaada wa kufahamu juu ya namna gani nitalipwa mafao yangu baada ya ajira yangu kukoma. Niliajiriwa katika kampuni binafsi na niliajiriwa nje ya taaluma yangu. Je naweza kupata mafao yangu yote kwa mkupuo? Shukrani.
  9. Z

    JamiiForums Tanzania Nimegundua Siri, Wanawake someni hapa

    Unakua hujakomaa tu kwenye hilo suala,,labda kama kuna mahal tumewekeza pamoja lakini sex tu hapana
  10. Z

    JamiiForums Tanzania Mwanaume ukiwa na sifa ya ukorofi bado uko salama kwa wakwe zako

    Kashapigwa na kitu kizito kichwani hahahaaa,,,kuna kaka huku pia kaoa siku izi hata nguo hazinyooshwi hata mwaka mmja wa ndoa bado kapungua kama kilo 20 hivi.sijui nini inatokeaga
  11. Z

    JamiiForums Tanzania Ukitaka kujua kama unapendwa kweli ugua

    Wanaume huwa mnajichanganya tu unamkuta mwanaume kang'ang'ania asikopendwa yaan dalili zote za mateso huko mbele anaziona lakini anapuuzia{sijui huwa mnarogwa},,mara nyingi matokeo yake ndo hayo unakuta mtu hata hakujali anakuona wa kazi gani. Binafsi huyu kaka akipata hata mafua...
  12. Z

    JamiiForums Tanzania Girls with 'dimples'

    Hahahaaaa aa,,,tumekumbukwa kabisa
  13. Z

    JamiiForums Tanzania Ni tukio gani wakati wa kufanya sex ambalo ukilikumbuka huwa unacheka sana?

    Hahahaahaaaa,,,,,marketing mix
  14. Z

    JamiiForums Tanzania Hawa mabinti wawili watanitoa roho

    Hahahahaaaaaaaa
Back
Top Bottom