kwa upeo wangu na katika kuchunguza hizi blogs nimegundua kwamba habari nyingi huwa wanatumiwa na wahusika na si kucopy na kupaste kama unavyo fikiria nadhani waulize wahusika utambiwa. Utakuta mtu anahabari yake basi anaituma kwa bloggers wote kupiti amailing list yake na ikumbukwe kila blog...
kwa nini umpangie mtu maisha bana mwacheni afanye kile ancho taka hata marehemu alisema wanashindana kimaendeleo. Mi sioni tabu kujiita the greatest let him be abeg. RAY THE GREATEST 'RJ'
Waziri Ngeleja akisakata rhumba kwa kukata kiuno.
Mbunge wa Afrika Mashariki, Dk. Amani Walid Kabouru (kushoto) na Katibu wa CCM Mkoa wa Mwanza, Joyce Masunga wakisakata muziki.
Akihutubia wananchi kwenye kampeni hiyo.
WAZIRI wa Nishati na Madini, William Ngeleja, mwishoni mwa wiki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.