nashukuru kwa ufafanuzi wako mzuri. ila bado nahitaji ufafanuzi zaidi. je ukiwa una pass 3 unaweza kusomea kozi zipi na vyuo gani wanachukua wenye pass 3..? mimi nina C 2 na D 2. C1 ya dini ndio maana nikasema nina pass 3. pls nijuze.
thankx, kwa taarifa yako muhimu sana. 2taifanyikazi. kama unalingine la ziada au zaidi ya haya usisite kutujuza ili nasi tufahamu yale hatuyajui kuhusu TEHAMA.
Kwa wale wote waliopangiwa wilaya kisarawa mkoa wa pwani, unaweza kuwasiliana nami kupitia simu : 0688625653 au kwa email; "mbarakazungwe@gmail.com". ili nikuelekeze namna wilaya ilivyo na mazingira husika.
karibu kwetu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.