Recent content by zsm

  1. zsm

    Miss Natafuta uko wapi nakuomba uje hapa

    Wapendwa habari zenu, Naomba nisiwachoshe naomba nimweleze Miss Natafuta kuwa tangu nimeijua JF na baada ya miaka kadhaaa huwa naona huyu dada anatafuta mwanaume wa kuolewa nae. Kwa muda wote huo nimekuwa najiulize kwanini huyu dada ahangaike hivyo. Leo natamka wazi kwa moyo mkunjufu kwamba...
  2. zsm

    Hivi wadada mnachumbiwaje wenzangu?

    Nimekuja PM naomba ufanye utaratibu tuwasiliane hutojuta kuwa na mimi. Naomba tuwasiliane plz
  3. zsm

    Msaada: Nalazimishwa mtoto wakati akili yangu haiamini

    Baba halali wa mtoto anamjua mama we lea mtoto ataishi akikua ataishi na we we kama baba yake na atakuheshimu kama baba hata kama ikitokea amejua/ kaambiwa kuwa wewe sio baba yake- kama kweli sio mwanao, atakuheshimu we we kama mlezi hiyo ndiyo kazi yetu sisi wanaume
  4. zsm

    BAKWATA ilishawekwa mfukoni, usitegemee itakemea mabaya ya Serikali

    Hii vita ya Dini mnayoianzisha haita waacha salamaaa
  5. zsm

    Eti niolewe na mfuga kuku. Loh!!!

    Shubamiiitiiii pumbavu sana we we uliongeza uwingi wa wanafunzi darasani
  6. zsm

    Eti niolewe na mfuga kuku. Loh!!!

    Shubamiiitiiii pumbavu sana we we uliongeza uwingi wa wanafunzi darasani
  7. zsm

    Freeman Mbowe Shujaa wa Demokrasia

    Astaafu uenyekiti kwanza ndo tujue kuwa yeye mwanademokrasia
  8. zsm

    Rais Magufuli awasilisha fomu zake za rasilimali na madeni Tume ya Maadili, viongozi watakaochelewa kukiona

    Swali zuri nipo nasubiri majibu nadhani umeniwakilisha
  9. zsm

    Rais Magufuli awasilisha fomu zake za rasilimali na madeni Tume ya Maadili, viongozi watakaochelewa kukiona

    Swali zuri nipo nasubiri majibu nadhani umeniwakilisha
  10. zsm

    Natafuta mdada wa kuzaa nae tu

    Dah! Sio kwa maswali haya nadhani jamaaa ataingia chonjo
  11. zsm

    UDSM acheni kujikweza, mtatambulika kwa kazi zenu

    We we jamaa ni masikini wa Mali na akili....pole sanàaa..inabidi ufanyiwe maombi
  12. zsm

    UDSM acheni kujikweza, mtatambulika kwa kazi zenu

    Ndio maana uelewa wako mdogo....UDSM ndo chuo cha kata sasa
  13. zsm

    UDSM acheni kujikweza, mtatambulika kwa kazi zenu

    Bwege we we UD ndo kitu gani? Mtaa, kijiji au? Mbona walio soma UD wengi wao weupe sana tupo nao Maofisini tunawaonaaa pyeeeeee
Back
Top Bottom