Hivi wadada mnachumbiwaje wenzangu?

Hivi wadada mnachumbiwaje wenzangu?

Nimekuja PM naomba ufanye utaratibu tuwasiliane hutojuta kuwa na mimi. Naomba tuwasiliane plz
 
Wewe endelea kusoma upepo utaendaje na ucmforce aje kwenu , alafu usikate tamaa utaolewa tu (kama ipo, ipo tu).Na mwanaume mwengine ukimpa utam tu anasepa but mwengine unataka utam kabla ya ndoa.

Kwahiyo sikushauri ukate tamaa mapema yupo uliepangiwa kuja kufunga ndoa na wewe
 
Ukiona mwanaume haamui ujue kuna vitu kutoka kwako vinamkwamisha kutoa maamuzi.

Uamuzi wa kuoa ni msukumo wa hiari toka kwenye uvungu wa moyo pindi nafsi itakavyokuwa imejiridhisha kikamilifu.

Na hususani moyo utapokuwa umebalance kati ya mazuri yako na mapungufu yako.
Nje na hapo atakuridhisha kwa kufunga ndoa in temporary terms.
Halafu epukeni kusema ntakusapoti kwenye ndoa hata kulipa mahari, kwa mwanaume kama mimi ntahisi there is something wrong!
Pia,nakuomba vuta subira hakuna kikomo cha umri wa kuolewa, wapo waliowahi kuolewa wameishiwa kuitwa single mom na wapo waliochelewa wameendelea kupeta kwenye mikono salama ya wanaume.

Kingine usipende kuweka wazi matarajio yako katika maisha, wengine mna overdream mpaka mwanaume wanawaogopa. Wakati maisha ya wanaume wengi wanaohaso ni ya kawaida sana, wanaona bora waishie kumega tu wakapumzike kwa amani kwenye room zao.

Binafsi sijaoa na nimejaribu kujipambanua, nikimpaka anaejua mbivu na mbichi za maisha tutayajenga. Kila la kheri
Ndoa ni fasheni iliyopitwa wakati na mantiki kama si udhaifu wa magonjwa nadhani wanaume tusinge oa kabisa
Wabishi watapinga maoni yangu kwasababu ni wanafiki awawezi kukubali ukweli sikuizi ndoa zote ni FEKI
 
I blv mwanamke ana power kubwa ya kumshawishi mwanaume amuoe ila mwanaume hana hiyo power

Tumia power yako vzr kuna mahali unakosea au huwa una jisahau ktk mahusiano yako
Wanaume mara zote huwa tupo wadhaifu kwa wanawake pia ndoa siyo itakufanya uwe na mapenzi bora bali ni heshima kwa jamii yako
Sio kila mwanaume ana weza kukuoa na sikila unapo kuwa na mtu ktk safari yako ya mahusiano ya kindoa utafika nae wengine wana kusindikiza tuu mwanandoa mwenzako ana kusubiri mbele kaza mwendo Mdada.
 
Mwanaume anasema anataka kukuoa ila sasa hata hakuulizii wazazi wako? Wala kujua kwenu ni ratiba tu za kugegedana, lini tunagegedana, lini utanipa blah blah uchumba upo hivi jamani? Sijui kama nitaolewa tena wacha nizae zangu, naona mume wangu labda hakuumbwa Mungu alimruka.

Umri huu naendaje short time guest house mimi? Kuweni na utu jamani
au nimtafute Uchebe wangu kama Shilole? Ila awe modified uchebe sio uchebe yule aisee! Ila shilole aisee nimemvulia nguo lakini namuelewa sana.

Wanaume watu wazima wapo very complicated bora hivi vitoto havijachakachuliwa na maisha vitoto ni vitakatifu havijui hata dhambi yani vitakuumizaje kwa mfano?
NILIAMBIWA UNATAKA WATU WAZIMA LAKINI HII IMENIPA MOYO SANA NAIMANI JIMBO LINAKARIBIA KUWA LANGU
 
Mwanaume anasema anataka kukuoa ila sasa hata hakuulizii wazazi wako? Wala kujua kwenu ni ratiba tu za kugegedana, lini tunagegedana, lini utanipa blah blah uchumba upo hivi jamani? Sijui kama nitaolewa tena wacha nizae zangu, naona mume wangu labda hakuumbwa Mungu alimruka.

Umri huu naendaje short time guest house mimi? Kuweni na utu jamani
au nimtafute Uchebe wangu kama Shilole? Ila awe modified uchebe sio uchebe yule aisee! Ila shilole aisee nimemvulia nguo lakini namuelewa sana.

Wanaume watu wazima wapo very complicated bora hivi vitoto havijachakachuliwa na maisha vitoto ni vitakatifu havijui hata dhambi yani vitakuumizaje kwa mfano?
we sema unatafuta bwana humu....hilo tako naloliona hulitumii vema.
 
Umejifungia ndani nani atakuona Mkuu nenda kanisani,sokoni,event mbalimbali ukutane na wadau
 
Hizi ndiyo impact za kujifanya wanaharakati wa kudai haki sawa
 
Mwanaume anasema anataka kukuoa ila sasa hata hakuulizii wazazi wako? Wala kujua kwenu ni ratiba tu za kugegedana, lini tunagegedana, lini utanipa blah blah uchumba upo hivi jamani? Sijui kama nitaolewa tena wacha nizae zangu, naona mume wangu labda hakuumbwa Mungu alimruka.

Umri huu naendaje short time guest house mimi? Kuweni na utu jamani
au nimtafute Uchebe wangu kama Shilole? Ila awe modified uchebe sio uchebe yule aisee! Ila shilole aisee nimemvulia nguo lakini namuelewa sana.

Wanaume watu wazima wapo very complicated bora hivi vitoto havijachakachuliwa na maisha vitoto ni vitakatifu havijui hata dhambi yani vitakuumizaje kwa mfano?
Njoo inbox tujayenge
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom