Lazima kuna mtu anakufanya unisahau weweee!! TehHahaha.. Umeonaeeee....
Elii nakuhamu zaidi ujue!!!! Kwa nini hujali maumivu yangu!!!
Hivi kwa nini unitupe hivyo Elii, ujue tumetoka mbali!!Lazima kuna mtu anakufanya unisahau weweee!! Teh
Ndoa ni fasheni iliyopitwa wakati na mantiki kama si udhaifu wa magonjwa nadhani wanaume tusinge oa kabisaUkiona mwanaume haamui ujue kuna vitu kutoka kwako vinamkwamisha kutoa maamuzi.
Uamuzi wa kuoa ni msukumo wa hiari toka kwenye uvungu wa moyo pindi nafsi itakavyokuwa imejiridhisha kikamilifu.
Na hususani moyo utapokuwa umebalance kati ya mazuri yako na mapungufu yako.
Nje na hapo atakuridhisha kwa kufunga ndoa in temporary terms.
Halafu epukeni kusema ntakusapoti kwenye ndoa hata kulipa mahari, kwa mwanaume kama mimi ntahisi there is something wrong!
Pia,nakuomba vuta subira hakuna kikomo cha umri wa kuolewa, wapo waliowahi kuolewa wameishiwa kuitwa single mom na wapo waliochelewa wameendelea kupeta kwenye mikono salama ya wanaume.
Kingine usipende kuweka wazi matarajio yako katika maisha, wengine mna overdream mpaka mwanaume wanawaogopa. Wakati maisha ya wanaume wengi wanaohaso ni ya kawaida sana, wanaona bora waishie kumega tu wakapumzike kwa amani kwenye room zao.
Binafsi sijaoa na nimejaribu kujipambanua, nikimpaka anaejua mbivu na mbichi za maisha tutayajenga. Kila la kheri
NILIAMBIWA UNATAKA WATU WAZIMA LAKINI HII IMENIPA MOYO SANA NAIMANI JIMBO LINAKARIBIA KUWA LANGUMwanaume anasema anataka kukuoa ila sasa hata hakuulizii wazazi wako? Wala kujua kwenu ni ratiba tu za kugegedana, lini tunagegedana, lini utanipa blah blah uchumba upo hivi jamani? Sijui kama nitaolewa tena wacha nizae zangu, naona mume wangu labda hakuumbwa Mungu alimruka.
Umri huu naendaje short time guest house mimi? Kuweni na utu jamani
au nimtafute Uchebe wangu kama Shilole? Ila awe modified uchebe sio uchebe yule aisee! Ila shilole aisee nimemvulia nguo lakini namuelewa sana.
Wanaume watu wazima wapo very complicated bora hivi vitoto havijachakachuliwa na maisha vitoto ni vitakatifu havijui hata dhambi yani vitakuumizaje kwa mfano?
umetumwa wewe dogoNILIAMBIWA UNATAKA WATU WAZIMA LAKINI HII IMENIPA MOYO SANA NAIMANI JIMBO LINAKARIBIA KUWA LANGU
we sema unatafuta bwana humu....hilo tako naloliona hulitumii vema.Mwanaume anasema anataka kukuoa ila sasa hata hakuulizii wazazi wako? Wala kujua kwenu ni ratiba tu za kugegedana, lini tunagegedana, lini utanipa blah blah uchumba upo hivi jamani? Sijui kama nitaolewa tena wacha nizae zangu, naona mume wangu labda hakuumbwa Mungu alimruka.
Umri huu naendaje short time guest house mimi? Kuweni na utu jamani
au nimtafute Uchebe wangu kama Shilole? Ila awe modified uchebe sio uchebe yule aisee! Ila shilole aisee nimemvulia nguo lakini namuelewa sana.
Wanaume watu wazima wapo very complicated bora hivi vitoto havijachakachuliwa na maisha vitoto ni vitakatifu havijui hata dhambi yani vitakuumizaje kwa mfano?
Njoo inbox tujayengeMwanaume anasema anataka kukuoa ila sasa hata hakuulizii wazazi wako? Wala kujua kwenu ni ratiba tu za kugegedana, lini tunagegedana, lini utanipa blah blah uchumba upo hivi jamani? Sijui kama nitaolewa tena wacha nizae zangu, naona mume wangu labda hakuumbwa Mungu alimruka.
Umri huu naendaje short time guest house mimi? Kuweni na utu jamani
au nimtafute Uchebe wangu kama Shilole? Ila awe modified uchebe sio uchebe yule aisee! Ila shilole aisee nimemvulia nguo lakini namuelewa sana.
Wanaume watu wazima wapo very complicated bora hivi vitoto havijachakachuliwa na maisha vitoto ni vitakatifu havijui hata dhambi yani vitakuumizaje kwa mfano?