Tena na sema yanga watachukuwa kombe la afrika mwaka wa 2021-2022
Andikeni tariki hizi na nina waomba nyote mrudi hapa mwisho wa msimu mje ku comment na nina sema utabiri wangu utakapo timia sitaki watu wa kuanza kutuma maombi yao eti niwafanyie dawa mimi sio mganga au uchawi bali nina amini...
Najua kuna wanaobisha na kujiuliza
Maswali mengi juu ya maneno yangu aya Ila ukweli ni kuwa yanga awatocheza mpira wa kuvutia au nini
Ila ukweli ni kwamba watakuwa wanafunga goal moja kila machi
Yaani wakikupiga ugenini nyumbani huendi kugomboa wakikupiga nyumbani ugenini ugomboi
Na...
Mwaka huu yanga watachukuwa kombe la afrika najua kuna watakao bisha but this is the trueth na ninafikiri wengine watanitukana na kusema ninaota na wengine watajiuliza eti kwani itawezekanaje yanga iyi tunayo ijua ibebe kombe la afrika bro’s amini ninacho wambia and you will see
Mimi sio...
Yanga will bring africa champion cup
Huu ndo ukweli
Kuna watu watarudi ku cheki this sms mwisho wa mwaka
Najua mtabisha and some ones Will say i’m dreaming my bro’s lets me tell you the trueth this here young africa will bring africa cup
Dah ndio maana
Na mimi nimeshawai kutana na balaa kama ili zamani mimi nilikuwa nafikiria tatizo ni mimi kumbe yeye sasa sijui ex wangu ataolewa na nani kwa hali ile mwanamke tundu kubwa na kavu ukingiza utafikiri umekutana na ganda la mti wa mpare dah i get some thing here
Don’t promote corona virus here
Wanatengeneza ma ugonjwa yao alafu wana kuja na chanjo zao kutubembeleza ili tununuwe chanjo zao ?
Kuna kitu wanacho kitaka awa wapumbavu
Ivi Africa kabisa kwanini atujiulizi kipindi Madagascar walitengeneza Dawa ya corona who waka ikataha kuwa sio nzuri
Leo...
Kujiamini raha saana
Ni sema asanteni kwa wana jamii wote mliokuwa mkitowa maoni kwenye post zangu kipindi nateswa na mapenzi
Ndugu zangu nili kuwa kama zoba fulani ivi nikimpenda mwanamke nili kuwa na mpenda kweli kweli mpaka na jisau
Sasa kwa bahati mbaya nilimpenda mdada fulani ambaye...
Dah kweli Nina amini nabii akubaliki kwao kabisa dah magufuli wanavyo mlilia katika inch zingine but TZ kwenye walipata bahati ya kupata kiongozi yule leo wana he called eti Ali kuwa na faili milembe
So case ata mashujaa wengi wa ulimwengu walio kuwa mashujaa katika inch zao walikataliwa...
Ni upumbavu mtupu
Ichi ndicho niliwai kusema kwenye post yangu ya nyuma apo watu waka anza kunitukane eti Mimi mjinga
But my bro’s this true wanatumia vyombo vya abari kupeleka hofu kwa watu
Sijuwi Italy wame kufa watu 3000 kwa siku uongo mtupu akuna kweli
Ivi ninyi na akili yenu kabisa you...
Kila nikiona afrika wanavyo mlilia magufuli ndipo na amini ukweli nabii akubaliki kwao.
Many countries in Africa trust magufuli was a king of afrika kuna wa Tanzania wanao mtukana kumuita ni jambazi, katili na majina mengi mabaya mabaya my friend ukitaka kujua samani ya aliye kuwa kiongozi wenu...
Kinacho ni shangaza ni pale ambako watu wana sema eti magufuli aliharibu uchumi Wa inch na wakati wake ndipo TZ ili panda kwenye uchumi Wa Kati
My friend DRC tungeli pata rais kama magufuli Hakika tungeli panda saana
Bali kuna wapumbavu fulani ambao wana taka kuaribu CV ya john pombe magufuli...
Leo nime amua kuja uku kuomba ushauri ndugu zangu
Kuna mwanamke ambaye nimependana naye na mwanamke uyo ana mtoto. Alipigwa mimba na msela fulani alafu msela aka kimbia zake.
Demu akachukua mimba na kuibeba miezi 9 na kuzaa mpaka sasa mtoto ana miaka 3 msela ajui mtoto wake wala ajawahi mtumia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.