Recent content by Zooxanthallae

  1. Zooxanthallae

    Wanaume wenye tabia hii mnakera sana muwapo sita kwa sita

    Tunaomba sample size [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] s kwa researc hiyo
  2. Zooxanthallae

    Msaada wa tatizo la nguvu za kiume

    Hakukuwa na sababu ya kutoa uzi mwingine unaofanana na huu uliopo
  3. Zooxanthallae

    TLS ni mali ya umma, sheria ya TLS imetungwa na Bunge

    Kama TLS ni mali ya umma, inamaana hata mawakili wanayoiunda TLS ni mali ya umma??
  4. Zooxanthallae

    Tafadhali CAG usijiuzulu

    Yaan tatizo la Tanzania ni moja tu kwamba CCM ni wengi mnooo... Na wengi wao hawajui kuchambua au kupembua mambo... Iwe kwa makusudi au isiwe kwa makusud.... Kwa maana hiyo.. Hakuna au kuna wazelendo wachache sana ndani ya CCM
  5. Zooxanthallae

    Msaada wa tatizo la nguvu za kiume

    Mkuu hiyo ilikuwa dawa gani... Wenye shida hiyo wengi aisee
  6. Zooxanthallae

    Kama wewe sio Freemason basi hujui chochote kuhusu Mungu wala ulimwengu

    LIKUD Point yako ya tano imelenga nini mkuu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
  7. Zooxanthallae

    Rwanda na Burundi ziliikosea nini Tanzania?

    Mada fikifirishi... Hongera mkuu
  8. Zooxanthallae

    Rwanda na Burundi ziliikosea nini Tanzania?

    Id yako inasadifu uhalisia mkuu
  9. Zooxanthallae

    Challenge: Ni glasi ipi yenye kiwango kingi cha maji kuzidi zingine? Toa na sababu...

    Mambo ya Archimedes principle and flotation law.... Jibu nafikiri litakuwa A
  10. Zooxanthallae

    UGANDA: Mtu mmoja ajaribu kumshambulia Askofu kwenye Madhabahu kwa gogo wakati wa misa ya Pasaka

    Fact ambaozo umezitoa wewe za kiwafanya watu wakujibu kwa fact zipo wapi???
  11. Zooxanthallae

    Kwanini CHADEMA hawafungui kesi Kupinga udikteta kama upo?

    Hivi huyu si ndo aliyeambiwa kuwa kikwao na yule jamaa kwamba mayala maana yake ni njaa[emoji23][emoji23]
  12. Zooxanthallae

    Sterling Engineering wafuta kesi mahakamani baada ya kuona Tanzania itaibwaga

    Yaan kuna watu wana mawazo mgando sijapata kuona
  13. Zooxanthallae

    Vipande 30 vya fedha alivyopiga Yuda ni sawa na Bilioni 3 ya sasa

    [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Back
Top Bottom