Huko Israel kaskazini wanakopakana na Lebanon,raia wote wamehama,Wana hamu kweli warudi Ila wapi, hizbullah inapiga kambi za jeshi na kuchoma misitu mpaka makazi,wanabaki na kazi ya kuzima,huko mpaka rada imepigwa,ving'ora havilii unasikia chuma kimetua tu