KWA MAHITAJI YA TEMPERATURE CONTROLLER WASILIANA NA NAMI KWA NO 0621215335 Nilihangaika saana mwisho wa siku nikapata so na wewe ukihitaji nitumie sms kwa nambahiyo
ok kuna hoja Mh
1. kuna wakala anae sambaza vifaranga kutoka compun ya Silverlands wa saso miongoni mwao nimeona wamelemaa katika 100 unaweza kuona 20 hawakui kama maelezo uliyo eleza na wakala anasema nikawaida.
2. hayo makampuni kama kweli yana hitaji kulinda soko kwanin hawaja fanya mpango...
katika hili mr inakubidi mkubaliane na anae kuuzia mashine kwa mfano kama ana kwambia mashine anaiuza kwa 800,000
bac una mkabidhi nusu halafu ifanye kazi kwa wiki 3 mkipata vifaranga basi unamalizia ni ushauri lakini
REFER TO... inaweza kuwa mayai au incubetor
kwa upande wa mayai nikama ifuatavyo
1; yai lako unatakiwa utunze kwa muda usio zidi siku nane tangu limetagwa na kuku.
2; joto la mazingira ya kawaida inatakiwa lisizidi 35c kwani ni moja ya changamoto inayo pelekea kifaranga kufa ndani ya yai...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.