NI NANI KAMA LOWASSA
1. Kalamu ninakushika, ili nipate andika,
Habari zipate fika, kwa watu wa kila rika,
Jambo moja mi nataka, ya moyoni kuanika,
Ni nani kama lowassa, kwa mema lotutendea.
2. Sifa alijizolea, utumishi ‘lotukuka,
Ofisi kaiachia, nchi nzima...