Mkuu hongera kwa kufika oral, ila pambana tu ,ipo siku utatoboa.
Juz juzi tulikua tunajaza mikataba ya kazi, mimi wa 2019 ila nimeajiriwa 2026 pembeni yangu alikua dogo kahitimu 2025 kaajiriwa 2026 tareh 1 na mimi na masomo sawa namimi, hapo ndipo nikaamini maisha hayapo fair na wakati wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.