Recent content by Zingzingzing

  1. Zingzingzing

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Sisi jeshi la mgambo tulipokea juz asubuh saa 4 na dakika 34 na sekunde 34
  2. Zingzingzing

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Makato bado
  3. Zingzingzing

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    T@y@r?
  4. Zingzingzing

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Bdo
  5. Zingzingzing

    JamiiForums Tanzania Huu mfumko wa bei Rais Samia hauoni, anatukomoa au ni chuki?

    Boss kumbe unazungumzia hvyo, maisha lazma yabadilike mkuu, 2016 nauli ya dar - mwanza ilikua 29k pia
  6. Zingzingzing

    JamiiForums Tanzania Huu mfumko wa bei Rais Samia hauoni, anatukomoa au ni chuki?

    Mkuu upo sahihi, ila ni wapi uko nauli toka 40k hadi 90k, Maana Songea Mwanza ilikua 93k saizi lski na 5000.
  7. Zingzingzing

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuoa mwanamke bikira hakuwezi kuifanya ndoa yako kuwa bora

    Mkuu elewa neno kuliko , kama ulioa sio bikra ,sio mbaya mkuu ,ulichagua
  8. Zingzingzing

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuoa mwanamke bikira hakuwezi kuifanya ndoa yako kuwa bora

    Nazani utakuwa kwenye kundi mojawapo nililosema.
  9. Zingzingzing

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuoa mwanamke bikira hakuwezi kuifanya ndoa yako kuwa bora

    Nazan wanaopinga wengi ni wanawake waliopoteza bikra na wanaume waliooa used.
  10. Zingzingzing

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuoa mwanamke bikira hakuwezi kuifanya ndoa yako kuwa bora

    Upo sahihi, ila kuoa mwanamke Aliyelala na wanaume 5 au zaidi, anakuwa na different identities na mitazamo ya sex, Likely ana chance zaidi ya kulala na wanaume hao wa 5 hata Kama kaolewa
  11. Zingzingzing

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuoa mwanamke bikira hakuwezi kuifanya ndoa yako kuwa bora

    Upo sahihi, ila bora kuoa bikra mkuu, amin, kuliko kuoa mwanmke anakumbuka muogo wa juma, hamis na ali, hyo ni very risk mkuu asikuambie mtu,,
  12. Zingzingzing

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuoa mwanamke bikira hakuwezi kuifanya ndoa yako kuwa bora

    Sema mimi kipindi nimempata girl asiye bikra nilikua nauchukia sana huu uzi sana Ila baada ya kumpata 0 KM nimeanza kuupenda. Ila all in all wengi wanaopinga huu uzi wameoa USED , ila pambaneni tu mmeyataka wenyewe.
  13. Zingzingzing

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Ila wamekatwa mkuu?
  14. Zingzingzing

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Tukutane may 2026
  15. Zingzingzing

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Bado 0 -0
Back
Top Bottom