Upo sahihi, ila kuoa mwanamke Aliyelala na wanaume 5 au zaidi, anakuwa na different identities na mitazamo ya sex, Likely ana chance zaidi ya kulala na wanaume hao wa 5 hata Kama kaolewa
Sema mimi kipindi nimempata girl asiye bikra nilikua nauchukia sana huu uzi sana
Ila baada ya kumpata 0 KM nimeanza kuupenda.
Ila all in all wengi wanaopinga huu uzi wameoa USED , ila pambaneni tu mmeyataka wenyewe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.