Recent content by zinginary

  1. zinginary

    Hivi unajua million 1.97 ya Tanzania ni sawa na laki 1 ya Kenya

    We wap wewe chapat2 jero karibia nch nzima Kwenye ugumu chapat tatu buku kama dar huko... Sasa Kenya chapat moja 400 tena mombàsa huko ukienda Nairobi unapata chapat kwa 2000 ya kibongo
  2. zinginary

    PUTIN na TRUMP wakutana jijini Alaska kuzungumzia mambo mbalimbali ikiwemo vita ya Ukrein

    Trump ni rais wa zaman?? kwan sasa rais ni nani huko marekani
  3. zinginary

    Msingi tu 3.5M? Au Kuna namna napigwa wakuu

    Mbo Mbona bei ya kawaida sanaa Yaan ya ufundi kaandika 450000/???
  4. zinginary

    Nimebaki na 1% ya kumuamini Mungu

    Watu na imani zao Mbona sina msongo wa mawazo sio mfuasi wa mungu
  5. zinginary

    Safari ya Raila Odinga Uenyekiti Kamisheni ya Umoja wa Afrika (AUC)

    Ahahahahagq mwana nyimbo gani hiyo
  6. zinginary

    Usithubutu mtanashati mwenzangu/acha kabisa "Shaving powders"

    Ahahahaha hv mie napiga wembe tu Pole mkuu
  7. zinginary

    Hivi tatizo la kutosikia vizuri ni tatizo kubwa zaidi duniani?

    Nilidhani ni mimi tu...Dah inakele mwanzoni nilikuwa ngumi saiv nawaachia tu
  8. zinginary

    Idadi ya wanajeshi wa Israeli waliouawa operesheni ya "Binyamina imeongezeka hadi 67, kwa mujibu wa vyombo vya habari vya Kiebrania

    Sasa wewe hapa hujiulizi umeona wap wanajeshi wa Israel wakijificha nyuma ya wamama na watoto
  9. zinginary

    Mwabukusi: Mbeya siyo Washamba ila kwa asili haturuhusiwi Kuvumilia Ujinga

    Acha mambo yako UCHAWI UPO IREJE HAPO HUKOO NA SIO KWA WANYIHAAA KWANZA KWA WANYIHA HAKUNAGA UJINGAAA
  10. zinginary

    Roman Abramovich: Utajiri wa Damu, Risasi na Umafia

    The bold wap...tumiss mambo yako
Back
Top Bottom